AZAM MILK, artificial au maziwa halisi?

AZAM MILK, artificial au maziwa halisi?

Usiogope sana mpwa wengi waliojibu pia ni maoni yao hawawezi kumuhakikishia muuliza swali kama hayo maziwa ya Azam ni maziwa halisi ya ng'ombe au sio halisi..Kwa uchache wa ufahamu wangu Bhakheresa pia anashamba la ng'ombe wa maziwa maeneo ya Fumba Zanzibar,sasa swala la kama yanatosheleza kwa product yote iliyo sokoni ya AZAM MILK AU hayatoshelezi hiyo ni suala lingine maana hata hao serengeti milk,dar milk hakuna mwenye ushuhuda kwamba products zao ni maziwa halisi kutoka kwa ng'ombe.

Hivi unajua kwanini box za maziwa ya Azam hazina picha ya Ng'ombe?
Sababu ni kwamba maziwa yake si ya ng'ombe, hiyo ni kwa mujibu wa TFDA .
 
Hii ni akili ya kawaida tuu tuwe na tabia ya kusoma ingredients then close the page
 
sometimes specialization is better than diversification

Hahah wenyewe hapa Bongo wanasema ni ujasiriamali na kuchangamkia fursa...

Labda jamaa kaona fursa kila kona na ndio maana kaamua kuwekeza...
 
Ruka utakavyo, piga vita unavyoweza, leta nyodo kadri uwezavyo mtengenezee kashfa ,kwa kadri ya uwezo wako, BUT Bakhresa atakukamata tu, kama haupo kwenye maziwa, basi utamchangia kwenye maji, juice tamu, maandazi, chapati laini, biskuti n.k. mtam'bania wapi????
Big up Azam, endelea kupaa pamoja na fitina wanazokuletea ni nyodo tu, haziwezi kukuangusha
 
ASAS kule nduli iringa anao ng'ombe kibao anafuga, na anakamua maziwa na kutengeneza products nyingi. azam maziwa yake ni kweli anayatengeneza artificial kama wanavyosema watu mtaani? ng'ombe wake anafugia wapi, anakamua wapi hayo maziwa jamani?

NB: lengo sio kumharibia biashara, nafikiri kama yuko humu ni nafasi yake kujisafisha ili kuondoa doubt kwasababu kusema kweli binafsi huwa napenda products zake, sasa nilipoambiwa na wenzangu kuwa maziwa ya azam ni artificial nilisita kuendelea kuyanunua.

najua kwamfano juisi za maembe, anatumia maembe halisi, nanasi halisi na matunda mengine halisi (pamoja na kwamba mapera sijajua anachuma kwenye shamba gani?), ila maembe ni halisi. kwa wale wenye ufahamu, tuambieni azam maziwa yake anakamua wapi, au anaagiza uarabuni ya ngamia kama wanavyosema huku mitaani?

hata hayo maembe uliyosema sio halisi...kama unabisha kanunue maembe matatu tu uyale uone kama yatakuwa na ladha inayofanana!!!moboksi yote ya juice ladha ni ile ile!!!
 
Mh! Kwa hiyo jamaa ni full mchina. Hata hii timu yake ya mpira siielewi elewi.


On a serious note: TBS na TFDA wanatakiwa watusaidie sisi walaji kujua ukweli. Vinginevyo hizi taasisi mbili hazina maana.
 
uko sahihi na mm naishi tanga. je, azam maziwa yake anatoa wapi?
 
hata mchicha wa bonde la msimbaz ni fake wanamwagilia ngao na maji taka.hakuna kilicha salama nji híi anzia broiler mpaka matembele achlia mbal haya maziwa mnayosema
 
Haya maziwa nimetoka kuyazungumzia na Mke Wangu najiuliza mbona ni matamu Sana anatengenezea nini?
 
Huyu jamaa atatuletea magonjwa makubwa sana na hiyo miziwa yake ya kutengeneza
Una ushahidi au unaongozwa na chuki tu.

Azam wana shamba kubwa la ng'ombe Unguja ndipo kwenye kiwanda.

Unaoneka una msongo mkubwa kutokana na ugumu wa maisha.
 
Oil Com nao wana shamba kubwa la ng'ombe Kigamboni nao wanatengeneza maziwa yanaitwa Com Milk.
 
Una ushahidi au unaongozwa na chuki tu.

Azam wana shamba kubwa la ng'ombe Unguja ndipo kwenye kiwanda.

Unaoneka una msongo mkubwa kutokana na ugumu wa maisha.
Eti shamba Unguja!!!!!! Wanywa gahawa hata wakiambiwa bakheresa ana shamba kubwa la mbuzi kariakoo watakubali Pambaf
 
Daaah kweli JF ni zaidi ya shule,watu tulikuwa tunafakamia tu hata ingredients hatusomi kudadadeki!!tutakuja kunywa maziwa ya popo hivi hivi tunajiona mweeeh!!nimekimbilia box fasta kusoma ingred.
 
Eti shamba Unguja!!!!!! Wanywa gahawa hata wakiambiwa bakheresa ana shamba kubwa la mbuzi kariakoo watakubali Pambaf
Wewe mnywa mbege pumbaf mama yako amekulea malezi mabovu sana unatukana watu tu.
 
Una ushahidi au unaongozwa na chuki tu.

Azam wana shamba kubwa la ng'ombe Unguja ndipo kwenye kiwanda.

Unaoneka una msongo mkubwa kutokana na ugumu wa maisha.

Mkuu ingridients za hayo maziwa zinasemaje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom