Aunty Ezekiel ampiga dongo Lema

Aunty Ezekiel ampiga dongo Lema

Hivi wewe unadhani kila mtu anaangalia hizo senema zenu za kuigizia kwenyenyumba za watu huku mkipewa masharti usiingie na viatu kiasi kuwa jambazi eti anavua viatu? Huyo Ezekieli ni maarufu kwenu nyie? Na wadau washaelewa wewe ni mtu wa category gani.

Zinatizamwa mpaka nje ya tz wewe, we utaangalia tv saa ngapi wakati huna? na ukiangalia mpaka bar ya jirani na unapokaa wewe, mbona bosi wake alienda dubai na posho alizopewa kwenda marekani na kimada..!?
 
Zinatizamwa mpaka nje ya tz wewe, we utaangalia tv saa ngapi wakati huna? na ukiangalia mpaka bar ya jirani na unapokaa wewe, mbona bosi wake alienda dubai na posho alizopewa kwenda marekani na kimada..!?

Yaani bado hujaelewa nasema nini? Haya nimekuelewa. Labda nikuulize vipi matokeo yako ya mtihani umejitahidi kidogo? Au ndio nyie kesho mnakuwa panya road?
 
Back
Top Bottom