Binafsi siwashangai baadh ya wabunge wa Upinzani(hususan Chadema). Wamekuwa wakitafuta "cheap popularity" bila kujua huku mtaani wanatukera na tunawaona wapumbafu sana.
Mfano mdogo tu; Kwenye kikao kichopota cha Bunge, T.Lissu alisimamisha mjadala wa maana mle bungeni nakutoa taarifa yakiudaku nayakipuuzi saa kwamba, "TBC1 IMEZIMA MATANGAZO YOTE ILI WATANZANIA WASISIKIE MJADALA HUU".
Yaani Lissu aliniharibia tension vibaya sana. Nilikuwa Morogoro mjini siku hiyo nikifuatilia hoja ile live kwenye bar moja ivi kupitia TBC1. Yaani tuliguna wote kwa hasira.
Namshukuru Nkamia alikuja jion yake kumpa vidonge vyake.
Ni tatizo mno hawa watu.