Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 16,923
- 13,003
ni VAT HIYO.Wanachukuaje wakati hizo hela hazitoki kwa mkupuo, hela zitatoka kutokana na muendelezo wa mechi.
Ikitokea majanga yatayosababisha michezo kuzuiwa basi hela nazo hazitoki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni VAT HIYO.Wanachukuaje wakati hizo hela hazitoki kwa mkupuo, hela zitatoka kutokana na muendelezo wa mechi.
Ikitokea majanga yatayosababisha michezo kuzuiwa basi hela nazo hazitoki
azam wanaonesha mechi hadi ya mbeya city na gwambina ambayo uwanjani watu hawafiki 29Kumbe huo ndio mpango wenyewe
Tido ana akili sanaBila shaka Azam TV wanapiga sana mpunga aise. Waliingia kwa kubip, sasa wanaingia mazima
Nani hao vodacom wanaolipa mil80 mshindi wa VPL...harafu jamani kurusha mpira live sio.kitu kidogo na azam wanajitahd kupeleke watu musoma uwalipe usafirishe mitambo uwalipe TCRA UWALIPE SERIKALI NOT EASY WAZEEE
Huwezi kuwa na akili maskini kama wewe ndio maana unaropoka na kupayuka hovyo,hakuna ujuacho kwenye biashara wewe fuvu.anyepayuka ni mama yako tukiwa naye kitandani
Gharama halisi zipi,weka hesabu mezani tufanye ulinganifu kabla ya kuhitimisha kusema eti mdogoKWA kuutaja huo Mkataba utaona kama mkubwa..Lakini ni mdogo kulingana na gharama halisi...hatujui vipengele vyake labda watufafanulie TFF ambao mm siwaamini kabisa wale jamaa...
Achana na hao pimbi wajinga wanaomiliki vibanda vya m pesa hawawezi jua biashara za masafa yaani kama hizo za mda mrefu za ku project future when other things remain constant.Halafu kuna kenge zinasema azam kawanyonya, yaani kabisa nakaa naangalia gwambina na kmc kweli?
Timu zitafute na kuongeza vyanzo vingine vya mapato ili kuweza kumudu gharama za uendeshaji. Hakuna mdhamini mmoja anayekidhi mahitaji yote ya uendeshaji wa timu. Hii ipo popote pale. Na ukisema iwe hivyo (mdhamini mmoja akidhi mahitaji yote ya kuendesha timu) basi ligi itakua HAIDHAMINIKI.Hela ndogo mno, gharama za uendeshaji timu zinapanda kila mwaka, angalau ingekuwa hta trillion 3
Haya toa wewe hizo Trilioni 3Hela ndogo mno, gharama za uendeshaji timu zinapanda kila mwaka, angalau ingekuwa hta trillion 3
League yetu haiwezi onyeshwa DsTv bado tuna ujinga mwingi hao DSTV walikua wana onyesha league ya Zambia, Kenya,na Ethiopia fatilia nini kilitokea, sisi tuna ujinga mwingi unakuta mechi inatakiwa ichizwe leo ghafla una ambiwa ime ahilishwa wakati huo watu wa production washa fika eneo la tukio unadhani nani ata gharamia hizo hasara?Big noo..Hawa Majamaa walikuwa wanaitaka Sana hii ligi ...Ila nadhan dau lao halikuwa zuri ...plus this time sidhan Kama wakiomba tenda..maana wakiomba ni TBC(startime) Startv (continental ) na ATN ( TIng)
Kichaa huyo. Achana nae.Kwa hiyo hii ni point au CV?
Unapoongea yote hayo unatakiwa uweke na takwimu halisi ya thamani ya hizo club na mapato yanayopatikana.Merchant za klabu Pekee kwa Yanga na Simba Tayari ni Pesa kubwa Sana..
Angalia Simba Day.....
Mwananchi Day .........
Viingilio + Mauzo ya Product zao + Wauze haki yakuonyesha tu hizi Tamasha kwa Tv wanazo zitaka watapa Fedha kiasi Gani.??
Mzee nakuhakikishia.DSTV wametamanj Sana kurusha ligi hii hii unayoita ya kijinga...kwanza bongo pesa ipo mzee, hayo Mambo ya muda mtajua wenyewe...wao wakishaseti obivan lao pale hawana tabu..hata mkihairisha game mara mia..coz demand /wateja wao watakuwa wa tz tu labda na kenya n.k..League yetu haiwezi onyeshwa DsTv bado tuna ujinga mwingi hao DSTV walikua wana onyesha league ya Zambia, Kenya,na Ethiopia fatilia nini kilitokea, sisi tuna ujinga mwingi unakuta mechi inatakiwa ichizwe leo ghafla una ambiwa ime ahilishwa wakati huo watu wa production washa fika eneo la tukio unadhani nani ata gharamia hizo hasara?
Azam kapambana sana kuibrand hii ligi, hata akipewa mkataba wa miaka 50 ni haki yake, hao DSTV na the like walishawah kuwa sponsor na wakafeli, Star times walidhamin ligi daraja la kwanza wakafeli, timu zilikuwa hazilipwi na bla blaa za hapa na pale.Azam ni wakati wake wa kula mavuno, alirisk kipindi hicho hamna anaetamani ligi ya bongo wakiwemo hao DSTV. Now ligi ishakuwa brand kubwa mnaanza kumchukulia poa.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
sijamfikia mama yako alivyokuwa ananipayukia tukiwa kitandaniHuwezi kuwa na akili maskini kama wewe ndio maana unaropoka na kupayuka hovyo,hakuna ujuacho kwenye biashara wewe fuvu.
Umekula bange za wapi mkuu? Huyo azam trilion3 anazirudisha vipi?Hela ndogo mno, gharama za uendeshaji timu zinapanda kila mwaka, angalau ingekuwa hta trillion 3
Hivi unajua tenda hii tunayoijadili Dstv hawakubid? Sasa kwanini tunahangaika hata na ambao hawakubid?Mzee nakuhakikishia.DSTV wametamanj Sana kurusha ligi hii hii unayoita ya kijinga...kwanza bongo pesa ipo mzee, hayo Mambo ya muda mtajua wenyewe...wao wakishaseti obivan lao pale hawana tabu..hata mkihairisha game mara mia..coz demand /wateja wao watakuwa wa tz tu labda na kenya n.k..
Ligi ya Zambia, na ethiopia zinaonyesha na wao mzee..ligi ya kenya walikosa haki..now inaonyesha ana Startime .
Alafu kingine ujue..DStv ni mkono mfupi Sana wale jamaa..wanachotamba nacho ni kuenea kwao kwenye nchi nyingi za Afrika..so wanabid tenda kwa pesa kiduchu kwa kigezo hiko..wakijua pengine kinashawishi..ni Afrika kusin tu ambapo wametoa pesa nyingi na ya maana ..the same na walichofanya Azam TV hapa bongo..wana uhakika wa wateja na wateja wanazidi kuongezeka..so why wasitoe mzigo mkubwa!?
Wabongo kwa porojo hamjambo?!!hao wanaosema MO ana pesa wanasema kwa utafiti,wewe kama unapinga njoo na utafiti wako,no research no right to speak.Tena dollar million 100
Halafu watu wanasema eti Mo ana pesa kuliko huyu mzee.
Nitakataa mpaka kesho
Mzee hapendi siasa yeye ni reactions tu
Ndiposa nikwambiwa hapo juu..na hata wangebid..wasingewexa kutoa pesa aliyotoa Azam..Hivi unajua tenda hii tunayoijadili Dstv hawakubid? Sasa kwanini tunahangaika hata na ambao hawakubid?