Baada ya Januari 20 kupita, TCRA yasema itakuwa inazima laini za simu zisizosajiliwa kwa alama za vidole kwa awamu

Unaongea nankuandika vitu vingi emotionally but nonsensical.Kubali tu kuwa utaalamu wa kutosha TCRA hawana,Wenye uwezo wa kufunga lain kwa ufasaha zaidi ni wenye mitandao husika na si TCRA .Tunahitaji kuongeza utaalamu katika mambo haya na sio hapa tulipo,hapa bado

Sent using Jamii Forums mobile app

Are you mad? Despite the fact tcra hutoa tamko ili makampuni yatekeleze but who is the big player here? Ivi unadhan tcra ni kuweka tu sheria? Have u ever heard of mkongo wa taifa

Na je nan anawauzia internet mitandao ya simu? What about calls? What about MMC? Nan husafirisha data nchi nzima kwa wananchi kama sio serikali? Are you mad? Are you OK upstairs
 
Watazima Sema waya ni nyingi jamaa hapo ndio anachomoa mojamoja itachukua muda....
IMG-20200121-WA0058.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hichi kitu ata mimi nilikuwa najiuliza wenye dhamana ya kuchuku taarifa za mtu hasa sensitive kama alama za vidole ni polisi tu iweje wawape ma kampuni binafsi uwezo wa kukusanya taarifa nyeti za watu kama alama za vidole


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Unaongea nankuandika vitu vingi emotionally but nonsensical.Kubali tu kuwa utaalamu wa kutosha TCRA hawana,Wenye uwezo wa kufunga lain kwa ufasaha zaidi ni wenye mitandao husika na si TCRA .Tunahitaji kuongeza utaalamu katika mambo haya na sio hapa tulipo,hapa bado

Sent using Jamii Forums mobile app


And I am no where emotional mnasikitisha na izi ngonjera zenu, at one point you guys get educated hii ni aibu
 
Bila hela mipango mingi itakwana hata ile ya kujinunulia mahitaji muhimu kama chakula na mavazi.

Simu zinazozimwa ni zile zinasaidia kukusanya hela ya kutekelezea mipango mbalimbali. Kuzizima simu ni kumaanisha kuikosa hela hiyo ya watu waliozimizwa line
 
Bora umeona, ni matapeli tu. Mimi nina line tatu na zote ziko hewani. Hakuna mtu yoyote atanitishia. Nilishasajili huko nyuma, sio lazima nisajili kwa namba ya NIDA fullstop.
Kwani ukisajili upya unapungukiwa nini mkuu? 😳
 
Yaani wewe ni popoma. Kaa tu kimya badala ya kubishana na mtu anaeweka logic. What's your logic. Unajua mkongo wa taifa unafanyeje kazi? Unajua nani anaeudhibiti huo mkongo centrally?. Yaani kuna watu mnajifanya mnajuua kumbe mnaanika ujinga mlionao!

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu uku watu wanatafuta namna ya kufarijiana,laiti wangejua nguvu ya TCRA wangefanya juu chini wasajili tu, watu wengi huku ni basi tu hata hamna mwelekeo wa kuwapa elimu unakosa!

Nape alienda ikulu akipiga magoti alafu unakutana na mtu anaongea upuuzi kama ule, yaani kuna watu bana
 
Tena nilikuwa nashangaa watu wanatetemeka, uwezo huo TCRA hawana. Kama wangekuwa na huo uwezo mbona wangeweza kuchukua fingerprint zilizoko kwenye driving license na vitambulisho vya kura. Hata hayo matokeo ya kura huwa wanatangaza yasiyo halisia na wala sio kuwa wanautaalamu wowote wa kucheza na mfumo.


Hawa ndo upinzani wanaotaka kuendesha nchi na akili kama izi?
 
Mkuu uku watu wanatafuta namna ya kufarijiana,laiti wangejua nguvu ya TCRA wangefanya juu chini wasajili tu, watu wengi huku ni basi tu hata hamna mwelekeo wa kuwapa elimu unakosa!

Nape alienda ikulu akipiga magoti alafu unakutana na mtu anaongea upuuzi kama ule, yaani kuna watu bana
Hiyo nguvu ya TCRA mbona wameshindwa kizima Jamii forum

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa jamaa wanachekesha kweli, kama lengo la kusajili laini ni kutambua watu, sasa hao wananchi ambao mamlaka zinawajua tayari kuwa wana vitambulisho vya NIDA lakini hawajasajili laini, Je mamlaka zilitambuaje hizo laini kuwa ni za wananchi hao ? , ina maana huo utambulisho walionao juu ya watu hao hauwatoshi mpaka watuletee habari za kujisajiri upya?
 
Chonde chonde na kauli zako aisee unaongea usichokijua! Better be quite and learn things, ulishawahi kuskia serikali za nchi flan wamefunga internet ya nchi nzima unadhan nan ndo hua wanafunga hio internet?

Na je unajua serikali ndo anaesmamia mkongo mzima taifa lote, yaaani wanaweza wakanuna tu na mitandao yote isifanye kazi, punguza ushabiki aisee

Yawezekana wametumia ubindam kuextend mda zaidi lakini kila kinachopita kwenye mawimbi kiko under there control

Mda mwingine mnafanya nchi tunaonekana wananchi wetu hakua kitu kabisa kichwan kwa mada kama izi, ebu get some education kwanza unatia Ainu

Izo data za fingerprints anapewa yoyote anaezitaka, meaning kwamba hata mm leo nkizitaka napewa as long umekuja kuweka kidole sehem taarifa zako znahitajika na nmekamilisha vibali vyote kwa NIDA

Suala la internent ni tofauti mkuu ipo wazi serikali ndio inamiliki mkongo wa taifa na makampuni ya simu yananunua internent kutoka serikalin


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Line yangu ilizimwa 00:00 nikawa sipatikani wala siwezi kuingia online (ni card ninayotumia sana kwa ajili ya mtandao). Ilibidi nipite Milimani city nikafanye kuisajili.
 
Back
Top Bottom