ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,054
- 49,743
Hivi Tanzania na Shirika letu la Ndege ATCL tuna kipi tunakiweza ikiwa route profitable kama hiyo tumeiacha?
Badala ya sisi wenye ndege za ukweli tungekuwa na route ya Dar-Entebe-Lagos tupo tupo tuu na haijulikani kama tuko kibiashara au mandege tunayonunua ni ya kupigia selfie au?
Kiukweli Huwa sielewi Watanzania tunaweza jambo lipi hasa.
Inasikitisha sana.
Badala ya sisi wenye ndege za ukweli tungekuwa na route ya Dar-Entebe-Lagos tupo tupo tuu na haijulikani kama tuko kibiashara au mandege tunayonunua ni ya kupigia selfie au?
Kiukweli Huwa sielewi Watanzania tunaweza jambo lipi hasa.
Inasikitisha sana.
Lagos to Entebbe: Uganda Airlines launches new route
Exactly a week ago, on Thursday the 19th of October, Uganda Airlines spread its wings in Nigeria, amidst a water
nairametrics.com