Jestkilla
JF-Expert Member
- Apr 23, 2014
- 2,999
- 3,961
Mkuu soma maelezo kwenye box la maziwa ya Azam kwanza halafu ndio uje na utetezi wako,
Mwenye kiwanda ameandika ni powder milk + water + added fat, sijui unabisha nini? Inawezekana hujawai hata kuyatumia unaleta unazi tu hapa.
Thanxx kwa kuwafundisha wasawahili tatzo kujifanya kila kitu wanajua afu ukimwambia weka fact Mezani anatoa macho ndo mana its the Only country mtu akiongea english wanahisi n mtalii afu wanaanza kumwogopa ka Nyoka yani Ukiitwa mtanzania majanga remix.