Kama zabuni ilitangazwa, na yeye ndo akashinda kwa nn tusimpongeze?Tunaongelea Full Package 225 billion bila kuangalia hiyo miaka 10 yenyewe tutakuwa wapi katika Ramani ya Soka na Mtazamo wa Soka lenyewe kwa Mapana yake.
Ukwel n kwamba wamejitahid kwa kiasi chao, tusubir iishe tuone tutakuwa wapi, na hii inaweza kuwa n chachu ya kuipandisha thamni ligi ili kuvutia wawekezaji wengine wenye pesa ndefu.
Kwangu mm namuona kama ametake risk kubwa kwa ninavouona mpira wetu.