Mstahiki Mea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 6,238
- 11,665
Baada ya kuwa chini ya utegemezi wa wazazi na uangalizi baada ya kumaliza chuo ni kama kuku aliyefunguliwa bandani akajitafutie chakula umejipangaje?
Kurudi nyumbani ukapambanie ugali wa wazazi pamoja na wadogo zako au kubaki huko ukipambania future yako?
Kila mtu anajua uwepo wa tatizo la ajira na ningumu kupata ajira pindi tu umalizapo umajipangaje? Mimi nashukuru wakati nasoma nilikuwa tayari nimeshajua hata ramani yakupata laki kwa mwezi nawashauri vijana usikomalie madaftari tu , anza kujipanga mapema ujue fursa zilipo kama unataka kuja kudharaulika na wadogo zako endeleza uvivu
Kurudi nyumbani ukapambanie ugali wa wazazi pamoja na wadogo zako au kubaki huko ukipambania future yako?
Kila mtu anajua uwepo wa tatizo la ajira na ningumu kupata ajira pindi tu umalizapo umajipangaje? Mimi nashukuru wakati nasoma nilikuwa tayari nimeshajua hata ramani yakupata laki kwa mwezi nawashauri vijana usikomalie madaftari tu , anza kujipanga mapema ujue fursa zilipo kama unataka kuja kudharaulika na wadogo zako endeleza uvivu