Azzan Zungu anamwaga darasa Bungeni

Azzan Zungu anamwaga darasa Bungeni

Tukishika nchi
Tunavunja Muungano...timua timua wapemba wote na wahindi ya Idi Amin cha mtoto.
lazima tuwatimue wapemba wote maghorofa ya kariakoo na posta na miji mingine hapa TZ..

Then tunadeclare Jamhuri ya TANGANYIKA.

Nipo jeshini now ila subiri nipande cheo tutalianzisha
Lazima uchumi wa nchii umilikiwe na WABANTU orijino.

Wacha kuota katafute jembe ukalime
 
Mkuu pamoja na sifa zote ulizozionyesha,na miaka aliotumikia jeshi mbona nimefahamishwa aliishia na cheo cha corporol (koplo)? Kwa jinsi ulivyo mpamba nilifikiri alikuwa generali.
 
Je anatetea muundo wa serikali ngapi?
Je unajua kuwa Ilala ndio wilaya inyoongoza nchini kwa kuwa na idadi kubwa ya mafisadi?
Je unajua kuwa wilaya ya Ilala ndio makao makuu ya wauza unga?
Je unajua kuwa wilaya ya Ilala...kwa sasa ngoja niishie hapa.
Mag3,
Siyo hivyo tu. Hata huyo Azzan mwenyewe alishatetesiwa kuhusika na biashara ya unga.
 
Mkuu pamoja na sifa zote ulizozionyesha,na miaka aliotumikia jeshi mbona nimefahamishwa aliishia na cheo cha corporol (koplo)? Kwa jinsi ulivyo mpamba nilifikiri alikuwa generali.

Aliyekwambia kakudanganya.
 
Unaleta porojo za kambi ya upinzani tena za Zitto, hata upinzani wamemtoa kwa porojo zake, au umesahau?

Naona kama umesoma juu juu au unataka kupindisha hoja kisiasa,

Siyo porojo zake na kama unaamini ni porojo basi zitakuwa ni porojo za waziri husika wa serikali iliyo madarakani kwa sababu alikuwa ananukuhu "taarifa ya hali ya umaskini nchini, ambayo Mheshimiwa Waziri [kwa sababu anazozijua mwenyewe] hakuigusia katika hotuba yake" aliyoitoa bungeni.

Taarifa hiyo ya waziri ilieleza "hali ya umaskini kwa kila Wilaya ya Tanzania" na kutaja "Wilaya ya kwanza mpaka ya mwisho kwa umaskini."

Kwa mujibu wa taarifa ya huyo waziri husika "
Wilaya tajiri ni Bukoba Mjini, Arusha Mjini na Mbeya Mjini, kati ya wananchi 100 Bukoba Mjini wananchi 11 tu ndio hawana uwezo wa mahitaji ya msingi. Arusha Mjini ni wananchi 12 na Mbeya Mjini ni watu 12 pia".


 
manispaa ya ilala kila kukicha ni kutimuana kazi,hakuna maendeleo,hakuna kinachoendelea hawashtakiwi hela za miradi zinaliwa barabara hazijengwi,meya hana anachojua zaidi ya kuweka masanamu katikati ya jiji ndo anachoona cha maana kuliko miradi ya maendeleo.ilala bila upinzani pale ni kazi bure,
 
Aliyekwambia kakudanganya.


Mkuu kama nimedanganywa mbona hutufahamishi ukweli? Ali retire na cheo kipi? Ukweli ndio huo hata kama huutaki aliishia koplo. Sifa lukuki miaka ya secondary miwili. Pole dada.
 
manispaa ya ilala kila kukicha ni kutimuana kazi,hakuna maendeleo,hakuna kinachoendelea hawashtakiwi hela za miradi zinaliwa barabara hazijengwi,meya hana anachojua zaidi ya kuweka masanamu katikati ya jiji ndo anachoona cha maana kuliko miradi ya maendeleo.ilala bila upinzani pale ni kazi bure,

Ilala kila mtu anafahamiana na Rais. Kila anayeguswa eti Rais ni mjomba, kaka, n.k. Kila nyumba ikiguswa ni ya shangazi wa Rais. Ni uswahili tuuuu hakuna kitu! Sasa wameshaanza mtindo wa kuamua nje ya ofisi na kuyaleta ndani ya ofisi.


Huyo Meya ndo kabisa! Sijui ilikuwaje maana meya kama huyu wa Ilala alistahili awe kocha wa timu za kule uwanja wa fisi. Ni Wilaya yenye kila aina ya nonsense.
 
Mkuu pamoja na sifa zote ulizozionyesha,na miaka aliotumikia jeshi mbona nimefahamishwa aliishia na cheo cha corporol (koplo)? Kwa jinsi ulivyo mpamba nilifikiri alikuwa generali.

Hakuwahi kupanda cheo chochote zaidi ya hapo.
 
Ukimsikiliza vizuri anawasaidia hao wabunge ndiyo maana wanakubali kurudisha shillingi, kwani ukizuwia shillingi, hoja inafikia kupigiwa kura na upinzani hawana majority wanashindwa kwenye kura. Anachofanya yeye ni kuiwacha wazi hiyo hoja ili ipate kuzungumzwa kwenye kamati maalum za bunge, anaipa hoja uhai. Unless niwe sijamuelewa darsa lake na wale wabunge wa upinzani wanaokubali kuvuta shillingi hawajamuelewa.

Kumbuka, hapo kwa sasa hivi yeye ni mwenyelkiti wa kamati ya bunge kwa hilo, kama mwenyekiti anaweza kuongelea mada hiyo. Bunge likikaa kama na yeye akikaa kama speaker ndio hawezi kuchangia zaidi ya kulitolea muongozo na kusimamia kanuni za kuendesha bunge, lakini si hapa lilipo sasa hivi kama kamati. Kumbuka hilo.

Darsa=Darasa
 
shida moja tuu anakadi ya ccm so hana Faida kwa nchi hila faida labda kwa ccm
 
Ameshia F4 hafu awe spika kutafasiri sheria anajua?
Haushangai Mbowe ni kiongozi wa Chadema alishagombea mpaka urais na anaongoza maprofesa na madr wote Chadema na elimu yake ya F4.
 
Darsa=Darasa

Duh! haya na wewe nawe ngoja nikupe darsa la lugha japo "kiduchu":

Darasa = Ni lile lenye kuta nne (chumba) ambalo wanakaa wanafunzi kufundishwa.

Darsa = Ni kile anachofundisha mtu, si lazima awe darasani kutoa darsa, kama hivi nnakupa wewe darsa lakini hatupo darasani.

Kumbuka hilo.
 
Mkuu kama nimedanganywa mbona hutufahamishi ukweli? Ali retire na cheo kipi? Ukweli ndio huo hata kama huutaki aliishia koplo. Sifa lukuki miaka ya secondary miwili. Pole dada.

Na ile miaka aliyokaa Military Academy ulifikiri alikuwa anacheza huko? Hao walichukuliwa darasani waende jeshini wakapate elimu ya sekondari hukohuko jeshini, jinsi vichwa vyao vilikuwa vina charge, huyajui hayo ni kijana mdogo sana, wako wengi sana wa enzi hizo kama huyo. Uliza uelezwe.
 
Duh! haya na wewe nawe ngoja nikupe darsa la lugha japo "kiduchu":

Darasa = Ni lile lenye kuta nne (chumba) ambalo wanakaa wanafunzi kufundishwa.

Darsa = Ni kile anachofundisha mtu, si lazima awe darasani kutoa darsa, kama hivi nnakupa wewe darsa lakini hatupo darasani.

Kumbuka hilo.
Na ilimu je?!
 
Back
Top Bottom