Goddess
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 7,397
- 25,836
Kwann anachpata huyu wa huku asianzishe mradi unajua kadri umri unavyozidi kwenda sauti inabadilika ulivyokua unaimba wakatu unamiaka 25 huezi ukiwa na miaka40 au 50Nje weng wanakua na shughuli wanafanya apart from muziki,so hata akistaafu anaweza kusurvive maana hategemei mziki pekee tofauti na hapa kwetu so inabd mtu akomae had mwisho maana akiacha tu analala njaa
Labda uwe late bloomer
Ndo maana abroad kuna radio znachukua watangazaji from 20_40 au 21_35 sisi tunahangaika na wazee wa miaka50
