Baa la njaa: Handeni maembe yawa chakula kikuu

Baa la njaa: Handeni maembe yawa chakula kikuu

Maembe kuwa ghali haihalalashi kuyageuza yawe chakula hata kama yanaliwa. Maembe ni matunda lakini siyo chakula cha kushindia labda wakati wa njaa. Hii kushindia maembe ni dalili ya wazi ya upungufu mkubwa wa chakula ambao kwa kiswahili safi ni njaa (na njaa siyo lazima watu wafe).

Kwani chakula ni nini? na njaa ni nini?
 
Jiulize!!!!!!

Dawa imeshakuingia weye, ningeshangaa sana kama ungeweza kuyajibu hayo maswali mawili hadharani. Wenzako waliandika mengi lakini walipoulizwa chakula ni nini tu wakaanza vituko. Kama wewe unaweza kujibu jaribu!
 
Jana nilipita mahali nikakuta kaya moja wanachemsha mapapai mabichi wale. Kwa eneo hili debe la mahindi kwa sasa ni 19000, na tukumbuke wakazi wa handeni ni miongoni mwa watu wenye familia kubwa, zipo familia za hadi watu nane. Na nyingine zikilishwa na wanawake baada ya wanaume kuzitelekeza. Na shughuli zao kubwa ni kilimo ambacho kimekataa kabisa. Masika mwaka jana watu hawakuvuna mvua zilikata mahindi yakiwa magotini, na hii vuli hakuna mvua imenyesha. Wanahaki ya kula maembe na papai la kuchemsha. Tusubiri kitakachotokea.
 
Kama Mkuu wa Wilaya analia kwa kuona watu wakila maembe huyo hafai kuwa Mkuu wa Wilaya. Watanzania umefika wakati wa kuacha kukariri, nani kasema maembe hayafai kuwa chakula? Tena mimi naona tungekuwa na vionzozi wenye maono wangehamasisha watu wale maembe kipindi hiki cha msimu wa maembe kwa wingi huku wakihifadhi chakula cha aina nyingine kwa vile maembe hayahifadhiki kwa tekinolojia tuliyo nayo mpaka sasa. Tuna tatizo kubwa la kufikiri. Taarifa kwa wajinga wenzangu, maembe ni chakula ghali dar kuliko hata huo mchele.
maembe ni chakula au matunda?
siku zote aliyeshiba ndo anaweza kuandika maneno km haya.................🙁
 
maembe ni chakula au matunda?
siku zote aliyeshiba ndo anaweza kuandika maneno km haya.................🙁

Usiwe emotional, fikiri, ili kujua kama matunda sio chakula unatakiwa ujue kwanza nini maana ya chakula. Chakula ni nini?
 
Dawa imeshakuingia weye, ningeshangaa sana kama ungeweza kuyajibu hayo maswali mawili hadharani. Wenzako waliandika mengi lakini walipoulizwa chakula ni nini tu wakaanza vituko. Kama wewe unaweza kujibu jaribu!
Kwa uelewa wako sioni sababu ya kuendelea na huu mjadala FULLSTOP
 
Kwa uelewa wako sioni sababu ya kuendelea na huu mjadala FULLSTOP

Tayari, dawa imeshaingia, umeshaelewa, umejua wapi unaelekea, angalau umekuwa mwerevu mapema hukutaka kujiadhiri kwa maneno yako mwenyewe, na huo ndio uzuri wa ku google! Bravo
 
Tayari, dawa imeshaingia, umeshaelewa, umejua wapi unaelekea, angalau umekuwa mwerevu mapema hukutaka kujiadhiri kwa maneno yako mwenyewe, na huo ndio uzuri wa ku google! Bravo
Jifurahishe.
 
Sasa naanza kufahamu uelewa wako. Kwako wewe Tanzania na Burundi ni sawa kabisa kimazingira hata namna ya watu wanavyoishi au labda hivyo ndivyo unavyoamini. KuifahamuBurundi ni rahisi sana ukifika Mnanila kule Manyovu unaweza ukaingia bila basi au mabamba kule kakonko (Kibondo). Ungekuwa unajishughulisha nakuyafahamu mambo ungejua kuwa wakimbizi wa kirundi mpaka dakika hii wanpokelewa kule Kibondo ilhali Burundi hakuna vita. Kwa nini? Kwa sababu Burundi kuna njaa.

Mfumo wetu wa serikali za mitaa ni vigumu sana sana kuruhusu mtu agalagale na kufa kwa njaa unless kama hujui mfumo wa nchi jinsi ulivyo na hujui kamati za ulinzi na usalama zinafanyaje kazi. Narudia, ukiaminishwa kuwa mtu anawezakufa na njaa Tanzania basi unaweza hata ukaaminishwa jinsi uliyonayo ni tofauti na hiyo uliyoificha katika kufuli lako.

Ukipata definition ya chakula na ukawa jasiri kui share humu JF basi siku hiyo, kama ungekuwa mwanaume ningekuambia Now, you are talking like a man 'circumcised'!.


ule ulikuwa mfano umeshindwa kuelewa mjapan na Mungu kukusaidia kusona japan na umeshindwa kutofautisha mazingira ya maembe japan wameweka kwenye kundi la vyakula na ww umemeza nzimanzima unakuja nayo bongo si ajabu ushaanza kula mbwa kama wachina ktk baadhi ya post zako ipo mana ww unaiga tu kwa kuwa ni ngoz nyeupe kaongea huku ugali chakula maembe tunda


Nchini Tanzania,wakati viongozi wa serikali,wanasiasa na vyombo vya habari wakitafautiana juu ya uwepo ama kutokuwepo kwa tatizo la njaa katika baadhi ya maeneo nchini humo,wilayani Sengerema baadhi ya akina mama na watoto wamelazimika kuhamia nyumbani kwa mwenyekiti wa kijiji baada ya kukimbiwa na waume zao kutokana na ukosefu wa chakula wilayani humo.


chanzo dw kiswahili

Dotto Bulendu anaripoti hali ya chakula wilayani sengerema mkoani Mwanza ktk kijiji cha Isombe kupitia DW kiswahili.
 
Jana nilipita mahali nikakuta kaya moja wanachemsha mapapai mabichi wale. Kwa eneo hili debe la mahindi kwa sasa ni 19000, na tukumbuke wakazi wa handeni ni miongoni mwa watu wenye familia kubwa, zipo familia za hadi watu nane. Na nyingine zikilishwa na wanawake baada ya wanaume kuzitelekeza. Na shughuli zao kubwa ni kilimo ambacho kimekataa kabisa. Masika mwaka jana watu hawakuvuna mvua zilikata mahindi yakiwa magotini, na hii vuli hakuna mvua imenyesha. Wanahaki ya kula maembe na papai la kuchemsha. Tusubiri kitakachotokea.


jamaa kasoma japani hicho ni chakula katufundisha hamna matunda
 
Pale unapopewa kazi tofauti na fani yako..pindi matatizo yakitokea unabaki kulia tu sasa ufanye nin
 
ule ulikuwa mfano umeshindwa kuelewa mjapan na Mungu kukusaidia kusona japan na umeshindwa kutofautisha mazingira ya maembe japan wameweka kwenye kundi la vyakula na ww umemeza nzimanzima unakuja nayo bongo si ajabu ushaanza kula mbwa kama wachina ktk baadhi ya post zako ipo mana ww unaiga tu kwa kuwa ni ngoz nyeupe kaongea huku ugali chakula maembe tunda


Nchini Tanzania,wakati viongozi wa serikali,wanasiasa na vyombo vya habari wakitafautiana juu ya uwepo ama kutokuwepo kwa tatizo la njaa katika baadhi ya maeneo nchini humo,wilayani Sengerema baadhi ya akina mama na watoto wamelazimika kuhamia nyumbani kwa mwenyekiti wa kijiji baada ya kukimbiwa na waume zao kutokana na ukosefu wa chakula wilayani humo.


chanzo dw kiswahili

Dotto Bulendu anaripoti hali ya chakula wilayani sengerema mkoani Mwanza ktk kijiji cha Isombe kupitia DW kiswahili.

Siwezi kumlaumu Mungu kwa kumuumba jogoo na kichwa cha namna ile eti kwa vile siwezi kumbebesha tenga. Kama definition ya chakula tu mtu hawezi halafu anataka kujadili njaa, si ndio kama alivyosema darasa kumuelewesha chizi kazi!
 
Sasa juice za maembe ukikutwa unauza jela.ss maembe chakula mwndo wa bajeti
 
Kama Mkuu wa Wilaya analia kwa kuona watu wakila maembe huyo hafai kuwa Mkuu wa Wilaya. Watanzania umefika wakati wa kuacha kukariri, nani kasema maembe hayafai kuwa chakula? Tena mimi naona tungekuwa na vionzozi wenye maono wangehamasisha watu wale maembe kipindi hiki cha msimu wa maembe kwa wingi huku wakihifadhi chakula cha aina nyingine kwa vile maembe hayahifadhiki kwa tekinolojia tuliyo nayo mpaka sasa. Tuna tatizo kubwa la kufikiri. Taarifa kwa wajinga wenzangu, maembe ni chakula ghali dar kuliko hata huo mchele.
DUDE,kauli zako sitaki kusema ni aina gani ,watu wengine wangesema ni aina ya dunderheadism,maembe siyo stepple food,ni moja ya vyakula vinavyoangukia katika fungu la matunda, hivyo kusema nani kasema maembe siyo chakula,
napata shida kuhusu mwalimu aliyekufundisha BIOLOJIA,kwamba watu wahamasishwe kula maembe kama mlo kamili,
hapa watu wanahitaji chakula chakutia kalori mwilini siyo kulinda mwili,mwili unalindwa ukiwa na nguvu,(kalori) siyo wakati huu wa hangerpung,sasahivi kinatakiwa chakula cha dharura,kazi ambayo ingefanywa na wabunge,lakini wamekaa kimya
kana kwamba hakuna njaa,inasikitisha sana,ila watanzania kwakweli si watu wakuwatetea,acha wabunge watunge massheria ya kuwaumiza wapiga kura na njaa ipige tu labda watafunguka sikumoja
 
Nilipokuja kuomba kura sikuwaahidi kwamba nitawaletea chakula hata nchi nyengine duniani sijawahi ona wananchi wakigaiwa chakula.

Fanyeni kazi ndio mle [HASHTAG]#Hapa[/HASHTAG] kazi tu.
 
Siwezi kumlaumu Mungu kwa kumuumba jogoo na kichwa cha namna ile eti kwa vile siwezi kumbebesha tenga. Kama definition ya chakula tu mtu hawezi halafu anataka kujadili njaa, si ndio kama alivyosema darasa kumuelewesha chizi kazi!


umepumzika bado unarud ukiwa umepanic


hivi njaa nayo inajadiliwa ndo mnachojifunza huko japan?

utatumia kila aina ya lugha huwez kuondoa uhalisia bado unaomba difinition ya chakula upo jamii forum lakin hufam kama hii mada haipo jukwaa la elimu we vipi???

kamsikilize babu warioba huko wewe ushaanguka umebaki kupwayapwaya
 
Back
Top Bottom