CK Allan
JF-Expert Member
- Aug 14, 2013
- 2,729
- 5,923
Wakuu Azam tv hivi karibuni imeanza uhuni ambao lazima ukemewe!
Azam walijinasibu kuonyesha ligi ya ufaransa (Ligue 1) ligi ya ujerumani (bundesliga) ligi kuu ya Tanzania (NBC) na hivi karibuni wakasema na Ligue ya waarabu kwa kina Ronaldo ..
Ajabu Leo hii nimeona tena kesho wanaonyesha ligi kuu ya KENYA!
Uhuni/utapeli uko wapi?
Azam Wana channel tatu tu za michezo na Moja (zbc 2) Huwa wanaazima so tuseme jumla zipo 4..
Sasa uhuni unakuja siku za weekend ambapo ujerumani, ufaransa, Tanzania, na uarabuni na pengine huko Kenya Kuna mechi ambazo zipo ndani ya muda mmoja!
Basi hapo Azam wanaamua wao ni mechi Gani waonyeshe! Na ipi wasionyeshe!
Mbaya zaidi Kuna zile mechi 'kubwa' za siku utakuta hawaonyeshi kwa kuwa channels hazitoshi,,.
Nasema hivi
Huu ni uhuni na utapeli Azam, 25000 kwa mwezi ni kubwa sana punguzeni au ONGEZENI CHANNELS
Ili mkisema mnaonyesha ligi Fulani ni sisi watazamaji tuamue mechi ya kuangalia sio nyie mtuchagulie
********
MY TAKE
Azam watangaze kuwa wanaonyesha Badhi ya MECHI ZA LIGI FULANI
Wasiseme wanaonyesha LIGI YA NCHI Fulani..
Wakifanya hivi sitakuwa na kesi nao
Azam walijinasibu kuonyesha ligi ya ufaransa (Ligue 1) ligi ya ujerumani (bundesliga) ligi kuu ya Tanzania (NBC) na hivi karibuni wakasema na Ligue ya waarabu kwa kina Ronaldo ..
Ajabu Leo hii nimeona tena kesho wanaonyesha ligi kuu ya KENYA!
Uhuni/utapeli uko wapi?
Azam Wana channel tatu tu za michezo na Moja (zbc 2) Huwa wanaazima so tuseme jumla zipo 4..
Sasa uhuni unakuja siku za weekend ambapo ujerumani, ufaransa, Tanzania, na uarabuni na pengine huko Kenya Kuna mechi ambazo zipo ndani ya muda mmoja!
Basi hapo Azam wanaamua wao ni mechi Gani waonyeshe! Na ipi wasionyeshe!
Mbaya zaidi Kuna zile mechi 'kubwa' za siku utakuta hawaonyeshi kwa kuwa channels hazitoshi,,.
Nasema hivi
Huu ni uhuni na utapeli Azam, 25000 kwa mwezi ni kubwa sana punguzeni au ONGEZENI CHANNELS
Ili mkisema mnaonyesha ligi Fulani ni sisi watazamaji tuamue mechi ya kuangalia sio nyie mtuchagulie
********
MY TAKE
Azam watangaze kuwa wanaonyesha Badhi ya MECHI ZA LIGI FULANI
Wasiseme wanaonyesha LIGI YA NCHI Fulani..
Wakifanya hivi sitakuwa na kesi nao