Wacha wapigane vita ni funzo pia,Wazungu hawajuagi athari ya mojakwamoja ya vita.wanaonaga tu Middle East na Afrika tukitifuana wao wanashangilia kwa kuzuga kututafutia suluhu,nyuma ya pazia wanatuuzia silaha tutwanganeHalafu hii vita ukiangalia unaona kama ni upumbavu tu ,Russia anaharibu miji kwa mabomu hadi anafikia pahala hajui afanye nini...a abaki anashangaa shangaa...
ReccessionUchumi wa Dunia utazidi kuyumba
Ukiwaekea gharama kidogo wanaweza dhani ni local ++ au kama wasemavyo low class kumbuka dola moja ni 2340/= tsh na wengi wao wamekuja uku kuspendKwanini wa nje ya Tz walipe 80,000+ ?
Bure, Aghali.Si itokee 'dona kantri' moja ijenge daraja Dar mpaka ZNZ wabara tuwe tuna drive tu kwenda kula urojo.
flights za nchi kadhaa zimekuwa grounded kwa kukosa fuelBora kupandisha nauli kuliko kusitisha huduma
Flights za nchi kadhaa zime land kwa kukosa fuel
Vladimirni mpumbavu, as he done ni alitaka kutoa siraha zilizokuwa zinakaribia kuexpire badala ya kuziangamiza ndiposa akaona aue na kuharibu nchi nyingine.Halafu hii vita ukiangalia unaona kama ni upumbavu tu, Russia anaharibu miji kwa mabomu hadi anafikia pahala hajui afanye nini...a abaki anashangaa shangaa...
....Wapi??...Serikali Yangu Mapinduzi..! Hapa ndipo ilpobugi..!