#COVID19 Baada ya Idadi, tunahitaji kujua na muda wa Matumizi ya Chanjo

Omary - Msamalia

JF-Expert Member
Jan 19, 2020
2,079
4,511
Tangu tarehe 4 hadi sasa Waliopokea Chanjo ya Uviko ni wananchi wapatao laki 3 na kadhaa sawa na 30% ya chanjo tulizopokea, ambayo ni sawa na mwezi mmoja tangu kuanza kutolewa, Kama Serikali itaendelea na Kasi hii itachukua miezi 3 na kadhaa kuzimaliza hizi chanjo.

Hoja yangu kwa serikali, Kama wanasema chanjo ni Salama, basi wasisite kutupa na taarifa za siku ambayo hizi chanjo zitaiisha muda wake na kuhitaji kuteketezwa, na zilipokuja zilikuwa zimebakiza muda gani kuharibika.

Kulingana na Watengenezaji na Mashirika ya makubwa ya Usalama kama CDC and FDA ya Marekani yanasema chanjo ya J&J inaweza kutumika kati ya miezi 3, 4.5 kutoka tarehe iliyotengenezwa kama zitahifadhiwa katika viwango pendekezwa. (Nyuzi 2 za Centigrage kwa J&J).

Endapo Serikali inawachoma watu Chanjo zilizoharibika wachukuliwe Hatua gani?
Waziri na Naibu wajiuzulu?

Kitabu kinachoonesha aina za Chanjo na namna ya kuziifadhi.
 
Swali la msingi hapa ni kujua pia zilitengenezwa lini?? kwani naona sasa serikali haramu ya ccm inadunga Sumu akseh
 
Swali la msingi hapa ni kujua pia zilitengenezwa lini?? kwani naona sasa serikali haramu ya ccm inadunga Sumu akseh
Hakika.

Kama wanasema zinatumia miezi 4 basi zinabidi ziwe zimetengenezwa kati ya June - July maana zimekuja Tanzania Mwezi wa Nane (Ambapo zitakuwa zimebakiza miezi 2 au 3).

Cha ajabu wapinzania Wanashindwa Kujiunga na Kuuliza jambo muhimu kama hili
 
Kazi kubwa ya Serikali fake na isiyo na uwezo iliyoingia madarakani kwa wizi wa kura na ambayo haina kibali cha wananchi siyo kulinda maslahi ya watu bali ni kufuck watu.Unahitaji PhD ili kujua mambo madogo kama haya?

Serikali ambayo haina uwezo inawezaje kujali mambo ya expire date ya chanjo ambazo kwanza wamezileta kwa sababu tu ya mashinikizo kutoka nchi zilizoendelea na wala siyo kwa sababu inajali watu wake?
 
Kazi kubwa ya Serikali fake na isiyo na uwezo iliyoingia madarakani kwa wizi wa kura na ambayo haina kibali cha wananchi siyo kulinda maslahi ya watu bali ni kufuck watu.Unahitaji PhD ili kujua mambo madogo kama haya?

Serikali ambayo haina uwezo inawezaje kujali mambo ya expire date ya chanjo ambazo kwanza wamezileta kwa sababu tu ya mashinikizo kutoka nchi zilizoendelea na wala siyo kwa sababu inajali watu wake?
Bora niitwe Sukuma Gang, ila Rais Samia akumbushwe asiwachanje wazee wetu chanjo zilizoharibika, na kama wanaweza kututajia waliochanja wasiwe na haya kusema zilitengenezwa lini na zitatumika hadi lini, wasiwe na iabu kwenye Maisha ya wazee wetu.

Pengine kuna watu kadhaa wamekufa baada ya kupokea chanjo, ila Wanaficha aibu
 
Tangu tarehe 4 hadi sasa Waliopokea Chanjo ya Uviko ni wananchi wapatao laki 3 na kadhaa sawa na 30% ya chanjo tulizopokea, ambayo ni sawa na mwezi mmoja tangu kuanza kutolewa, Kama Serikali itaendelea na Kasi hii itachukua miezi 3 na kadhaa kuzimaliza hizi chanjo.

Hoja yangu kwa serikali, Kama wanasema chanjo ni Salama, basi wasisite kutupa na taarifa za siku ambayo hizi chanjo zitaiisha muda wake na kuhitaji kuteketezwa, na zilipokuja zilikuwa zimebakiza muda gani kuharibika.

Kulingana na Watengenezaji na Mashirika ya makubwa ya Usalama kama CDC and FDA ya Marekani yanasema chanjo ya J&J inaweza kutumika kati ya miezi 3, 4.5 kutoka tarehe iliyotengenezwa kama zitahifadhiwa katika viwango pendekezwa. (Nyuzi 2 za Centigrage kwa J&J).

Endapo Serikali inawachoma watu Chanjo zilizoharibika wachukuliwe Hatua gani?
Waziri na Naibu wajiuzulu?

Kitabu kinachoonesha aina za Chanjo na namna ya kuziifadhi.
We mbona una shobo?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
We mbona una shobo?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Baada ya Kusikia kuna variants Mpya ambayo WHO wanaiweka kwenye kundi la "Variants of Interests" ambazo zinauwezo wa kuzidi nguvu ya chanjo, nikataka kujua muda wa Kuexpire hizi chanjo.

Nikaona FDA wanasema Under proper refrigeration levels zinadumu kwa miezi 4.

Assume sisi tunazo hizo refrigeration levels, Je chanjo laki 7 na ushee zimebakiza muda gani?
 
Bora niitwe Sukuma Gang, ila Rais Samia akumbushwe asiwachanje wazee wetu chanjo zilizoharibika, na kama wanaweza kututajia waliochanja wasiwe na haya kusema zilitengenezwa lini na zitatumika hadi lini, wasiwe na iabu kwenye Maisha ya wazee wetu.

Pengine kuna watu kadhaa wamekufa baada ya kupokea chanjo, ila Wanaficha aibu
Watanzania bhana!Hizo chanjo hazijaletwa eti kwa sababu Serikali inajali sana wananchi wake dhidi ya Corona.La hasha,hizi chanjo zimeletwa ili kuridhisha mabeberu ili Serikali iweze kupata fedha za kufanya mambo yake ya kulipana posho na kujaza mafuta kwenye maV8.

Sasa kwenye mazingira kama haya kuna mtu huko Serikalini atawaza au kujali juu ya expire date?
 
Baada ya Kusikia kuna variants Mpya ambayo WHO wanaiweka kwenye kundi la "Variants of Interests" ambazo zinauwezo wa kuzidi nguvu ya chanjo, nikataka kujua muda wa Kuexpire hizi chanjo.

Nikaona FDA wanasema Under proper refrigeration levels zinadumu kwa miezi 4.

Assume sisi tunazo hizo refrigeration levels, Je chanjo laki 7 na ushee zimebakiza muda gani?
Nikupe namba ya Dorothy?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Si ndo maana wanakujazisha consent form mapema kabla ya kuchanjwa hata yakikuletea madhara usiwashitaki.

Swala la expire date si kitu kwao,muhimu mzigo wa mzungu uishe.
 
Watanzania bhana!Hizo chanjo hazijaletwa eti kwa sababu Serikali inajali sana wananchi wake dhidi ya Corona.La hasha,hizi chanjo zimeletwa ili kuridhisha mabeberu ili Serikali iweze kupata fedha za kufanya mambo yake ya kulipana posho na kujaza mafuta kwenye maV8.

Sasa kwenye mazingira kama haya kuna mtu huko Serikalini atawaza au kujali juu ya expire date?
Hawa watu walijua watawalazisha watumishi wa umma Sasa Gwajima kaharibu Mambo.
Mpaka watajuta, maana walisema hofu yao chanjo hazitatosha,Sasa beberu anashangaa mzigo haujaisha.
 
Back
Top Bottom