AZAM MILK, artificial au maziwa halisi?

AZAM MILK, artificial au maziwa halisi?

Acha kuponda vya wenzako badala yake tengeneza yako ambayo ni bora zaidi
 
Nadhani itakuwa gharama kubwa kutengeneza artificial milk hapa kwetu, and risky kwa biashara zake pia! Let's use our own products, just like we did in his Juices
 
Huyu hana ng'ombe ni artificial pure... Anatulisha uchafu
 
Hapa issue ni "HALAL"??? basi nunueni AZAM Milk toka kwa mwenzetu.
Hapa pia TBS siwaelewi wanataoa kibali cha ubora kwa vigezo gani hasa? juzi Lactogen maziwa ya watoto yameaadimika mara mmoja maziwa feki zaidi ya sampuli 5 yameingia sokoni sijui yalipita wap na kodi yakalipiwa, Kabla ya kujiuliza azam milk ni original ama fomula basi tuwaulize TBS kwanza wanalijua hili??. Mungu ibariki Tanganyika ooh sorry Tanzania.
 
Nyie endeleeni kutumia hzo bidhaa za huyo mswahili mie situmii kuanzia maji unga juice sijui pasi naskia ana TV sijui wakati kuna DSTV na mataka taka mengine kama una bisha karibu kwangu niPM nikuelekeze ukae siku 1 uone kama kuna takataka za hyu mswahili natumia

Wew umejitahidi sana kuonyesha ulivyo na uwezo mkubwa wa IQ ya ujinga kichwani mwako! kichwan kwako kumejaa kamasi!
 
Kwani maziwa ya unga yanatengenezwa na nini?

Ndio tatizo wengi hawafikiri. Maziwa ya unga wanadhani ni unga wa dona au uwele? Watu wanachukua maziwa na kuya evoparate na kuwa maziwa ya unga.
 
Someni ingredients kwenye box, hacheni tabia za kiswahiliswahili za kutojali
Azam milk ingredients ni Powder milk + Added fat+ Water, therefore drink at your own risks.

Acheni (never mind). Information requested for obtained hence THREAD CLOSED
 
Tanga milk wanakusanya maziwa ya wakulima wadogo wadogo zaidi ya elfu Sita Tanga. Maziwa yao safi ladha nzuri. Kiwanda cha Bakhresa Fumba kinayo uwezo wa kuzalisha litre 180.000 za maziwa kila siku. Ili kufikia kiwango hiki lazima Azam kufuga ngombe angalau 12000 wanao zalisha wastani wa lita 20 kila ngombe kwa siku. Mtanzania ambaye anayo ushahidi wa Azam kumiliki ngombe wa maziwa 12000 Fumba Zanzibar weka hapa.
 
Ukitaka bidhaa fresh nenda shambani...Hakuna bidhaa iliyosindikwa ambayo ni Fresh na ndio maana umewekwa Expire date..
 
Watanzania tujenge tabia ya kusoma ingredients ya vyakula tunavyonunua
hata tukisoma HATUELEWI KINA MAANISHWA NINI! mtu umeona picha ya embe halafu kaneno " MANGO PULP" ndio kabisaa tunajua ni embe halisi kwa neno mango
 
Una ushahidi au unaongozwa na chuki tu.

Azam wana shamba kubwa la ng'ombe Unguja ndipo kwenye kiwanda.

Unaoneka una msongo mkubwa kutokana na ugumu wa maisha.
mkuu weka picha ya shamba la ng'ombe la azam ili kumaliza UBISHI
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom