Azam Airlines Yaja

Status
Not open for further replies.
Big up Bakhersa nakutakia maisha mema na mwenyezi mungu akusaidie umekua mstali wa mbele kusaidia watz endelea na moyo huo mzuri bakharesa!! Binadaam akiona una mafanikio atakukatisha tamaa songa mbele usigeuke nyuma ndio dunia mie najua umetoka mbali sana ni siri yako sio wote watakupendaaaa,Tenda Mema usingoje shukrani cheka na watu wotee Salim Bakhresaaa!!
 
Utakua unatumia vibaya uhuru wako!
Mh. Kikwete binafsi hajawahi kutajwa kwenye upotevu wowote wa pesa za umma wala hajajimilikisha chochote ktk Mali ya umma.

Unadhani akijimilikisha ataandika jk and company .??
 
Utakua unatumia vibaya uhuru wako!
Mh. Kikwete binafsi hajawahi kutajwa kwenye upotevu wowote wa pesa za umma wala hajajimilikisha chochote ktk Mali ya umma.

La hasha mkuu!! Hv unajua familia ya Kikwete iko mpaka kwenye gesi? Ngoja atoke madarakani then utajua uchafu alionao huyu mzee. Halafu anajifanya patriotic . Mnafiki kweli kweli.
 
Kwakweli Mm nasema shkamoo Bakhresa iwe hafikirii Au ana fikiria this dude now how to command money to make Money,....kivyovyote hizo Azam jet lazim ije, I trust on this guy , he has Ambitions.
 
Jadilini hoja ya msingi, suala tajiri na dini yake tuliache na halituhusu alimradi shughuli zake sio za kidini. Orodha ya matajiri na dini zao hazituhusu kwa hiyo tupuuze wote wenye kupeleka mjadala kusiko. Naipongeza kampuni ya Azam kwa ubunifu wa biashara zake.
 
Utakua unatumia vibaya uhuru wako!
Mh. Kikwete binafsi hajawahi kutajwa kwenye upotevu wowote wa pesa za umma wala hajajimilikisha chochote ktk Mali ya umma.
Ni kweli hata ile nyumba ya Mikocheni sio yake.
 
Ni jambo jema kama ni kweli, lakini hii source siyo reliable!
 
ivi ni kwa nn unatumia neno KUSAIDIA wakati mtu anawekeza kufanya biashara? ivi unapopata huduma ukailipia umesaidiwa? ivi ni lini tutaondokana na hii misemo? serikali ikijenga barabara wananchi wanaishukuru kwa KUWASAIDIA bila kukumbuka kuwa wanalipa kodi so ni wajibu wa gvt kujenga barabara. Nakumbuka Bakhressa wakt anaanza biashara ya maji alisema imani yake hairuhusu kuuza maji hivyo anachouza yeye ni chupa za maji watu wakafurah kupata MSAADA wa kuuziwa chupa za maji. Anyway nimeipenda hyo list ya WATANZANIA wenye asili ya TANZANIA. Tuwaombe waendelee KUTUSAIDIA watz
 
ivi ni kwa nn unatumia neno KUSAIDIA wakati mtu anawekeza kufanya biashara? ivi unapopata huduma ukailipia umesaidiwa? ivi ni lini tutaondokana na hii misemo? serikali ikijenga barabara wananchi wanaishukuru kwa KUWASAIDIA bila kukumbuka kuwa wanalipa kodi so ni wajibu wa gvt kujenga barabara. Nakumbuka Bakhressa wakt anaanza biashara ya maji alisema imani yake hairuhusu kuuza maji hivyo anachouza yeye ni chupa za maji watu wakafurah kupata MSAADA wa kuuziwa chupa za maji. Anyway nimeipenda hyo list ya WATANZANIA wenye asili ya TANZANIA. Tuwaombe waendelee KUTUSAIDIA watz

Wewe unafikiri kusaidiwa ni kupewa bure tu? Fikiri.
 
Mbona huyu tajiri kubwa hawekezi kwenye afya na elimu tusiende India kutibiwa.
 
wakuu hii habari njema.. Hatimae azam hivi karibuni itashusha ndege 5 hii itasaidia tulio kuwa tunawategemea fastjet kuturaHisishia safari.... ruti zake ni kirimanjaro,mwanza,zenji,mbeya na mikoa baadhi...Kwa mujibu wa tovuti ya airbus

bakhresa ni shidaaah

Ni jambo jema sana azam airLINE kuanzisha huduma zao.
 
Last edited by a moderator:
Unga ngano Azam
Koni azam,
Chapati Azam
Juice Azam
Malt Azam
Atta Azam
Maboti Azam
Malori Azam
Timu ya Mpira Azam

Na sasa Ndege Azam!
HONGERA ZAKE ila asijlisahau kama Khodokovisky au akamonopolise kama Bill Gates, awaulize hawa kilichowatokea
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom