AZAM MILK, artificial au maziwa halisi?

AZAM MILK, artificial au maziwa halisi?

hii ni taarifa mbaya kwangu manake nilikwa nayabugiaje haya maziwa
Usiogope sana mpwa wengi waliojibu pia ni maoni yao hawawezi kumuhakikishia muuliza swali kama hayo maziwa ya Azam ni maziwa halisi ya ng'ombe au sio halisi..Kwa uchache wa ufahamu wangu Bhakheresa pia anashamba la ng'ombe wa maziwa maeneo ya Fumba Zanzibar,sasa swala la kama yanatosheleza kwa product yote iliyo sokoni ya AZAM MILK AU hayatoshelezi hiyo ni suala lingine maana hata hao serengeti milk,dar milk hakuna mwenye ushuhuda kwamba products zao ni maziwa halisi kutoka kwa ng'ombe.
 
Azam_Milk640.jpg
.
Bakhresa Group of companies extended their line of business to Dairy sector by installing a world class, sophisticated Dairy plant to produce UHT milk and other dairy products.
The plant is situated at Fumba region of Unguja Island in Zanzibar. The production capacity of the plant is 180,000 liters per day, packed in 2 sizes – Tetra Classic 200ml and Tetra brick square edge 1 liter pack. While the 200ml is supplied with hygienically packed sealed straws, the 1-liter pack comes with a unique Directly Injection moulded cap for easy pouring.ADPL produces two types of milk – Whole milk and Low fat milk in 1 liter pack while only whole milk is in 200ml pack. The company is planning to launch Flavored milk, Yogurt and other dairy products in the near future.
Production Lines
ProductsSize
Whole MilkTetra 200ml, Tetra 1 liter pack
Low Fat MilkTetra 200ml, Tetra 1 liter pack
Soy MilkTetra 1 liter pack
 
Usiogope sana mpwa wengi waliojibu pia ni maoni yao hawawezi kumuhakikishia muuliza swali kama hayo maziwa ya Azam ni maziwa halisi ya ng'ombe au sio halisi..Kwa uchache wa ufahamu wangu Bhakheresa pia anashamba la ng'ombe wa maziwa maeneo ya Chamazi,sasa swala la kama yanatosheleza kwa product yote iliyo sokoni ya AZAM MILK AU hayatoshelezi hiyo ni suala lingine maana hata hao serengeti milk,dar milk hakuna mwenye ushuhuda kwamba products zao ni maziwa halisi kutoka kwa ng'ombe.

Hapo umechapia tuambie chamazi azam fc sasa hvi kapageuza sehemu ya malisho ya ng'ombe? au chamaz maeneo gani?
 
Hapo umechapia tuambie chamazi azam fc sasa hvi kapageuza sehemu ya malisho ya ng'ombe? au chamaz maeneo gani?
Asante mkuu ni kweli nimekosea,anafuga ngombe wa maziwa maeneo ya Fumba Zanzibari
 
Analo shamba la ng'ombe wa maziwa sehemu ya Homboza kata ya Msimbu, Kisarawe
 
Ila maziwa ya Asas _Desa mazuri sana kwa ladha. Ila nawashauri unaponunua maziwa yasiyokuwa ya UHT kama Desa na Tanga fresh ni vyema kucheki expire date. Nimeona wengi sana wakinywa yaliyo_expire hasa maduka ya pembezoni mwa miji.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom