Azam Airlines Yaja

Status
Not open for further replies.
Atazileta kusaidia wanaoenda hija sio za biashara


Hebu jaribuni kupevuka kimawazo kwa nini kila jambo mnalitafsiri kidini, je mnasikia raha gani kukwazana wakati wote ni watu wa taifa moja?
Hivi juice na products zake zingine zinauzwa au zinatumika Saudi Arabia? Ustaarabu ni kitu cha bure, kama waona wenzako hawajastaarabika basi anza wewe ili wao wajifunze kwako, lakini kwa hoja zako humu jamvini binafsi sioni kama una mchango wa kuijenga jamii.
 
UONGO MKUBWAAA Nimeenda kwenye website ya AIRBUS kwenye list ya order zote 14,606 hadi Sept 30 2014 hakuna order ya Azam Airlines
 
Ni habari njema sana ingawaje ni breaking news hao ndo watu wanaotakiwa kutunzwa sana ktk kuliko akina 10-4= mungu akupe maono zaidi ya hayo uliyoyaona, karibu ktk reli uongeze ushindani (uiamshe serikali)
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom