Ahsante kwa kutukumbusha uliko toka, dah MM hapo ulikuwa unasokota mambo yetu yale nini?Kwa kweli ya mwanzo kabisa ni hii avatar yangu nikiwa kijijini. Ndiyo tuliyoanza nayo kabla ya ile nyingine ya jembe mkononi.
Yaani mzee MMM Mwanakijiji unaweza vipi kukataa mawazo ya wengi, demokrasia ikizingatiwa?
hebu do the needful, hii ya sasa huyu zmee namwona kama wa Afghanistan kabisa kule lo
kama walivosema wengine ile ya mwanzo ndo brand yako so usiipotezee
On a very serious note, kubadili avatar kunaweza kutafsiriwa kubadili misimamo, fikra, paradigms etc,, mwaka huu wa uchaguzi, hebu tuambie jimbo gani mkuu ili tukusupport?
Kwa kweli ya mwanzo kabisa ni hii avatar yangu nikiwa kijijini. Ndiyo tuliyoanza nayo kabla ya ile nyingine ya jembe mkononi.
Binafsi ningekuwa mshauri wako naipendekeza ile ya mwanzo ambayo kwangu mimi ina zaidi ya kuwa Avatar. Mimi MM maana yake ile picha na ndio hasa nafikiri ilihitaji muda sana kuweza kupata Avatar ambayo inareflect jina ulilolichagua (wakati huo). Wakati mimi naamini uzoefu ni kuishi zaidi wasiwasi wangu unakuja pale ninapoona huheshimu creation zako za mwanzo ambazo kwa maoni yangu naona ulikuwa sahihi zaidi.Naona kuupgrade avatar yangu kumewakwaza wengine kidogo; wapo wanapenda niendelee na ile ya jembe la mkulima (black and white) na wengine wanapenda hii mpya ya mkwaju (ya rangi). Sasa sijui wapiga kura mnasema niendelee na hii mpya watu wataizoea au nirudie ile ya zamani ambayo kama mmoja alivyosema ni "brand image"..
Ndo mimi nikashangaa sasa ipi ya zamani?which is whichKwa kweli ya mwanzo kabisa ni hii avatar yangu nikiwa kijijini. Ndiyo tuliyoanza nayo kabla ya ile nyingine ya jembe mkononi.
Bado hii hoja inajadiliwa? Jamani kweli tumekosa mambo ya kudiscuss mpaka tunashupalia kudiscuss Avatar ya mtu? Am worried!
Nadhani hamna aliyekulazimisha uje huku...for some of us ni kama commercial break.