Azzan Zungu anamwaga darasa Bungeni

Azzan Zungu anamwaga darasa Bungeni

Ahsante Zungu, unaionesha Tanzania kwanini Wilaya ya Ilala ndiyo wilaya tajiri Tanzania na haina shamba wala madini. Vichwa.

We are proud of you. Ukigombea tena Ubunge tunakupa bila kupingwa. Kudos.

Umeona barabara ya uhuru kuelekea kariakoo ilivyombovu...sasa[/QUOTE]

Nimeiona, na wewe hujaona mvua kubwa zilizonyeesha Dar?
 
Mwenyekiti wa kikao cha bunge kinachoendelea saa hii, Azzan Zungu, (nna-declare interest) ni mbunge wa jimbo langu la Ilala.

Hivi sasa anamwaga darsa kwa kila anaechukuwa shillingi ya waziri, nimeona mpaka sasa wabunge wa upinzani kama watatu wa upinzani kila wanapochukuwa shillingi na kuing'ang'ania yeye anatoa darsa la maana na wanamuelewa na darsa linawaingia mpaka wanarudisha shillingi wenyewe bila makeke, na hili nimelishuhudia toka jana si leo pekee.

Huyu ndiye alifaa kuwa Speaker wa bunge, anakubalika kote kote.

Ahsante Zungu, unaionesha Tanzania kwanini Wilaya ya Ilala ndiyo wilaya tajiri Tanzania na haina shamba wala madini. Vichwa.

We are proud of you. Ukigombea tena Ubunge tunakupa bila kupingwa. Kudos.

kumbe dadaangu tuko jimbo moja?ila muda mrefu nlikuwa uk ss hv niko hapa home ilala nadhani ntpt meng
 
Peleka mawazo yako kwa mbunge wako wa BMK.

Kuna tatizo mtu akiwa na mawazo tofauti na wewe?Kila mtu anafikiri namna tofauti na ndiyo maana tuko tofauti.Sijadharau maoni au mawazo yako bali nimetoa ninavyowaza.

Na la mwisho hivi tulichagua wabunge wa bunge maalumu?Kama jibu ni hapana basi hauna haki ya kuniambia mawazo yangu niyapeleke kwa mbunge wangu wa BMK.
 
Ukimsikiliza vizuri anawasaidia hao wabunge ndiyo maana wanakubali kurudisha shillingi, kwani ukizuwia shillingi, hoja inafikia kupigiwa kura na upinzani hawana majority wanashindwa kwenye kura. Anachofanya yeye ni kuiwacha wazi hiyo hoja ili ipate kuzungumzwa kwenye kamati maalum za bunge, anaipa hoja uhai. Unless niwe sijamuelewa darsa lake na wale wabunge wa upinzani wanaokubali kuvuta shillingi hawajamuelewa.

Kumbuka, hapo kwa sasa hivi yeye ni mwenyelkiti wa kamati ya bunge kwa hilo, kama mwenyekiti anaweza kuongelea mada hiyo. Bunge likikaa kama na yeye akikaa kama speaker ndio hawezi kuchangia zaidi ya kulitolea muongozo na kusimamia kanuni za kuendesha bunge, lakini si hapa lilipo sasa hivi kama kamati. Kumbuka hilo.

Vyovyote vile, kiongozi anayetumia hoja kumbadilisha mtu, binafsi namheshimu kuliko anayetumia ubabe.
 
Wabunge wote wa Dsm wame fail kufanya kazi zao.
Jiji sasa linavunja recodi kwa uchafu
Miundo mbinu ya bara bara mibovu
Mitaro ya maji chafu kuziba
Hakuna master plan ya jiji ya kueleweka
Mainjinia wa jiji na planners wao ni wajinga (ujinga sio tusi ni ukosefu wa elimu ) hawajui wafanyalo au ni mambo ya 10%.mfano barabara zote mpya zinajengwa bila ya kufikiria watoto au walemavu au wazee na watembea miguu.baya zaidi zile zinazopita mashuleni kunakua na mitaro ya wazi pande zote za barabara.wanafunzi hawajui wapite wapi.
Ukweli hakuna dunia nzima ujenzi huu katka majiji yote.

Jiji na wabunge Dar wamefeli hawapaswi kuendelea pamoja na mkurugenzi wa jiji wote ni majanga matupu
 

Attachments

  • 1400863318292.jpg
    1400863318292.jpg
    57.8 KB · Views: 142
  • 1400863349846.jpg
    1400863349846.jpg
    75 KB · Views: 135
Mwenyekiti wa kikao cha bunge kinachoendelea saa hii, Azzan Zungu, (nna-declare interest) ni mbunge wa jimbo langu la Ilala.

Hivi sasa anamwaga darsa kwa kila anaechukuwa shillingi ya waziri, nimeona mpaka sasa wabunge wa upinzani kama watatu wa upinzani kila wanapochukuwa shillingi na kuing'ang'ania yeye anatoa darsa la maana na wanamuelewa na darsa linawaingia mpaka wanarudisha shillingi wenyewe bila makeke, na hili nimelishuhudia toka jana si leo pekee.

Huyu ndiye alifaa kuwa Speaker wa bunge, anakubalika kote kote.

Ahsante Zungu, unaionesha Tanzania kwanini Wilaya ya Ilala ndiyo wilaya tajiri Tanzania na haina shamba wala madini. Vichwa.

We are proud of you. Ukigombea tena Ubunge tunakupa bila kupingwa. Kudos.

Kila wakati sikuelewi kabisa na hasa uwezo wako wa kuchambua mambo. Yaani wewe kazi anayoifanya hapo uliona ni kazi yake? Anaweza kuwa anazungumza yale unayotaka kuyasikia lakini ukweli hiyo siyo kazi yake.

Huwa sipendi kabisa mtu anayehangaika kutafuta wastani kwa kutumia namba moja tu!

Huyu mtu wako ile skendo ya madawa imeishia wapi? Au utauliza ushahidi uko wapi?
 
Wabunge wote wa Dsm wame fail kufanya kazi zao.
Jiji sasa linavunja recodi kwa uchafu
Miundo mbinu ya bara bara mibovu
Mitaro ya maji chafu kuziba
Hakuna master plan ya jiji ya kueleweka
Mainjinia wa jiji na planners wao ni wajinga (ujinga sio tusi ni ukosefu wa elimu ) hawajui wafanyalo au ni mambo ya 10%.mfano barabara zote mpya zinajengwa bila ya kufikiria watoto au walemavu au wazee na watembea miguu.baya zaidi zile zinazopita mashuleni kunakua na mitaro ya wazi pande zote za barabara.wanafunzi hawajui wapite wapi.
Ukweli hakuna dunia nzima ujenzi huu katka majiji yote.

Jiji na wabunge Dar wamefeli hawapaswi kuendelea pamoja na mkurugenzi wa jiji wote ni majanga matupu

Kumbuka Dar ni jiji lililokuwa designed kuwa na watu 500,000 tu, kwa kuwa kuna mafanikio na harakati za kibiashara kubwa sana katika Afrka Mashariki, na ni makao makuu ya wizara zote kwa sasa (dodoma zuga tu), watu wamejazana kwa wingi sana, influx, ya watu imekuwa kubwa, sasa hivi jiji lina watu million 6 na wanazidi kila siku, ni changa moto lakini nna uhakika mikakati iliyopo sasa hivi, hiyo itakuwa mambo ya kale baada ya muda si mrefu.
 
Kila wakati sikuelewi kabisa na hasa uwezo wako wa kuchambua mambo. Yaani wewe kazi anayoifanya hapo uliona ni kazi yake? Anaweza kuwa anazungumza yale unayotaka kuyasikia lakini ukweli hiyo siyo kazi yake.

Huwa sipendi kabisa mtu anayehangaika kutafuta wastani kwa kutumia namba moja tu!

Huyu mtu wako ile skendo ya madawa imeishia wapi? Au utauliza ushahidi uko wapi?

Umechanganya madawa, skendo ilikuwa ni kwa mbunge wa Kinondoni ambao majina yao yanafanana.

Ume buuugi man.
 
Kuna tatizo mtu akiwa na mawazo tofauti na wewe?Kila mtu anafikiri namna tofauti na ndiyo maana tuko tofauti.Sijadharau maoni au mawazo yako bali nimetoa ninavyowaza.

Na la mwisho hivi tulichagua wabunge wa bunge maalumu?Kama jibu ni hapana basi hauna haki ya kuniambia mawazo yangu niyapeleke kwa mbunge wangu wa BMK.

Sasa kosa langu ni nini hapo, na wabunge ndio wanalizungumzia hilo la katiba mpya bungeni.

Hilo la Uwaziri kutokuwa wabunge hata mimi naliunga mkono, na ndiyo maana nimekwambia peleka hoja hiyo kwa mbunge wako ili lifanyiwe kazi, sijui nilichokukera mpaka ukaona tumetofautiana ni kipi?
 
Sasa kosa langu ni nini hapo, na wabunge ndio wanalizungumzia hilo la katiba mpya bungeni.

Hilo la Uwaziri kutokuwa wabunge hata mimi naliunga mkono, na ndiyo maana nimekwambia peleka hoja hiyo kwa mbunge wako ili lifanyiwe kazi, sijui nilichokukera mpaka ukaona tumetofautiana ni kipi?

Wala haujanikera ila tu namna ulivyoiandika dada'ngu mpaka nimepata woga wa kujadili post zako.
 
Duh! usilolijuwa ni usiku wa kiza!

[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 5, align: left"]EDUCATION[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="width: 35%"]School Name/Location [/TH]
[TH="width: 27%"]Course/Degree/Award [/TH]
[TH="width: 15%, align: center"]Start Date[/TH]
[TH="width: 13%, align: center"]End Date[/TH]
[TH="width: 10%, align: center"]Level[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Military College of Aviation[/TD]
[TD="align: center"]Aviation Studies[/TD]
[TD="align: center"]1970[/TD]
[TD="align: center"]1973[/TD]
[TD="align: center"]ADV DIPLOMA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Sound Air Canada[/TD]
[TD="align: center"]Aviation Studies[/TD]
[TD="align: center"]1979[/TD]
[TD="align: center"]1980[/TD]
[TD="align: center"]ADV DIPLOMA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tanzania/NCC[/TD]
[TD="align: center"]Procurement Course[/TD]
[TD="align: center"][/TD]
[TD="align: center"]2002[/TD]
[TD="align: center"]DIPLOMA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Cairo[/TD]
[TD="align: center"]Diplomatic Studies[/TD]
[TD="align: center"][/TD]
[TD="align: center"]2007[/TD]
[TD="align: center"]DIPLOMA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tambaza Secondary School[/TD]
[TD="align: center"]Ordinary Level Education[/TD]
[TD="align: center"]1968[/TD]
[TD="align: center"]1969[/TD]
[TD="align: center"]SECONDARY[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 4, align: left"]EMPLOYMENT HISTORY [/TH]
[/TR]
[TR]
[TH]Company Name [/TH]
[TH="align: center"]Position [/TH]
[TH="align: center"]From [/TH]
[TH="align: center"]To [/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Public Procuring Regulator Authority[/TD]
[TD]Board Director[/TD]
[TD="align: center"]2007[/TD]
[TD="align: center"]To Date[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]The Parliament of Tanzania[/TD]
[TD]Member - Ilala Constituency[/TD]
[TD="align: center"]2005[/TD]
[TD="align: center"]2015[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ilalla Municipal[/TD]
[TD]Deputy Mayor[/TD]
[TD="align: center"]2003[/TD]
[TD="align: center"]2005[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ilala Municipal[/TD]
[TD]Councilor[/TD]
[TD="align: center"]2001[/TD]
[TD="align: center"]2002[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]UAE[/TD]
[TD]Material Manager[/TD]
[TD="align: center"]1983[/TD]
[TD="align: center"]1993[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Military College of Aviation[/TD]
[TD]Principal Aircraft Maintanance Engineer[/TD]
[TD="align: center"]1970[/TD]
[TD="align: center"]1982[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 4, align: left"]POLITICAL EXPERIENCE [/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="class: text_menu, width: 47%"]Ministry/Political Party/Location [/TH]
[TH="class: text_menu, width: 31%, align: center"]Position [/TH]
[TH="class: text_menu, width: 12%, align: center"]From[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 10%, align: center"]To[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Commonwealth Parliamentary Association Tanzania Br[/TD]
[TD]Chairman[/TD]
[TD="align: center"]2011[/TD]
[TD="align: center"]To Date[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]City Council Investment Committee[/TD]
[TD]Chairman[/TD]
[TD="align: center"]2007[/TD]
[TD="align: center"]To Date[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Foreign,Defence Home Security Committee[/TD]
[TD]Vice Chairman[/TD]
[TD="align: center"]2007[/TD]
[TD="align: center"]2011[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Ka kremishwa kila MUISLAM hajasoma.
 
Pole sana, na nisameh sana, si kusudio langu.

Hakuna shida.Tatizo langu napenda unavyotoa hoja zako,nyingine zinafundisha sana na zinafanya watu wapate confidence ya kuchangia,lakini wakati mwingine unakuwa kama vile hautaki mtu awe kinyume chako,hiyo ndiyo shida.Lakini all in all ninaheshimu michango yako sababu ninaelimika.
 
Kumbuka Dar ni jiji lililokuwa designed kuwa na watu 500,000 tu, kwa kuwa kuna mafanikio na harakati za kibiashara kubwa sana katika Afrka Mashariki, na ni makao makuu ya wizara zote kwa sasa (dodoma zuga tu), watu wamejazana kwa wingi sana, influx, ya watu imekuwa kubwa, sasa hivi jiji lina watu million 6 na wanazidi kila siku, ni changa moto lakini nna uhakika mikakati iliyopo sasa hivi, hiyo itakuwa mambo ya kale baada ya muda si mrefu.

Dada Faiza hapana hakuna matumaini hayo.kwa mimi niliepo hapa tangia miaka ya 70 mpaka sioni kama kuna jipya.
Ni kama wamefika kikomo cha kufikiri...
Watu wameengezeka na biashara zimengezeka na kodi pia zimengezeka lakini bara bara zile zile za zamani zinawashinda.
Ulaji ummekua mkubwa.
Nakupa mfano mmoja...ndani ya jiji lote kwa siku ni gari ngapi zinapaki kwenye maegesho ya kulipia ? Kwa uchache ni ni mzunguko wa gari zaidi ya 50000×2000 (average ya kila gari kwani mpaka jioni hakuna parking tupu) =100,000,000 × 20
days tu = 2000,000,000 kwa mwezi.
Sasa uliza jiji linapata ngapi kwa mwezi?
Hapa mbali ya vibali vya magari ya mizigo na mafuta.
Kwa mwezi wanakusanya 0.30% ya turnover ya biashara zote Dar...fikitia mi kiasi gani ?
Jee unaweza kujua kuna mabango kiasi gani katika jiji la Dar? Kila mahali kumejaa mabango haya ulipaji wake si chini ya 100,000 sasa chukulia yapo 50, 000= 5000,000,000
Faiza nchi hii hakuna wazalendo...uzalendo wetu ni katika ngozi tu.
Hili jiji ni la kuwa na mabustani na sehemu maalum za watoto
Ni jiji kama watu wanatuliza akili zao kusinge kuwa na foleni za kijinga au barabara kugeuka mahandaki.
Tusifu pa kusifiwa lakini jiji halina watu wenye vision kabisa
 
Japokua ninatokea jimboni kwa Mh.lema,,,,Mh.zungu wewe ndio ungefaa kuongoza bunge letu kama spika...big up sir..
 
Back
Top Bottom