Azam Airlines Yaja

Status
Not open for further replies.
Wakuu hii habari njema,Hatimae Azam hivi karibuni itashusha ndege 5, hii itasaidia tuliokuwa tunawategemea fastjet kuturahisishia safari.

Safari zake zitakuwa za Kilimanjaro,Mwanza,Zenji,Mbeya na mikoa baadhi.

Hii ni kwa mujibu wa tovuti ya airbus

Bakhresa ataleta mapinduzi kwenye kwenye usafiri wa anga.


Hicho kitu mbona sikioni kwenye mtandao wao?
 
Wadau hii ni breaking news from reliable sources ya kuwa shirika jipya la ndege liko mbioni kuanzishwa hivi karibuni....Shirika hilo jipya ni Azam Airlines ambayo imeshaweka order ya Airbus tano kwa mujibu ya tovuti ya Airbus....route za ndege hizo zinatarajiwa kuwa ni Dar to Kilimnjaro, Dar to Mbeya, Dar to Zanzibar, Dar to Mwanza na Dar to Mtwara. Huu ujio utatusaidia sana wasafiri wa ndani ambao tumekua tukitegemea sana huduma za FastJet

Safi sanaa tena sanaa hongora Azam
 
Big up Bakhersa nakutakia maisha mema na mwenyezi mungu akusaidie umekua mstali wa mbele kusaidia watz endelea na moyo huo mzuri bakharesa!! Binadaam akiona una mafanikio atakukatisha tamaa songa mbele usigeuke nyuma ndio dunia mie najua umetoka mbali sana ni siri yako sio wote watakupendaaaa,Tenda Mema usingoje shukrani cheka na watu wotee Salim Bakhresaaa!!

Mkuu king kong umenena kweli nimekupenda buree
 
ata azam tv wanaangalia wanaoenda hijja
hata azam marine wanapanda wanaoenda hijja
hata azam fc ni kwaajili ya mazoezi ya viungo kabla ya kwenda hijja

embu muacheni bakhressa ni binadamu wa kawaida na ni mfanyabiashara usidhani bakhressa ni mtakatifu

mkuu majibu yako nimeyapenda sana!
 
Unga ngano Azam
Koni azam,
Chapati Azam
Juice Azam
Malt Azam
Atta Azam
Maboti Azam
Malori Azam
Timu ya Mpira Azam

Na sasa Ndege Azam!
HONGERA ZAKE ila asijlisahau kama Khodokovisky au akamonopolise kama Bill Gates, awaulize hawa kilichowatokea

Umesahau king'amuzi Azam
 
Acha uogo ndugu.Si kila AZAM ni ya Bakhressa,kuna taasisi na kampuni kibao zenye jina la AZAM

Airbus A321-211(WL) VQ-BRT UTair Aviation 13. Feb 2014 Active D-AZAM lsf VEB-Leasing

Azam uliyoiona kwenye website ya Air bus ni ya UTair

Wadau hii ni breaking news from reliable sources ya kuwa shirika jipya la ndege liko mbioni kuanzishwa hivi karibuni....Shirika hilo jipya ni Azam Airlines ambayo imeshaweka order ya Airbus tano kwa mujibu ya tovuti ya Airbus....route za ndege hizo zinatarajiwa kuwa ni Dar to Kilimnjaro, Dar to Mbeya, Dar to Zanzibar, Dar to Mwanza na Dar to Mtwara. Huu ujio utatusaidia sana wasafiri wa ndani ambao tumekua tukitegemea sana huduma za FastJet
 
Muongo tu huyu jamaa kila anapoona Azam anajua ni Bakhresa, iyo azam d ni registration ya UTair ya Russia......
Inakera sana watu kuja hapa na habai za kubuni tu
Airbus A321-211(WL) VQ-BRT UTair Aviation 13. Feb 2014 Active D-AZAM lsf VEB-Leasing
Airbus A321-200 Production List - Planespotters.net Just Aviation


Hicho kitu mbona sikioni kwenye mtandao wao?
 
Muongo tu huyu jamaa kila anapoona Azam anajua ni Bakhresa, iyo azam d ni registration ya UTair ya Russia......
Inakera sana watu kuja hapa na habai za kubuni tu
Airbus A321-211(WL) VQ-BRT UTair Aviation 13. Feb 2014 Active D-AZAM lsf VEB-Leasing
Airbus A321-200 Production List - Planespotters.net Just Aviation


I hope gharama za Azam Airlines zitaKuwa zina unafuu kama juice zake za Azam
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom