Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,501
- 93,059
Namshukuru sana JK Nyerere kwa kuhakikisha John Jumanne Malecela kamwe hawi Rais wa nchi hii, kumbe Nyerere aliona mbali, Guess kilaza kama huyu William ndio angekuwa mtoto wa Raia pangetosha hapa?
Asante sana JK Nyerere na sisi wazalendo tutakuenzi kwa kuhakikisha huyu mchumia tumbo William bunge atakuwa analiangalia kupitia tv tu na siyo kuwa ndani ya nyumba kama Mbunge.
Asante sana JK Nyerere na sisi wazalendo tutakuenzi kwa kuhakikisha huyu mchumia tumbo William bunge atakuwa analiangalia kupitia tv tu na siyo kuwa ndani ya nyumba kama Mbunge.