specialist88
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 1,140
- 619
Hii ni kweli,kuna jamaa mmoja anafanya kazi TFDA ameniambia bidhaa nyingi za Azam ni magumashi ..Haya ni maziwa ya unga .
Anaagiza kwa wingi na kuya badilisha kuwa ya maji.
Kama unahitaji virutubisho vitokanavo na maziwa basi Azam milki sio yenyewe hayana kitu cha faida .
Ni artificial milk yakiwa na ladha ya maziwa.
Nunua Tanga fresh
Asas
Serengeti milk
Au maziwa kutoka kenya .
Azam ni kujaza tumbo tu
Pia bidhaa za Mo ndio bomu kabisaaaaaa!