Baada ya kazi...... burudiko

Baada ya kazi...... burudiko

Kasie mamy hao watu wako unaokutanaga nao wamezaliwa Tz kweli?? Nina wasiwasi na DNA zao wallahi
 
Mbona mengine yaliyotokea baada ya chakula haujatuambia

Hahahahaaaa nimejaribu kupunguza ukali wa maneno ili watoto wasisikie mambo ya kikubwa. Ila weye mkubwa mwenzangu umenielewa basi ujue kuna jambo lilitokea na lilikuwa vizuri tuu na likaisha salama.

Kasie.
 
Nipe namba yake Huyo jamaa namtafta sana ni Jambazi sugu..

Hahahahahhaaa noop sina tabia ya kutoa habari au taarifa za watu ni nao kutana nao. Japo kuna manungayembe ya kiumeni ya kisha kutana na Kasie basi kazi yao moja tuu kugrupika taarifa za Kasie utasema kina Mwajuma. No wonder ma sho ga wanaongezeka kila uchao na kuongeza idadi ya wanawake na wa kiumeni kuzidi kupungua.
 
Hukumpa Papuchi!!!!

Nilimkaribisha chakula cha jioni ambacho nilikiandaa mie mwenyewe, kinywaji alitumia Martins na baada ya chakula tuliongea saana hadi saa 5 usiku kisha akarudi kwake. Ile gari ya zamani aliyinigonga nayo fundi wake alikuja kuichukua.
 
Kasie mamy hao watu wako unaokutanaga nao wamezaliwa Tz kweli?? Nina wasiwasi na DNA zao wallahi

Hahahahahaaaa I wonder hata kama mie ni mtanzania..... maana na hivi ajira yangu siku hizi ni ya kusafiri safari nchi mbali mbali yaani TZ nakuja nikiwa off na likizo. Sijui DNA yangu itasomaje. ... na hivi nilizaliwa wa kike pekeyangu. ... mmmhhhh
 
Hahahahahaaaa I wonder hata kama mie ni mtanzania..... maana na hivi ajira yangu siku hizi ni ya kusafiri safari nchi mbali mbali yaani TZ nakuja nikiwa off na likizo. Sijui DNA yangu itasomaje. ... na hivi nilizaliwa wa kike pekeyangu. ... mmmhhhh
Hiyo nayo ni changamoto ingine
 
Mhhhjj, Script nzur sana ungetuwekea kabisa na Picha uliyopiga RANGE ROVER.

Noop si tabia nzuri kusambaza habari za mtu mitandaoni aidha nasimulia bila wasimuliwaji kutambua huyu ndo yuleeeee. Nikiweka picha ya range itakuwa si sawa kwa yule mkaka laah aje aiweke yeye mwenyewe hapa.
 
Poleee wakati ukuta, mfanyakazi na uhuru hayakuwa na burudiko hilo?
Mfanyakazi kulipata ilikuwa ngumu kwa mkoa huo nyakati hizo.
pia tuliburudika na.....
kalamu kutoka london
Watu na matukio
Mashairi na
Chakubanga
 
Back
Top Bottom