RockSpider
JF-Expert Member
- Feb 16, 2014
- 6,859
- 2,761
Natural born Leader... Kiongozi huzaliwa!!!
Kwani Faizafoxy ni dada? mbona picha inaonyesha ni kaka?
Umeona eeh sijui hanaga kazi..
Watu wanawaza kwenda mwenzini ye anawaza kupeleka mtoto madrasa eti wanaita chuo.
Hana tofauti na Boko Haram
Ngoja niwasiliane na moss wampige ban huyu pimbi anatuchafulia hali ya hewa hapa nchini
Mkuu jambo usilolijua jaribu kulifanyia utafiti wa kutosha! ... Al Qaeda, Al Shabaab na Boko Haram ni part n parcel ya CIA operamond... elimika hapa https://sites.google.com/site/csiobama/ASSASSINATION-SCAPEGOATS/al-shabaab
Mwenyekiti wa kikao cha bunge kinachoendelea saa hii, Azzan Zungu, (nna-declare interest) ni mbunge wa jimbo langu la Ilala.
Hivi sasa anamwaga darsa kwa kila anaechukuwa shillingi ya waziri, nimeona mpaka sasa wabunge wa upinzani kama watatu wa upinzani kila wanapochukuwa shillingi na kuing'ang'ania yeye anatoa darsa la maana na wanamuelewa na darsa linawaingia mpaka wanarudisha shillingi wenyewe bila makeke, na hili nimelishuhudia toka jana si leo pekee.
Huyu ndiye alifaa kuwa Speaker wa bunge, anakubalika kote kote.
Ahsante Zungu, unaionesha Tanzania kwanini Wilaya ya Ilala ndiyo wilaya tajiri Tanzania na haina shamba wala madini. Vichwa.
We are proud of you. Ukigombea tena Ubunge tunakupa bila kupingwa. Kudos.