Azzan Zungu anamwaga darasa Bungeni

Azzan Zungu anamwaga darasa Bungeni

Tukishika nchi
Tunavunja Muungano...timua timua wapemba wote na wahindi ya Idi Amin cha mtoto.
lazima tuwatimue wapemba wote maghorofa ya kariakoo na posta na miji mingine hapa TZ..

Then tunadeclare Jamhuri ya TANGANYIKA.

Nipo jeshini now ila subiri nipande cheo tutalianzisha
Lazima uchumi wa nchii umilikiwe na WABANTU orijino.

Kashindwa Nyerere utaweza wewe? kalagabaho.
 
Una akili timamu wewe
Eti tunakopesheka
Gas ni ya wamakonde na sio wapemba

Mwambie huyo mmakonde akachimbe, ataanzia wapi?

Panda juu ushuke chini, nenda Magharibi urudi Mashariki, hororoja mpaka uzimie, hiyo itachimbwa na wazungu na wageni wengine, kama si kwa hiyari basi kwa nguvu, unafikiri watu waliowekeza pale mabilioni ni mazuzu kama wewe?

Tena Wapemba wala usiwaambie hilo wana gas wana mafuta kwao tena kedekede. Usilolijuwa ni usiku wa kiza.

Kwi kwi kwi teh teh teh.
 
Anamudu nafasi ya kiti cha spika lakini niliwahi kusikia jina lake likihusishwa na madawa ya kulevya kama kuna Zungu mwingine tafadhali nijuzeni.
 
Mwambie huyo mmakonde akachimbe, ataanzia wapi?

Panda juu ushuke chini, nenda Magharibi urudi Mashariki, hororoja mpaka uzimie, hiyo itachimbwa na wazungu na wageni wengine, kama si kwa hiyari basi kwa nguvu, unafikiri watu waliowekeza pale mabilioni ni mazuzu kama wewe?

Tena Wapemba wala usiwaambie hilo wana gas wana mafuta kwao tena kedekede. Usilolijuwa ni usiku wa kiza.

Kwi kwi kwi teh teh teh.

Wapemba wana gas wapi wewe shida tupu huko pemba hadi wanajazana kariaakoo ngoha tuvunje muungano ndo utajua kua hii ni Tanganyika .

Udini peleka huko Arabuni kazi yenu kuwaza 0712 ndo mana maendeleo duni
 
Huyu Ajuza huwa anapenda udini sana Pambaf

Udini ndio nini? Kama unamaanisha Uislam basi ujuwe nnaupenda sana tena kweli kweli, kuliko chochote kingine dunia hii.

Vipi wewe huipendi dini yako? kama huipendi karibu kwetu, ukishapata darsa itabidi uupende tu, kuna mtu mwema hapendi ukweli?
 
Umeona eeh sijui hanaga kazi..
Watu wanawaza kwenda mwenzini ye anawaza kupeleka mtoto madrasa eti wanaita chuo.
Hana tofauti na Boko Haram
Ngoja niwasiliane na moss wampige ban huyu pimbi anatuchafulia hali ya hewa hapa nchini

Wewe uko miaka mingapi sijui nyuma watu wameenda mwezini miaka ya 70 huko, uko wapi wewe?

Hahaha, hoja zimekushinda unaanza kuhororoja, angalia usipigwe wewe ban. Imekuuma mimi kumsifia Azzan na ukweli unauona au hutazami mijadala ya bunge?
 
Udini ndio nini? Kama unamaanisha Uislam basi ujuwe nnaupenda sana tena kweli kweli, kuliko chochote kingine dunia hii.

Vipi wewe huipendi dini yako? kama huipendi karibu kwetu, ukishapata darsa itabidi uupende tu, kuna mtu mwema hapendi ukweli?
teh teh, kwi kwi, nasikia ukiwa mkristo udini ni uislamu, na ukiwa muislamu udini ni ukristo! Kazi ipo...tanganyika kwanza, mengine yataeuata!
 
Wapemba wana gas wapi wewe shida tupu huko pemba hadi wanajazana kariaakoo ngoha tuvunje muungano ndo utajua kua hii ni Tanganyika .

Udini peleka huko Arabuni kazi yenu kuwaza 0712 ndo mana maendeleo duni

Hiyo shida umewapa wewe? Wapemba wana Karafuu enzi na enzi, nchi yao green kabisa, ukilima chochote kinamea, hawana shida hata kidogo, hapa wamezifata fursa ambazo mtu kama wewe huzioni kwa kulala kwako usingizi, si unawaona walivyoziona fursa wamezitumia, na kwa kukujuza tu, hawapo Kariakoo tu, Tanzania nzima wapo na wanazitumia fursa kwa marefu na mapana.

Wewe kaa ulalame na kuhororoja bila mpango.
 
Nilipoona neno 'darsa' nikadhani anamwaga maarifa ya madrasa, kumbe anaaply elimu haramu ya magharibi aka boko haram !!!

Si unaona hata Kiswahili masikini kinakupiga chenga.
 
Hiyo shida umewapa wewe? Wapemba wana Karafuu enzi na enzi, nchi yao green kabisa, ukilima chochote kinamea, hawana shida hata kidogo, hapa wamezifata fursa ambazo mtu kama wewe huzioni kwa kulala kwako usingizi, si unawaona walivyoziona fursa wamezitumia, na kwa kukujuza tu, hawapo Kariakoo tu, Tanzania nzima wapo na wanazitumia fursa kwa marefu na mapana.

Wewe kaa ulalame na kuhororoja bila mpango.
duh, wewe mama mahaba mengine punguza! Yaani pemba kinamea chochote???
 
Tukishika nchi
Tunavunja Muungano...timua timua wapemba wote na wahindi ya Idi Amin cha mtoto.
lazima tuwatimue wapemba wote maghorofa ya kariakoo na posta na miji mingine hapa TZ..

Then tunadeclare Jamhuri ya TANGANYIKA.

Nipo jeshini now ila subiri nipande cheo tutalianzisha
Lazima uchumi wa nchii umilikiwe na WABANTU orijino.

Ndugu yangu kuwa makini.. huko jeshini si salama sana.. wakuua hawa wanamtandao
 
Namkubali sana Zungu japo nipo mrengo tofauti kisiasa,ila hafany fitina ujinga kwa mtu yyte yule.
 
Back
Top Bottom