Baaada ya game nzito sasa ni muda wa kushushia

Baaada ya game nzito sasa ni muda wa kushushia

Kama kweli Huyo demu umempata humu Jf kwa ID yako hiyo ya zero basi jf ni zaidi ya nijuavyo. mmmh wewe huyoooo??[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] wewe unafikiri Zero IQ ni Zero mpaka kwenye Brain mkuu?
 
Leo usiku kucha nilikuwa kwenye mtanange wa game tafu kabisa kuwahi kupigwa kwenye kiwanja cha lodge flani hivi hapa jijini dodoma karibu kabisa na MALAIKA pub,

Baada ya mchoko mkali sasa nipo hapa nashushia Supu ili nirudi ndani niendelee na mtanange mtoto ni kutoka kule jiji la Makonda yupo hapa kwa mtanange wa siku mbili na leo ni ya siku mwisho,


View attachment 1153157


Nimejuana nae vipi ni kwa Msaada wa mtandao wa jamii Forum ila ID yake ni siri yangu ya kufa na kuzikana



Cc Zero IQ
shushia k-vant
 
Univimbishe kama avatar yako afu ushushie supu ya pweza,eti?
[emoji16][emoji16][emoji16] Aiseeeeeeee Usiogope bhana mimi mtu mwema sana ukuje basi nikuulize jambo zuri kabisa
 
Ipo mkuu sema nje ni fresh zaidi kwa sababu ya kurefresh

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Kidogo umekuwa mchoyo na mbinafsi si ungetoka naye tu mpate pamoja? Au ulishamwachia yake ya sabuni na supu ili amuwahi mtoto? [emoji16]
 
Kidogo umekuwa mchoyo na mbinafsi si ungetoka naye tu mpate pamoja? Au ulishamwachia yake ya sabuni na supu ili amuwahi mtoto? [emoji16]
[emoji16][emoji16][emoji16] Aiseeeeeeee
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] wewe unafikiri Zero IQ ni Zero mpaka kwenye Brain mkuu?
Hapana lakini kwa hizo papuchi ulizokula kila siku una mpya, na unaleta mrejesho jf, kweli mwanamke gani akukubali kirahisi hivyo?
 
Back
Top Bottom