Kichogo
JF-Expert Member
- Jun 10, 2016
- 1,756
- 2,365
Achana nawapalestina tuwatetee kwanza wasudani wenzetuWaafrika hatima akili hata ya kiwango Cha nyani. Watu Bado tumeendelea kukomaa kwamba Wapalestina waendelee kufa tu kisa waliichokiza Israel wakati wenye akili wanasema GAZA inekuwa gereza la wazi miaka mingi