Azam Marine yaongeza nauli kwenda Zanzibar, kuanza kutumika kesho Mei 19

Replica

JF-Expert Member
Aug 28, 2017
1,486
7,928
Wale wa kuvuka maji, boti zinatumia mafuta...

Azam Marine.jpg
 
Halafu hii vita ukiangalia unaona kama ni upumbavu tu ,Russia anaharibu miji kwa mabomu hadi anafikia pahala hajui afanye nini...a abaki anashangaa shangaa...
Wacha wapigane vita ni funzo pia,Wazungu hawajuagi athari ya mojakwamoja ya vita.wanaonaga tu Middle East na Afrika tukitifuana wao wanashangilia kwa kuzuga kututafutia suluhu,nyuma ya pazia wanatuuzia silaha tutwangane
 
Halafu hii vita ukiangalia unaona kama ni upumbavu tu, Russia anaharibu miji kwa mabomu hadi anafikia pahala hajui afanye nini...a abaki anashangaa shangaa...
Vladimirni mpumbavu, as he done ni alitaka kutoa siraha zilizokuwa zinakaribia kuexpire badala ya kuziangamiza ndiposa akaona aue na kuharibu nchi nyingine.

Cha kushangaza anaendelea kutoa siraha kwa kupiga ovyo ovyo ili ziishe, anasingizia ujinga.
 
Back
Top Bottom