Azzan Zungu anamwaga darasa Bungeni

Azzan Zungu anamwaga darasa Bungeni

hiyo wilaya ni tajiri kabla zungu hajawa mbunge. Ubovu wa barabara ni karibu TZ nzima.
Sababu ya ilala kuwa tajiri kwa kipindi kile nipo TZ(kwa siku hizi sifahamu) ni kwamba ilala kuna cooperate ofice/head-offices nyingi za vitega uchumi ambavyo havipo ilala kwa hiyo kodi ikilipwa kwa serikali na hizo office, hiyo kodi inahesabika imetokea ilala.

Yes, ni Wilaya tajiri toka zamani na si kwa ajili ya Azzan kuwa mbunge, nisome vizuri, nimesema anaionesha Tanzania kwanini Ilala ni tajiri. Vichwa.

Ukiona mahali ma cooperate offices na ma head offices yanajazana ujuwe hapo mambo mazuri. Kuna vichwa.
 
Ahsante Zungu, unaionesha Tanzania kwanini Wilaya ya Ilala ndiyo wilaya tajiri Tanzania na haina shamba wala madini. Vichwa.

Ni vigezo gani umetumia kusema kuwa Ilala ni wilaya tajiri kupita zote Tanzania? Majumba? Maana Hansard za Bunge ambalo mbunge wako ni Mwenyekiti na data za serikali hazisemi hivyo.

"Mheshimiwa Naibu Spika, taarifa ya hali ya umaskini nchini, ambayo Mheshimiwa Waziri hakuigusia katika hotuba yake, imeelezea hali ya umaskini kwa kila Wilaya ya Tanzania. Taarifa imetaja Wilaya ya kwanza mpaka ya mwisho kwa umaskini.

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa taarifa tu, nitaje Wilaya tatu tajiri ambazo wananchi wake wana uwezo wa kupata milo mitatu kila siku, yaani kwa kutumia kipimo cha percentage of population of below basic needs poverty line na Wilaya maskini zaidi kwa mwaka 2005. Wilaya tajiri ni Bukoba Mjini, Arusha Mjini na Mbeya Mjini, kati ya wananchi 100 Bukoba Mjini wananchi 11 tu ndio hawana uwezo wa mahitaji ya msingi. Arusha Mjini ni wananchi 12 na Mbeya Mjini ni watu 12 pia.

Napenda niwapongeze Waheshimiwa Wabunge wanaotoka katika Wilaya hizi kwa Wilaya zao kufanikisha kuondoa umaskini.
Wilaya maskini zaidi ni Geita, Musoma Vijijini na Bunda. Wananchi 62 kati ya 100 wa Geita hawana uwezo wa mahitaji ya msingi. Sixty two! wananchi 64 Musoma na wananchi 68 Bunda." Parliament of Tanzania
 
Ni vigezo gani umetumia kusema kuwa Ilala ni wilaya tajiri kupita zote Tanzania? Majumba? Maana Hansard za Bunge ambalo mbunge wako ni Mwenyekiti na data za serikali hazisemi hivyo.

"Mheshimiwa Naibu Spika, taarifa ya hali ya umaskini nchini, ambayo Mheshimiwa Waziri hakuigusia katika hotuba yake, imeelezea hali ya umaskini kwa kila Wilaya ya Tanzania. Taarifa imetaja Wilaya ya kwanza mpaka ya mwisho kwa umaskini.

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa taarifa tu, nitaje Wilaya tatu tajiri ambazo wananchi wake wana uwezo wa kupata milo mitatu kila siku, yaani kwa kutumia kipimo cha percentage of population of below basic needs poverty line na Wilaya maskini zaidi kwa mwaka 2005. Wilaya tajiri ni Bukoba Mjini, Arusha Mjini na Mbeya Mjini, kati ya wananchi 100 Bukoba Mjini wananchi 11 tu ndio hawana uwezo wa mahitaji ya msingi. Arusha Mjini ni wananchi 12 na Mbeya Mjini ni watu 12 pia.

Napenda niwapongeze Waheshimiwa Wabunge wanaotoka katika Wilaya hizi kwa Wilaya zao kufanikisha kuondoa umaskini.
Wilaya maskini zaidi ni Geita, Musoma Vijijini na Bunda. Wananchi 62 kati ya 100 wa Geita hawana uwezo wa mahitaji ya msingi. Sixty two! wananchi 64 Musoma na wananchi 68 Bunda." Parliament of Tanzania

Unaleta porojo za kambi ya upinzani tena za Zitto, hata upinzani wamemtoa kwa porojo zake, au umesahau?
 
Mwenyekiti wa kikao cha bunge kinachoendelea saa hii, Azzan Zungu, (nna-declare interest) ni mbunge wa jimbo langu la Ilala.

Hivi sasa anamwaga darsa kwa kila anaechukuwa shillingi ya waziri, nimeona mpaka sasa wabunge wa upinzani kama watatu wa upinzani kila wanapochukuwa shillingi na kuing'ang'ania yeye anatoa darsa la maana na wanamuelewa na darsa linawaingia mpaka wanarudisha shillingi wenyewe bila makeke, na hili nimelishuhudia toka jana si leo pekee.

Huyu ndiye alifaa kuwa Speaker wa bunge, anakubalika kote kote.

Ahsante Zungu, unaionesha Tanzania kwanini Wilaya ya Ilala ndiyo wilaya tajiri Tanzania na haina shamba wala madini. Vichwa.

We are proud of you. Ukigombea tena Ubunge tunakupa bila kupingwa. Kudos.
Mussa Azzan Zungu

AWE SPIKA? Kwani alikuwa VIGEZO? Au ungemfanyia PLASTIC SURGERY na kumuwekea jinsia ya KE kutimiza vigezo?
 
Ilala kuna lile kundi haramu la watoto wa Mbwa a.k.a Panya Road.
Inasadikika Zungu ndo analifadhili kwa kushirikiana na Mzee Lukosi.

Cc Chris Lukosi
 
Je anatetea muundo wa serikali ngapi?
Je unajua kuwa Ilala ndio wilaya inyoongoza nchini kwa kuwa na idadi kubwa ya mafisadi?
Je unajua kuwa wilaya ya Ilala ndio makao makuu ya wauza unga?
Je unajua kuwa wilaya ya Ilala...kwa sasa ngoja niishie hapa.

Mkuu hata lile kundi haramu la Watoto wa Mbwa ama Panya Road linatokea ilala
 
Yes, ni Wilaya tajiri toka zamani na si kwa ajili ya Azzan kuwa mbunge, nisome vizuri, nimesema anaionesha Tanzania kwanini Ilala ni tajiri. Vichwa.

Ukiona mahali ma cooperate offices na ma head offices yanajazana ujuwe hapo mambo mazuri. Kuna vichwa.

Hata wale watoto wa Mbwa a.k.a Panya Road ni Vichwa kutoka Ilala.
Bila kusahau ya Mateja ya Buguruni na Makuli ya Kariakoo wote Vichwa kabisa...
 
Hata wale watoto wa Mbwa a.k.a Panya Road ni Vichwa kutoka Ilala.
Bila kusahau ya Mateja ya Buguruni na Makuli ya Kariakoo wote Vichwa kabisa...

Utajiri una "attract" mambo mengi.
 
AWE SPIKA? Kwani alikuwa VIGEZO? Au ungemfanyia PLASTIC SURGERY na kumuwekea jinsia ya KE kutimiza vigezo?

Hapo sasa unawatukana akina Sitta, Msekwa na wazee wengine waliowahi kuwa Maspika wa bunge letu. Fanya adabu kidogo.
 
Zungu ni bonge la Spika, hana jazba busara za kutosha afu hana UCCM kiviile yuko fair sana... tatizo CCM watambania muda sio mrefu
 
Ukimsikiliza vizuri anawasaidia hao wabunge ndiyo maana wanakubali kurudisha shillingi, kwani ukizuwia shillingi, hoja inafikia kupigiwa kura na upinzani hawana majority wanashindwa kwenye kura. Anachofanya yeye ni kuiwacha wazi hiyo hoja ili ipate kuzungumzwa kwenye kamati maalum za bunge, anaipa hoja uhai. Unless niwe sijamuelewa darsa lake na wale wabunge wa upinzani wanaokubali kuvuta shillingi hawajamuelewa.

Kumbuka, hapo kwa sasa hivi yeye ni mwenyelkiti wa kamati ya bunge kwa hilo, kama mwenyekiti anaweza kuongelea mada hiyo. Bunge likikaa kama na yeye akikaa kama speaker ndio hawezi kuchangia zaidi ya kulitolea muongozo na kusimamia kanuni za kuendesha bunge, lakini si hapa lilipo sasa hivi kama kamati. Kumbuka hilo.

Safi saaana! Unajua watu wanashindwa kuelewa mipaka ya Mwenyekiti /speaker wa bunge anapoliongoza bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na mtu huyohuyo anapovua joho na kugeuka kuwa Mwenyekiti wa kamati ya bunge zima kujadili bajeti ya wizara ni nini anapaswa kuzungumza au kuchangia na asichopaswa.
 
Unafiki wa magamba ndio uliosababisha tupate bora speaker,tanzania ingekuwa imeendelea sana tungemfanyia upasuaji Azzan zungu awe mwanamke ili kukidhi vigezo vya intarahamwe mgombea lazima awe mwanamke
 
Umekosa hoja unaanza kuhororoja.

Tukishika nchi
Tunavunja Muungano...timua timua wapemba wote na wahindi ya Idi Amin cha mtoto.
lazima tuwatimue wapemba wote maghorofa ya kariakoo na posta na miji mingine hapa TZ..

Then tunadeclare Jamhuri ya TANGANYIKA.

Nipo jeshini now ila subiri nipande cheo tutalianzisha
Lazima uchumi wa nchii umilikiwe na WABANTU orijino.
 
Kwa mapato wanapata mengi sana, lakini kumbuka kuwa hawaruhusiwi kutumia zote hizo, wan portion tu zingine ni lazima ziende hzina kusaidia mambo mengine yanayotakiwa nchi nzima.

Babra mpya mbona zinajengwa sasa hivi, tuna daraja la Kigamboni, tuna BRT, tuna Flyover ya Tazara, tuna ring road inakuja, kuna mengi mazuri tu yanakuja, na sasa tunaweza kukopa kwa wingi kwa kuwa tuna gas ya kutosha kwa hiyo tunakopesheka, wala usiwe na hofu, tutayaona tu mambo yakibadilika.

Tatizo kubwa ni viongozi waliopita, sijui walikuwa wanafanya nini? ndiyo kwanza tunaona Kikwete akijitahid kujenga huku na kule.

Una akili timamu wewe
Eti tunakopesheka
Gas ni ya wamakonde na sio wapemba
 
Unafiki wa magamba ndio uliosababisha tupate bora speaker,tanzania ingekuwa imeendelea sana tungemfanyia upasuaji Azzan zungu awe mwanamke ili kukidhi vigezo vya intarahamwe mgombea lazima awe mwanamke

Sasa hayo matusi.

Hivi hamuwezi kuchangia hoja bila ujuba na kuhororoja bila mpango?
 
Back
Top Bottom