Baada ya kazi...... burudiko

Baada ya kazi...... burudiko

Mfanyakazi kulipata ilikuwa ngumu kwa mkoa huo nyakati hizo.
pia tuliburudika na.....
kalamu kutoka london
Watu na matukio
Mashairi na
Chakubanga

Hahahahhaaa kweli wewe wa kitambo looh.... katuni ya chakubanga umenikumbusha mbaliiii ilikuwa lazima niisome.
 
Hakyanani umetudanganya, hakuna mtu wa hivyo enzi hizi za MAGU!!

Siwezi kukuthibitishia zaidi ya niliyoeleza. Uamini usiamini uhalisia utabaki palepale.... am having a new ride.

Kasie.
 
Hadithi yako imeishia vzri

Kila mtu na tafsiri yake kutokana na ubongo wake ulivyomuelekeza. Wengine hapa wamepata ubuyu wa kwenda kuuza. Wengine wamepata script za kwenda kutengenezea muvi na maigizo. Wengine wamepata burudani ya hadithi na kwenda wasimulia wengine. Kila mtu na tafsiri yake but to Kasie it's fact she has a new ride now, what a weekend.
 
Kila mtu na tafsiri yake kutokana na ubongo wake ulivyomuelekeza. Wengine hapa wamepata ubuyu wa kwenda kuuza. Wengine wamepata script za kwenda kutengenezea muvi na maigizo. Wengine wamepata burudani ya hadithi na kwenda wasimulia wengine. Kila mtu na tafsiri yake but to Kasie it's fact she has a new ride now, what a weekend.
Hakuna mwanaume wa design hii labda kuna scene umezi "cut"
 
Hahahahaaaa nimejaribu kupunguza ukali wa maneno ili watoto wasisikie mambo ya kikubwa. Ila weye mkubwa mwenzangu umenielewa basi ujue kuna jambo lilitokea na lilikuwa vizuri tuu na likaisha salama.

Kasie.
Kwa hiyo ndo itaishia hapo hapo au cku moja moja kutakuwa na marudio
 
Hongera, Kumbe baada ya mkasa siku ile akakupa birthday gift...
 
Kwa hiyo ndo itaishia hapo hapo au cku moja moja kutakuwa na marudio

Hahahahahaa Galadudu bana acha kunichekesha loh.... wakubwa hawaonji wanapakua na kula haswaa. .. tena kwa mkono sio kwa uma na kisu wala kijiko.

Wakubwa hawalambi wanamung'unya kufyonza utamu wote......

Wakubwa hawang'ati wanatafuna na kumeza. ....

Matukio yote hayo hayafanyiki siku moja tuu au wiki moja........

Wee mkubwa mwenzangu bana nielewe looh au unataka watoto nao waelewe mambo ya wakubwa? Hehehe
 
Kassie naomba kuona picha yako kwanza,au hata unambie tu unafanana na celebrity yupi local au international... No offence intended madam
 
Weye nae hebu rudia kusoma neno moja moja maana kuna mengi yaliendelea baada ya chakula na kabla hajaondoka kwenda kwake.

Yalitokea mengi tuu.
We nae tatizo lako unaficha ficha ovyo, we sema kama uliugawa ama la._! 😛 mbona wenzio huwa wanasema_!_?
 
Back
Top Bottom