Baada ya Bilionea Shami kudai kutishiwa maisha, wanaomdai wajitokeza na kumwambia alipe deni

Biashara ya pesa nyingi hivyo wameshindwaje kutafuta kampuni yenye jina na uzoefu wakafanya nayo kazi
Mkuu hoja yako ni ipi? Mbona jamaa kwenye hiyo clip ameshaonyesha kuwa walifika hadi ofisini na wakaverify brela kuwa kampuni ni halali ndo wakaanza kulipia.

Huyu anayejiita billionea hana pa kutokea zaidi ya kulipa hiyo 100m iliyobaki. Kwanza alishakiri mwenyewe kuwa alilipwa hizo pesa .Alipe tu au awape magari yao wao wamalizie balance ilobaki. Period.
 
Ulimsikiliza vizuri bilionea? Hao jamaa ndani ya week wameghairi kukamilisha malipo na kumtaka jamaa bilionea arudishe fedha wakati yeye kashayaagiza....Kuna watu wana wenge sana wakishika hela yaani ni kubadilikabadilika kama vinyonga...Dawa yao kwenye mkataba ni kuwaandikia kwamba wakighairi fedha hairudishwi.
Mkuu ushawahi kuagiza chochote nje? Majamaa walishtuka baada ya kuona mda unaenda nje na makubaliano wanapigwa kalenda,akawaonyeshea draft feki,kampuni anayosema ananunua magari huko china hawamtambui,ukiagiza mzigo kuna tracking ya mzigo wako popote unapofikia unaona,jamaa hana hata means mzigo hajaagiza,sasa hao majamaa kosa lao ni nini hapo, bilionea ni tapeli tu.
 
Mkuu ushawahi kuagiza chochote nje? Majamaa walishtuka baada ya kuona mda unaenda nje na makubaliano wanapigwa kalenda,akawaonyeshea draft feki,kampuni anayosema ananunua magari huko china hawamtambui,ukiagiza mzigo kuna tracking ya mzigo wako popote unapofikia unaona,jamaa hana hata means mzigo hajaagiza,sasa hao majamaa kosa lao ni nini hapo, bilionea ni tapeli tu.

Nishaagiza sana vitu nje mkuu ,najua huyo kanjibai anazungumzia B/L ambayo inatumwa kwa DHL au courier service yeyote ambayo ni Doc ina info za mzigo/meli etc

Kwanini huyo Kanjibai baada ya week tu kabadili gear angani? Kuna mbinu za biashara ambazo wafanyabiashara hutumia ili kumpata mteja ,hata mimi ukija nitakwambia mzigo upo ili uingie kwenye 18 ,ukishanilipa ndipo naanza process za kuagiza....Hao makanjibai ni wale watu wenye wenge la hela wameona kusubiria mwezi mrefu wakati hela zinawawasha.
 
Baada ya Mfanyabiashara maarufu wa Magari Jijini Dar es Salaam, Samweli Shami maarufu kwa jina la Bilionea Shami kudai kuwa ametishiwa maisha na watu aliodai ni vigogo wa Polisi, amejibiwa na waliojitambulisha kuwa ni wahusika aliofanya nao biashara wakimtaka alipe fedha alizopewa na sio kulalamika mitandaoni.

Wasikilize mwenyewe hapa
Habari ya kwanza ni hii > Mfanyabiashara bilionea Dar es Salaam, adai kutishiwa maisha, akimbia kwa pikipiki kutoroka asiuawe hadi Arusha
Sisi wagalatia tukubali huyu Samwel ni tapeli. Hajaonewa kabisa huyu Kobaaz yuko sahihi na mkweli.


adriz Accumen Mo hydroxo
 
Bilionea kala hio hela akijua itakuwa kesi ya madai ashazoea hizo. Hawa jamaa wanajua ikiwa kesi ya madai imekula kwao ndio maana kila mara unamsikia anasema hii sio madai ni utapeli blah blah blah last resort wanamtisha ma jamaa anasema twende mahakamani anajua mwiaho wake ni madai.
Matapeli wote ndiyo zao. Kesi za madai wanazipenda sana. Ku-deal nao kwa njia za kihuni ndiyo lugha wanayoelewa.
 
Biashara ya pesa nyingi hivyo wameshindwaje kutafuta kampuni yenye jina na uzoefu wakafanya nayo kazi
Wewe Una uhakika hiyo biashara inayosemwa ndio yenyewe?

Mjini kuna mambo Hadi wezi sasa hivi wanafunga mikataba ya kisheria kukwepa kudhurumiana.

Kile unachoona kinadaiwa kiuhalisia sicho, hiyo ni cover Tu lakini wahusika wanajuwa wanadaiana nini.
 
Biashara ya pesa nyingi hivyo wameshindwaje kutafuta kampuni yenye jina na uzoefu wakafanya nayo kazi
Boss wangu naomba nikujibu nikutoe kwenye hii dhahama.
Mm ni msafiri na mfanyabiashara za nje, haswa china japan na ufilipino.
Huyu jamaa ni kma vijana wengine wa kibongo. Anajitangaza, hopefully ni rahisi kumuamini na kumsupport. Ni sawa ww duka la addidas lipo mlimani ila ukanunua kiatu kkoo au sinza.
Hawa ni wawekezaji wamemuamini mzawa. Some deals tunafanya na watu kupata urahisi na ufanisi.
Huyu kijana ni muhuni. Naijua hyo issue vzuri. Toka post ya kwanza nilisema achaneni kumtetea huyo bwana.watamlawiti. kaleta tamaa. Atalawitiwa.
Nikasema issue hta sio ya viongozi.. ni watu tu wakawaidw saaaana. Yy anawachukulia poa atalawitiwa.
 
Back
Top Bottom