AZAM MILK, artificial au maziwa halisi?

AZAM MILK, artificial au maziwa halisi?

Dar Milk ndiyo hao Com Milk wana bidhaa nyingi za maziwa shamba lipo Kigamboni, ni Oil Com hao.

Kigamboni ng'ombe alionao, hawatoshi idadi ya maziwa anayozalisha ni ma chemically tu anachanganya huyu, labda pale Sokota Temeke, kwenye Yard anafuga wengine.....
 
Heshima kitu cha muhimu, na hukuwa na sababu ya kujibu. Kama hujui kusoma kamlalamikie Mama Yako.
Hapa JF hatujuani hivyo usiniite binti. Kama Baba yako ni binti niite hivyo

Haa! Haa!

argue don't shout wee bint.i na acha kelele jibu hoja yangu vizuri.
 
Wacha mie niendelee kunywa juice za CERES NA MAZIWA TOKA KWA MADIBA USWAHILI MIE SIUWEZI.
 
Wacha mie niendelee kunywa juice za CERES NA MAZIWA TOKA KWA MADIBA USWAHILI MIE SIUWEZI.
Utaendelea kuwa mtumwa wa bidhaa za njee mpaka lini?Azam wanang'ombe waliwatoa australia nenda zanzibar utaona shamba!kuna watu humu jf wameajiriwa kuchafua biashara za Bakhresa kila kukicha lakini wamechemsha.
 
Utaendelea kuwa mtumwa wa bidhaa za njee mpaka lini?Azam wanang'ombe waliwatoa australia nenda zanzibar utaona shamba!kuna watu humu jf wameajiriwa kuchafua biashara za Bakhresa kila kukicha lakini wamechemsha.

Acha udini wewe!
 
Utaendelea kuwa mtumwa wa bidhaa za njee mpaka lini?Azam wanang'ombe waliwatoa australia nenda zanzibar utaona shamba!kuna watu humu jf wameajiriwa kuchafua biashara za Bakhresa kila kukicha lakini wamechemsha.

Azam hajasema kuwa maziwa anayouza ni ng'ombe toka australia.ameambatanisha kwenye maziwa yake kuwa ni ya unga...cha kujua je hayo ya unga ni halisi ama yanatokana na nini?
 
Utaendelea kuwa mtumwa wa bidhaa za njee mpaka lini?Azam wanang'ombe waliwatoa australia nenda zanzibar utaona shamba!kuna watu humu jf wameajiriwa kuchafua biashara za Bakhresa kila kukicha lakini wamechemsha.

ha ha ha umenikumbusha kina faiza foxy na her team ,kumbe kuna watu wanavuta buku 7 kama vijana wa lumumba
 
Utaendelea kuwa mtumwa wa bidhaa za njee mpaka lini?Azam wanang'ombe waliwatoa australia nenda zanzibar utaona shamba!kuna watu humu jf wameajiriwa kuchafua biashara za Bakhresa kila kukicha lakini wamechemsha.

We wasema utumwa wenzio wanasema Free market....!!! Kazi kwako
 
Utaendelea kuwa mtumwa wa bidhaa za njee mpaka lini?Azam wanang'ombe waliwatoa australia nenda zanzibar utaona shamba!kuna watu humu jf wameajiriwa kuchafua biashara za Bakhresa kila kukicha lakini wamechemsha.

Mkuu soma maelezo kwenye box la maziwa ya Azam kwanza halafu ndio uje na utetezi wako,
Mwenye kiwanda ameandika ni powder milk + water + added fat, sijui unabisha nini? Inawezekana hujawai hata kuyatumia unaleta unazi tu hapa.
 
huu nao ni utumwa! We umefanywa mtumwa pia

Mtumwa alianza babu yako babu wa bibi ako sembuse mie wa karne 21 kama watu wameuwawa france afu huku africa watu wanachoma makanisa sijui kuuana sasa kati ya hao na mie nan mtumwa.....afu utamu naufaidi mie we chungu yakujia nin
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom