Bukedde tv channel number 210
Hiyo jeuri ya kuonesha hawana. Kibongo bongo, DSTV ndiyo baba lao.Sorry nauliza mechi za UEFA kwenye king’amuzi cha Azam TV huwa wanaonesha Chanel namba ngapi?
Basi tupeni hata jina la application au link kwa wale wa kustream online maana dstv bila 99k huoni game hii.
Mkuu nahitaji msaada katika hili tafadhaliNilishaleta uzi humu wa njia rahic ya kuchek mipira...mm nanasa channel zote za DSTV za michezo kwa tsh 15000 tu kwa mwezi!!
Unachotakiwa kufanya ni kuandaa lak 2 na 50 ya decoder(ya kichina) na dish lako la DSTV basi
Napataje huu mselelekoNilishaleta uzi humu wa njia rahic ya kuchek mipira...mm nanasa channel zote za DSTV za michezo kwa tsh 15000 tu kwa mwezi!!
Unachotakiwa kufanya ni kuandaa lak 2 na 50 ya decoder(ya kichina) na dish lako la DSTV basi
Duuuh!Sorry nauliza mechi za UEFA kwenye king’amuzi cha Azam TV huwa wanaonesha Chanel namba ngapi?
Nilishaleta uzi humu wa njia rahic ya kuchek mipira...mm nanasa channel zote za DSTV za michezo kwa tsh 15000 tu kwa mwezi!!
Unachotakiwa kufanya ni kuandaa lak 2 na 50 ya decoder(ya kichina) na dish lako la DSTV basi
Inafananaje hiyo Yaccine Tv ,nisaidie screenshot yake,nimegoogle zinakuja nyingiDownload Yaccine TV
Utaona mechi zote hadi mechi za Caf Confederation na CAf Champions league
Hoyo app haipo play store... search kwenye browser yako yaccine tv apk.Inafananaje hiyo Yaccine Tv ,nisaidie screenshot yake,nimegoogle zinakuja nyingi
Halaf ukisha download ytv player unafanyaje tenaHoyo app haipo play store... search kwenye browser yako yaccine tv apk.
Ukishaipakua na kuinstall utaenda playstore na kudownload app inaitwa YTV player.
Baada ya hapo uje kutoa mrejesho hapa. View attachment 2616649
Nenda kaifungue app yako ya yacine tv... kumbuka kuruhusu kuinstall app from unknown sources ili uweze kuinstall app yako uliyoidownload kama apk.Halaf ukisha download ytv player unafanyaje tena
Nimeistall hyo yaccine TV lakin zinakuja channel nying tu nmechagua France canal+ naona inaload tu haiplayNenda kaifungue app yako ya yacine tv... kumbuka kuruhusu kuinstall app from unknown sources ili uweze kuinstall app yako uliyoidownload kama apk.