Bado maana kila sehemu wanakula sana matunda kutokana na aina na msimu wenyewe ila haiondoi ukweli kuwa ndiyo kinakuwa chakula siku zote.hiyo inakuwa nyongeza tu katika maisha yao na kwa muda fulaniSawa, lakini umepata nilichotaka kuongelea....ndio hivyo
Pepo la lumumba!Kama Mkuu wa Wilaya analia kwa kuona watu wakila maembe huyo hafai kuwa Mkuu wa Wilaya. Watanzania umefika wakati wa kuacha kukariri, nani kasema maembe hayafai kuwa chakula? Tena mimi naona tungekuwa na vionzozi wenye maono wangehamasisha watu wale maembe kipindi hiki cha msimu wa maembe kwa wingi huku wakihifadhi chakula cha aina nyingine kwa vile maembe hayahifadhiki kwa tekinolojia tuliyo nayo mpaka sasa. Tuna tatizo kubwa la kufikiri. Taarifa kwa wajinga wenzangu, maembe ni chakula ghali dar kuliko hata huo mchele.
Taarifa kwa wajinga wenzio.Kama Mkuu wa Wilaya analia kwa kuona watu wakila maembe huyo hafai kuwa Mkuu wa Wilaya. Watanzania umefika wakati wa kuacha kukariri, nani kasema maembe hayafai kuwa chakula? Tena mimi naona tungekuwa na vionzozi wenye maono wangehamasisha watu wale maembe kipindi hiki cha msimu wa maembe kwa wingi huku wakihifadhi chakula cha aina nyingine kwa vile maembe hayahifadhiki kwa tekinolojia tuliyo nayo mpaka sasa. Tuna tatizo kubwa la kufikiri. Taarifa kwa wajinga wenzangu, maembe ni chakula ghali dar kuliko hata huo mchele.
Huna haja ya kutukana, ukisema maembe sio chakula ni matunda haitoshi? Haya nishaacha uzwazwa, tafadhali naomba niambie matunda sio chakula? kama matunda sio chakula basi chakula maana yake nini? Naomba nisaidie tafsiri ya chakula ndugu yangu mwerevu
Domokaya unaongea point sana hapo. Kweli maembe ghali Dsm na bei yake ni sawa nusu kilo ya Michele. Pia umesema kama wanamaembe wanakula basi hawana njaa..ni kweli wana matunda hivyo wanakula kupoza njaa. Na kwa maoni yako tukufu waweke chakula akiba (ambacho hawana kwa sasa) hivyo wasilie njaa wafanye kazi kama anavyoagiza mwenyekiti wetu. Na kwa kweli kama unakula na kushiba kabisa huwezi kumjua mwenye njaa ndio maana unwashangaa mwenye kula maembe wakati ugali upo kibao mtaani. It is obvious kuwa nyuma ya key board na kuandika kwa mzaha juu ya njaa sishangai kabisa.Sawa, nimekuelewa, maembe sio chakula. Angalau wewe umeniaambia kitu kutokana na uzoefu wako. Sasa inatubidi tutafute tafsiri ya chakula ni nini, inaezekana hata kusema tuna njaa au hatuna njaa kunatokana na sisi kutofahamu chakula ni nini?
Tangu lini embe ndio chakula kamilifu kwa afya bora? Ni dhahiri uelewa wako wa kanuni za lishe bora ni ndogo. Elemika na wimbo huu mama chakula bora.Kama Mkuu wa Wilaya analia kwa kuona watu wakila maembe huyo hafai kuwa Mkuu wa Wilaya. Watanzania umefika wakati wa kuacha kukariri, nani kasema maembe hayafai kuwa chakula? Tena mimi naona tungekuwa na vionzozi wenye maono wangehamasisha watu wale maembe kipindi hiki cha msimu wa maembe kwa wingi huku wakihifadhi chakula cha aina nyingine kwa vile maembe hayahifadhiki kwa tekinolojia tuliyo nayo mpaka sasa. Tuna tatizo kubwa la kufikiri. Taarifa kwa wajinga wenzangu, maembe ni chakula ghali dar kuliko hata huo mchele.
Kichwa chako kazi yake ni nyele tu!Kama Mkuu wa Wilaya analia kwa kuona watu wakila maembe huyo hafai kuwa Mkuu wa Wilaya. Watanzania umefika wakati wa kuacha kukariri, nani kasema maembe hayafai kuwa chakula? Tena mimi naona tungekuwa na vionzozi wenye maono wangehamasisha watu wale maembe kipindi hiki cha msimu wa maembe kwa wingi huku wakihifadhi chakula cha aina nyingine kwa vile maembe hayahifadhiki kwa tekinolojia tuliyo nayo mpaka sasa. Tuna tatizo kubwa la kufikiri. Taarifa kwa wajinga wenzangu, maembe ni chakula ghali dar kuliko hata huo mchele.
Dodoma ndio maarufu kwa kula Viwavi. Inasemekana vina protein kwa wingiHivi Viwavi bado wanapatikana Singida
unahitaji maombiKama Mkuu wa Wilaya analia kwa kuona watu wakila maembe huyo hafai kuwa Mkuu wa Wilaya. Watanzania umefika wakati wa kuacha kukariri, nani kasema maembe hayafai kuwa chakula? Tena mimi naona tungekuwa na vionzozi wenye maono wangehamasisha watu wale maembe kipindi hiki cha msimu wa maembe kwa wingi huku wakihifadhi chakula cha aina nyingine kwa vile maembe hayahifadhiki kwa tekinolojia tuliyo nayo mpaka sasa. Tuna tatizo kubwa la kufikiri. Taarifa kwa wajinga wenzangu, maembe ni chakula ghali dar kuliko hata huo mchele.
Bado maana kila sehemu wanakula sana matunda kutokana na aina na msimu wenyewe ila haiondoi ukweli kuwa ndiyo kinakuwa chakula siku zote.hiyo inakuwa nyongeza tu katika maisha yao na kwa muda fulani
unahitaji maombi
Chakula! chakula mkuu usiwe mtu wa kukalili kuwa kula mpaka ule ugali ndo uamini umekula kama hayo maembe yanauwa tutaangalia namna ya kuwasaidia waache kulia lia.Hali ya Ukosefu wa Chakula Nchini imewafanya wakazi wa Wilaya ya Handeni Mkoani Tanga kufanya Maembe kuwa Chakula
Kikuu
Picha hapa Chini ikimuonyesha Mkuu wa Wilaya hio Akilia baada ya kushuhudia wananchi wakishindia maembe