Aneel munawar
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 4,862
- 8,523
mi nachekaga ata kabla sijafungua uZi wakeJamaa huwa anafurahisha hakika
Smart guy
mi nachekaga ata kabla sijafungua uZi wakeJamaa huwa anafurahisha hakika
Smart guy
mkuu ni ukweli...ila akili zako unazijua mwenyewe[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] kwani uongo mkuu
Umenikumbusha mitaa ya chaduru we jamaa kwenye choya huko nikitoka zangu UDOM @kwa Pendo RassMzee baba vuka upande wa pili barabara ya kwenda udom Kuna grocery upate balimi 2 baridi