Ndo maana wachangiaji wa JF Great Thinkers wameanza kupungua sana,yani hii habari ya UDAKU nayo ina hadhi ya kukaa hapa,sasa huyo Aunt Ezekiel mvaa nusu uchi,mwigizaji wa Bongo movie nae ana upeo wakujibizana na mtu mwenye akili timamu,kwanza alienda kutangaza utalii upi,ukimwuliza hata vivutio vya utalii Tanzania anavijua..? Shame on her...tena azibe kimdomo chake kabisa huyo binti.
Wewe mleta mada nawe ni kada wa chama fulani kutokana na uchangiaji wako unajulikana huko,ndo maana umeibua ka hoja dhaifu kabisa na kuona ndo kanafaa kuleta hapa.Sasa inamana siku hiyo katika yote aliyoongea Mh Lema hilo ndo uliona la msingi na kumpelekea huyo Aunt wenu...???