Baada ya Bilionea Shami kudai kutishiwa maisha, wanaomdai wajitokeza na kumwambia alipe deni

Ninavyohisi mimi, hawa jamaa walijachunguza baadae (baada ya kulipa)wakakuta pengine bei ya wao kuagiza moja kwa moja ni ndogo, ikilinganishwa na bei waliyoambiwa na huyu ''bilionea''. Hii ikafanya waghairi na kutaka waagize wenyewe, hivyo waka-cancel order.
Mnatoa order ya magari ya 500m halafu mnaingiza 20m leo kesho 35m keshokutwa 29m si usanii huu?
 
Hawajielewi na wao magumashi tu. Ukimsikiliza sana anataja hii sio madai zaidi ya mara moja, anajua kalikoroga hii ni madai imekula kwao ndio maana wanamtishia kumuua.
Huyo ''bilionea'' japo anaonekana naye ni mtu ''mjanja mjanja wa mjini'' lakini hivyo vitisho vya polisi inaonekana alipewa kweli. Hii ni baada ya kuona kuwa inaenda kuwa kesi ya madai ambayo nayo ina mlolongo wake, hivyo wakaona ni busara kutumia vitisho vya polisi ili kuzipata fedha mapema
 
Huyo ''bilionea'' japo anaonekana naye ni mtu ''mjanja mjanja wa mjini'' lakini hivyo vitisho vya polisi inaonekana alipewa kweli. Hii ni baada ya kuona kuwa inaenda kuwa kesi ya madai ambayo nayo ina mlolongo wake, hivyo wakaona ni busara kutumia vitisho vya polisi ili kuzipata fedha mapema
Bilionea kala hio hela akijua itakuwa kesi ya madai ashazoea hizo. Hawa jamaa wanajua ikiwa kesi ya madai imekula kwao ndio maana kila mara unamsikia anasema hii sio madai ni utapeli blah blah blah last resort wanamtisha ma jamaa anasema twende mahakamani anajua mwiaho wake ni madai.
 
Bilionea kala hio hela akijua itakuwa kesi ya madai ashazoea hizo. Hawa jamaa wanajua ikiwa kesi ya madai imekula kwao ndio maana kila mara unamsikia anasema hii sio madai ni utapeli blah blah blah last resort wanamtisha ma jamaa anasema twende mahakamani anajua mwiaho wake ni madai.
Watu wengine ndio maana wanafanywaga vibaya halafu familia zao zinaishia kulalamika , iwe madai isiwe arudishe hela za wenyewe, basi.
 
Wanaomtulana bilionea wengi hawajui biashara, kuna mteja anachagua BMW anakupa milioni 50, we unaagiza gari unalipia, anakutana na mtu anamwambia hiyo hela unbechuluan VW iko vizuri kuliko BMW, anakupigiabanakwambia nachukua VE achana na BMW kama vile alizikuta Yard wakati anajua za kuagiza. Pengine unakuta ulipolipia hiyo gari hawana wanakwambia wakate % kama ilivyo lwenye T&Cs zao, mteja anataka hela yakr isipungue hapo ndio unaanza kuitwa tapeli.
 
Ninavyohisi mimi, hawa jamaa walijachunguza baadae (baada ya kulipa)wakakuta pengine bei ya wao kuagiza moja kwa moja ni ndogo, ikilinganishwa na bei waliyoambiwa na huyu ''bilionea''. Hii ikafanya waghairi na kutaka waagize wenyewe, hivyo waka-cancel order.
Hapana mkuu kwanza waliambiwa bei ya jamaa mpaka dar na wakalinganisha na China wakaona ziko sawa
Sasa wao wakaona badala ya wao kwenda si bora wanunue hapa kwa jamaa

Ila wamekuja kushtuka baada ya kuona mda wa mzigo kuingia umepita na anawazungusha ndio wakaanza kupiga simu China na kufuatilia kumbe jamaa wala hawamjui billionaire

Wamechelewa sana kushtukia mchezo
Ni kama uende kariakoo halafu uanze kushangaa Shangha nje ukiangalia bidhaa halafu jamaa anakuambia nikasaidie nini unamwambia hii sh ngapi anakupa bei na anakuambia nilipe hapa nikakutolee mzigo stoo utakubali?
Wakati malipo ni ndani kwenye counter?
Mimi naona wameingizwa mjini kishamba sana aisee
 
Kawatapeli sawa, Kwanini hawakufungua mashtaka na kesi iende mahakamani? Kwanini Jeshi la polisi kwenye hii kesi wamejivika umahakama na kushinikiza pesa ilipwe haraka? Hii roho nzuri polisi wameitoa wapi?

Hapa kuna mchezo unafanyika pande zote mbili, muuzaji mjanja mjanja ila anajua ujanja wake mkataba unambeba.

Na mnunuzi anajua amevunja mkataba kwa kusitisha malipo ya kiwango walichokubaliana atakuwa amelipa kabla hata gari hazijafika na anaomba vitu ambavyo viko nje ya mkataba so anahonga pesa kwa polisi ili jambo lake liende kwa wepesi.
 
Huyo ''bilionea'' japo anaonekana naye ni mtu ''mjanja mjanja wa mjini'' lakini hivyo vitisho vya polisi inaonekana alipewa kweli. Hii ni baada ya kuona kuwa inaenda kuwa kesi ya madai ambayo nayo ina mlolongo wake, hivyo wakaona ni busara kutumia vitisho vya polisi ili kuzipata fedha mapema
Mkuu wa mkoa kazungumzia hii. Anasema jamaa anachukua hela za watu magari haleti halafu anakimbilia kusema ni kesi ya madai.
 
Kawatapeli sawa, Kwanini hawakufungua mashtaka na kesi iende mahakamani? Kwanini Jeshi la polisi kwenye hii kesi wamejivika umahakama na kushinikiza pesa ilipwe haraka? Hii roho nzuri polisi wameitoa wapi?

Hapa kuna mchezo unafanyika pande zote mbili, muuzaji mjanja mjanja anajua mkataba unambeba na mnunuzi anajua amevunja mkataba anahonga pesa kwa polisi ili jambo lake liende kwa wepesi.
Jamaa wanajua mahakamani itakuwa madai itawasumbua tu ndio maana wanataka Chao huku huku mtaani.
 
Ulimsikiliza vizuri bilionea? Hao jamaa ndani ya week wameghairi kukamilisha malipo na kumtaka jamaa bilionea arudishe fedha wakati yeye kashayaagiza....Kuna watu wana wenge sana wakishika hela yaani ni kubadilikabadilika kama vinyonga...Dawa yao kwenye mkataba ni kuwaandikia kwamba wakighairi fedha hairudishwi.
Hakuna watu wanatakatisha fedha kama watu kutoka bara asia hasa wahindi
 
Mkuu Ras, wakati mwingine hata jina la mtu linaweza kukupa hint, mwenyewe yukoje. Hivi kweli mtu anayejiita bilionea, si kuna ukakasi hapo? Mbailionea wa kweli huwa hawataki kujulikana. Ni sawa na mtu anayejigamba ni msomi kama huyu waziri wetu wa fedha, siku zote huwa ni msomi feki.
Ila Tanzania tuna chuki kwani mtu kujiita billionea ni kosa
Yaani unaumia mtu kujiita billionea aisee tuna wivu mbaya sana
 
Back
Top Bottom