Kassie naomba kuona picha yako kwanza,au hata unambie tu unafanana na celebrity yupi local au international... No offence intended madam
Hahaha You know what Kasie, you look amazing, great personality, mature too. Great to have you in the forum. It is a place to learn naamini nawewe unatufundisha mengi. Trully hata ulichokisema ni picha yako halisi mkuu.Hahahahahaa
Umenifanya nitabasamu kwanguvu looh,
Nyie wanaume huwa mnasemaga kumuelewa mwanamke ni ngumu sana au kujua hasa mwanamke anataka nini.
Hapo hapo nshakutana na mwanaume ambaye akiona ke mzuri sanaa yaani yuko amazing kila kitu huishia kusema aah huyu demu wa show fupi tuu sio wa long relationship. Hapo hapo akiona ke wa kawaida sana kuanzia sura hadi mwili utasikia aah huyu ntampeleka wapi hata kutoka nae na washkaji sitaweza....
Na wakati mwingine mwanaume huyo huyo anakwambia issue ni kishimo tuu awe mnene mwembamba mrefu mfupi mweupe mweusi kama ana kishimo basi namwaga pwaaaah. .....
Sasa hapo asiyeeleweka nani..... mwanaume au mwanamke. Na ndo maana waschana wa siku hizi wanaishi tabia za kiume kama kuwa na wanaume wengi na kuwapanga kama sahani kabatini bila woga, kulewa, kushindwa bar, kupiga ma deal makubwa ya hela..... na hamtakaa muwaelewe wanawake hata siku moja labda Yesu arudi.
Back to the topic, Kasie is not a celebrity rather an old woman living single and like to mingle.
My pic.... just look at my avatar... zoom it.....
Look at the smile look carefully. ....
That Kasie I not only look like that avatar neither resemble it.... that's me.
Kasie.
Hongera ila angalia asikubebeshe unga
kuna watu wana hela za mchezo jamani?
ivi mtu hakujui humjui imetokea bahati mbaya kuonana tu kwa siku moja.
na gari anakupa kama zawadi we mdada una bahati isiyo ya kawaida kama ni kweli?
na hali hi ya utawala wa kibabe kumbe bado kuna wenye jeuri ya pesa.
kuna watu wana hela za mchezo jamani?
ivi mtu hakujui humjui imetokea bahati mbaya kuonana tu kwa siku moja.
na gari anakupa kama zawadi we mdada una bahati isiyo ya kawaida kama ni kweli?
na hali hi ya utawala wa kibabe kumbe bado kuna wenye jeuri ya pesa.
Huwa unapenda zaidi kupita bara bara zipi mkuu nije nijaribu bahati yangu nikugonge kidogo ili nikupatie zawadi?Wakubwa wenzangu washapata mrejesho kitamboo. Polee.
Kasie.
Kuna aina ya kesi ambazo ni so amazing kiasi kwamba hata mtoa hukumu anatamani angekuwa yeye ndo victim...especially ku collude na mwanamke decent!These things are not planned man, they happen.... They just happen..... actually I gat no clue.
Kasie.
Kuna aina ya kesi ambazo ni so amazing kiasi kwamba hata mtoa hukumu anatamani angekuwa yeye ndo victim...especially ku collude na mwanamke decent!
Happy birthday Madame!
Na hongera kurudishiwa gari mpya, kweli ulipata imani juu ya huyo mtu, bila shaka alikuwa handsome hahahaha natania tu
faida ya kuzaliwa na k Ndugu yangu.Hahahaaa utashangazwa na mengi ya walimwengu...... kutoa ni moyo usambe utajiri. .....
Ndo hivyo... am enjoying the new ride kwa starehe zangu.