Nafasi za Kazi Israel Kuziba Pengo la Wafanyakazi Toka Gaza

Bams

JF-Expert Member
Oct 19, 2010
16,558
41,078
Kabla ya shambulio la kigaidi la Hamas, kulikuwa na wafanyakazi 21,000 toka Gaza waliokuwa wakifanya kazi Israel.

Baada ya shambulio hilo la Oktoba, na vita vinavyoendelea, Waziri wa usalama wa Israel bwana Itamar Ben-Gvir, amesema kuwa kutokana na uhasama wa Waarabu wa Gaza unaozidi kuongezeka dhidi ya Israel, hakuna mfanyakazi atakayeruhusiwa kutoka Gaza kuingia Israel kufanya kazi. Hivyo kutakuwa na upungufu wa wafanyakazi 21,000 kwenye sejta mbalimbali.

Wakati huo huo, waziri wa fedha wa Israel, bwana Smotrich, amesema kwamba hakuna hata shekel moja itakayopelekwa kwa utawala wa Gaza kwa sababu hayupo tayari kutoa pesa kwa mamlaka ya Gaza ili ikalipe mishahara itakayoenda kutunza familia za magaidi.

Wanaohangaikia ajira, mnaweza kuitumia hii nafasi, kama walivyofanya wenzetu wa Kenya na Malawi.


HABARI ZAIDI

Mpaka sasa vifo vya wapalestina ni zaidi ya 17,700. Kati ya hao, 7,000 ni wapiganaji wa Hamas na makundi yenye mafungamano nayo. Israel, toka October 7 mpaka sasa imepoteza askari wapatao 400. Mapigano yote yapo ndani ya Gaza na Westbank. Ndani ya Israel, tangu vita ianze, hakuna shambulizi lililosababisha kifo chochote, kutokana na ubora wa mifumo ya ulinzi wa anga.

Habari ndani ya Israel ni kwamba vita itaendelea kwa miezi 2 zaidi. Mwezi miwili imewakuta Wapalestina zaidi ya 17,700 wakipoteza maisha. Miezi 2 ijayo huenda itafikisha vifo vya Wapalestina zaidi ya 20,000.

Wakati magaidi wa Hamas na wanaowaunga mkono wanastahili wanachokipata, tuzidi kuwakumbuka wanadamu wale wasio na hatia, mkono wa Bwana ukawalinde ili wakivuke kipindi hiki kilicho kigumu sana kwako.

Hekima ikawapate watawala wa Dunia, ili ikiwezekana, watoto na wale wanaojulikana si sehemu ya haya makundi ya kigaidi (yaani wao si sehemu ya wapiganaji wala si miongoni mwa wanaounga mkono mbinu za magaidi), wawatafutie mahali salama, hata nje ya Gaza.

Maisha ya mwanadamu Duniani ni mafupi sana, hayastahili kufupishwa kwa mtutu wa bunduki, isipokuwa kwenye mazingira yasiyozuilika, kama vile uwepo wa huyo mtu kunaondoa maisha ya watu wengine. Hamas ni haki yao kupukutishwa, lakini wale wasiohusishwa nao, wana haki ya kuishi.
 
Kabla ya shambulio la kigaidi la Hamas, kulikuwa na wafanyakazi 21,000 toka Gaza waliokuwa wakifanya kazi Israel.

Baada ya shambulio hilo la Oktoba, na vita vinavyoendelea, Waziri wa usalama wa Israel bwana Itamar Ben-Gvir, amesema kuwa kutokana na uhasama wa Waarabu wa Gaza unaozidi kuongezeka dhidi ya Israel, hakuna mfanyakazi atakayeruhusiwa kutoka Gaza kuingia Israel kufanya kazi. Hivyo kutakuwa na upungufu wa wafanyakazi 21,000 kwenye sejta mbalimbali.

Wakati huo huo, waziri wa fedha wa Israel, bwana Smotrich, amesema kwamba hakuna hata shekel moja itakayopelekwa kwa utawala wa Gaza kwa sababu hayupo tayari kutoa pesa kwa mamlaka ya Gaza ili ikalipe mishahara itakayoenda kutunza familia za magaidi.

Wanaohangaikia ajira, mnaweza kuitumia hii nafasi, kama walivyofanya wenzetu wa Kenya na Malawi.


HABARI ZAIDI

Mpaka sasa vifo vya wapalestina ni zaidi ya 17,700. Kati ya hao, 7,000 ni wapiganaji wa Hamas na makundi yenye mafungamano nayo. Israel, toka October 7 mpaka sasa imepoteza askari wapatao 400. Mapigano yote yapo ndani ya Gaza na Westbank. Ndani ya Israel, tangu vita ianze, hakuna shambulizi lililosababisha kifo chochote, kutokana na ubora wa mifumo ya ulinzi wa anga.

Habari ndani ya Israel ni kwamba vita itaendelea kwa miezi 2 zaidi. Mwezi miwili imewakuta Wapalestina zaidi ya 17,700 wakipoteza maisha. Miezi 2 ijayo huenda itafikisha vifo vya Wapalestina zaidi ya 20,000.

Wakati magaidi wa Hamas na wanaowaunga mkono wanastahili wanachokipata, tuzidi kuwakumbuka wanadamu wale wasio na hatia, mkono wa Bwana ukawalinde ili wakivuke kipindi hiki kilicho kigumu sana kwako.

Hekima ikawapate watawala wa Dunia, ili ikiwezekana, watoto na wale wanaojulikana si sehemu ya haya makundi ya kigaidi (yaani wao si sehemu ya wapiganaji wala si miongoni mwa wanaounga mkono mbinu za magaidi), wawatafutie mahali salama, hata nje ya Gaza.

Maisha ya mwanadamu Duniani ni mafupi sana, hayastahili kufupishwa kwa mtutu wa bunduki, isipokuwa kwenye mazingira yasiyozuilika, kama vile uwepo wa huyo mtu kunaondoa maisha ya watu wengine. Hamas ni haki yao kupukutishwa, lakini wale wasiohusishwa nao, wana haki ya kuishi.
Uharo
 
Sasa na baada ya hii vita maisha ya wapalestina ni magumu sana.
Yani kwa wale watu wa vimwana huu ni wakati wenu sasa, unaingia Israeli unapata ajira mshahara mzuri na ukitaka vibinti vya kipalestina unajichagulia kama vile unafanya shopping pale kariakoo yani ukienda na mafuta ya kula au kilo ya sukari vibinti vinakukimbilia sababu hakuna namna, hawana ajira
 
Izrael ni taifa teule la Mungu ukienda kwa ajili ya kutafuta riziki kuipigania Izrael hakika nakuhakikishia hufi

Na mataifa mengine ni ya shetani?

Nenda wewe na wayahudi wenzio na ikiwezekana uwasaidie ndugu zako mazayuni, ila mtakachokutana nacho kutoka kwa HAMAS msianze kulialia

God bless Hamas
God bless palestine 🇵🇸
 
Vita yoyote sio harusi
Katika hii vita ni kweli Israel imepunyuliwa wala haikutarajia vita kuwa ngumu na ndefu hivi, kwa upande wa Gaza maisha ya Wapalestina itahitaji miaka angalau 100 kuwa sawa kama yalivyokuwa kabla ya vita hii!.
 
Na mataifa mengine ni ya shetani?

Nenda wewe na wayahudi wenzio na ikiwezekana uwasaidie ndugu zako mazayuni, ila mtakachokutana nacho kutoka kwa HAMAS msianze kulialia

God bless Hamas
God bless palestine
Mungu habariki magaidi.
 
Kabla ya shambulio la kigaidi la Hamas, kulikuwa na wafanyakazi 21,000 toka Gaza waliokuwa wakifanya kazi Israel.

Baada ya shambulio hilo la Oktoba, na vita vinavyoendelea, Waziri wa usalama wa Israel bwana Itamar Ben-Gvir, amesema kuwa kutokana na uhasama wa Waarabu wa Gaza unaozidi kuongezeka dhidi ya Israel, hakuna mfanyakazi atakayeruhusiwa kutoka Gaza kuingia Israel kufanya kazi. Hivyo kutakuwa na upungufu wa wafanyakazi 21,000 kwenye sejta mbalimbali.

Wakati huo huo, waziri wa fedha wa Israel, bwana Smotrich, amesema kwamba hakuna hata shekel moja itakayopelekwa kwa utawala wa Gaza kwa sababu hayupo tayari kutoa pesa kwa mamlaka ya Gaza ili ikalipe mishahara itakayoenda kutunza familia za magaidi.

Wanaohangaikia ajira, mnaweza kuitumia hii nafasi, kama walivyofanya wenzetu wa Kenya na Malawi.


HABARI ZAIDI

Mpaka sasa vifo vya wapalestina ni zaidi ya 17,700. Kati ya hao, 7,000 ni wapiganaji wa Hamas na makundi yenye mafungamano nayo. Israel, toka October 7 mpaka sasa imepoteza askari wapatao 400. Mapigano yote yapo ndani ya Gaza na Westbank. Ndani ya Israel, tangu vita ianze, hakuna shambulizi lililosababisha kifo chochote, kutokana na ubora wa mifumo ya ulinzi wa anga.

Habari ndani ya Israel ni kwamba vita itaendelea kwa miezi 2 zaidi. Mwezi miwili imewakuta Wapalestina zaidi ya 17,700 wakipoteza maisha. Miezi 2 ijayo huenda itafikisha vifo vya Wapalestina zaidi ya 20,000.

Wakati magaidi wa Hamas na wanaowaunga mkono wanastahili wanachokipata, tuzidi kuwakumbuka wanadamu wale wasio na hatia, mkono wa Bwana ukawalinde ili wakivuke kipindi hiki kilicho kigumu sana kwako.

Hekima ikawapate watawala wa Dunia, ili ikiwezekana, watoto na wale wanaojulikana si sehemu ya haya makundi ya kigaidi (yaani wao si sehemu ya wapiganaji wala si miongoni mwa wanaounga mkono mbinu za magaidi), wawatafutie mahali salama, hata nje ya Gaza.

Maisha ya mwanadamu Duniani ni mafupi sana, hayastahili kufupishwa kwa mtutu wa bunduki, isipokuwa kwenye mazingira yasiyozuilika, kama vile uwepo wa huyo mtu kunaondoa maisha ya watu wengine. Hamas ni haki yao kupukutishwa, lakini wale wasiohusishwa nao, wana haki ya kuishi.
Israel kwa kiasi kikubwa kuna Utawala wa Kidemokrasia, huwezi kulinganisha na tawala zilizopo kwenye nchi zetu hizi za ki-Afrika au nchi za ki-Arab. Lakini siwashauri watu kwenda huko kutafuta kazi hasa ktk kipindi hiki ambacho vita bado inaendelea huko, wasubiri Kwanza mpaka vita iishe ndipo waende kwa wale wanaopenda kufanya hivyo.
 
Kabla ya shambulio la kigaidi la Hamas, kulikuwa na wafanyakazi 21,000 toka Gaza waliokuwa wakifanya kazi Israel.

Baada ya shambulio hilo la Oktoba, na vita vinavyoendelea, Waziri wa usalama wa Israel bwana Itamar Ben-Gvir, amesema kuwa kutokana na uhasama wa Waarabu wa Gaza unaozidi kuongezeka dhidi ya Israel, hakuna mfanyakazi atakayeruhusiwa kutoka Gaza kuingia Israel kufanya kazi. Hivyo kutakuwa na upungufu wa wafanyakazi 21,000 kwenye sejta mbalimbali.

Wakati huo huo, waziri wa fedha wa Israel, bwana Smotrich, amesema kwamba hakuna hata shekel moja itakayopelekwa kwa utawala wa Gaza kwa sababu hayupo tayari kutoa pesa kwa mamlaka ya Gaza ili ikalipe mishahara itakayoenda kutunza familia za magaidi.

Wanaohangaikia ajira, mnaweza kuitumia hii nafasi, kama walivyofanya wenzetu wa Kenya na Malawi.


HABARI ZAIDI

Mpaka sasa vifo vya wapalestina ni zaidi ya 17,700. Kati ya hao, 7,000 ni wapiganaji wa Hamas na makundi yenye mafungamano nayo. Israel, toka October 7 mpaka sasa imepoteza askari wapatao 400. Mapigano yote yapo ndani ya Gaza na Westbank. Ndani ya Israel, tangu vita ianze, hakuna shambulizi lililosababisha kifo chochote, kutokana na ubora wa mifumo ya ulinzi wa anga.

Habari ndani ya Israel ni kwamba vita itaendelea kwa miezi 2 zaidi. Mwezi miwili imewakuta Wapalestina zaidi ya 17,700 wakipoteza maisha. Miezi 2 ijayo huenda itafikisha vifo vya Wapalestina zaidi ya 20,000.

Wakati magaidi wa Hamas na wanaowaunga mkono wanastahili wanachokipata, tuzidi kuwakumbuka wanadamu wale wasio na hatia, mkono wa Bwana ukawalinde ili wakivuke kipindi hiki kilicho kigumu sana kwako.

Hekima ikawapate watawala wa Dunia, ili ikiwezekana, watoto na wale wanaojulikana si sehemu ya haya makundi ya kigaidi (yaani wao si sehemu ya wapiganaji wala si miongoni mwa wanaounga mkono mbinu za magaidi), wawatafutie mahali salama, hata nje ya Gaza.

Maisha ya mwanadamu Duniani ni mafupi sana, hayastahili kufupishwa kwa mtutu wa bunduki, isipokuwa kwenye mazingira yasiyozuilika, kama vile uwepo wa huyo mtu kunaondoa maisha ya watu wengine. Hamas ni haki yao kupukutishwa, lakini wale wasiohusishwa nao, wana haki ya kuishi.
 
Kabla ya shambulio la kigaidi la Hamas, kulikuwa na wafanyakazi 21,000 toka Gaza waliokuwa wakifanya kazi Israel.

Baada ya shambulio hilo la Oktoba, na vita vinavyoendelea, Waziri wa usalama wa Israel bwana Itamar Ben-Gvir, amesema kuwa kutokana na uhasama wa Waarabu wa Gaza unaozidi kuongezeka dhidi ya Israel, hakuna mfanyakazi atakayeruhusiwa kutoka Gaza kuingia Israel kufanya kazi. Hivyo kutakuwa na upungufu wa wafanyakazi 21,000 kwenye sejta mbalimbali.

Wakati huo huo, waziri wa fedha wa Israel, bwana Smotrich, amesema kwamba hakuna hata shekel moja itakayopelekwa kwa utawala wa Gaza kwa sababu hayupo tayari kutoa pesa kwa mamlaka ya Gaza ili ikalipe mishahara itakayoenda kutunza familia za magaidi.

Wanaohangaikia ajira, mnaweza kuitumia hii nafasi, kama walivyofanya wenzetu wa Kenya na Malawi.


HABARI ZAIDI

Mpaka sasa vifo vya wapalestina ni zaidi ya 17,700. Kati ya hao, 7,000 ni wapiganaji wa Hamas na makundi yenye mafungamano nayo. Israel, toka October 7 mpaka sasa imepoteza askari wapatao 400. Mapigano yote yapo ndani ya Gaza na Westbank. Ndani ya Israel, tangu vita ianze, hakuna shambulizi lililosababisha kifo chochote, kutokana na ubora wa mifumo ya ulinzi wa anga.

Habari ndani ya Israel ni kwamba vita itaendelea kwa miezi 2 zaidi. Mwezi miwili imewakuta Wapalestina zaidi ya 17,700 wakipoteza maisha. Miezi 2 ijayo huenda itafikisha vifo vya Wapalestina zaidi ya 20,000.

Wakati magaidi wa Hamas na wanaowaunga mkono wanastahili wanachokipata, tuzidi kuwakumbuka wanadamu wale wasio na hatia, mkono wa Bwana ukawalinde ili wakivuke kipindi hiki kilicho kigumu sana kwako.

Hekima ikawapate watawala wa Dunia, ili ikiwezekana, watoto na wale wanaojulikana si sehemu ya haya makundi ya kigaidi (yaani wao si sehemu ya wapiganaji wala si miongoni mwa wanaounga mkono mbinu za magaidi), wawatafutie mahali salama, hata nje ya Gaza.

Maisha ya mwanadamu Duniani ni mafupi sana, hayastahili kufupishwa kwa mtutu wa bunduki, isipokuwa kwenye mazingira yasiyozuilika, kama vile uwepo wa huyo mtu kunaondoa maisha ya watu wengine. Hamas ni haki yao kupukutishwa, lakini wale wasiohusishwa nao, wana haki ya kuishi.
HAPANA ,

Raia wote wa Gaza ni MAGAIDI watarajiwa.

Hivyo wauawe wote Hadi vifaranga vya kuku kisibakizhwe kitu chochote
 
Back
Top Bottom