AUDIO: Hili ni tatizo gani kwenye engine?

kayanda01

JF-Expert Member
Feb 14, 2014
1,086
913


Toyota IST ncp61. Huo mlio wa kugonga gonga kwenye engine unasikika baada ya engine kupata joto (warm up). Yaani unapowasha gari hausikiki, ila baada ya muda fulani engine ikiwa imewaka au ukiendesha halafu ukapark at idle ndipo huo mlio unasikika. Gari ikiwa kwenye mwendo hausikiki. Nikisimama at idle ndipo unasikika.

Huo mlio ni zaidi ya miezi 6 sasa. Nilianza kuunotice mara baada ya kuanza kuweka 'petrol treatment', japo sina hakika sana na hili.

Inshu nyingine pia: coolant huwa inapungua kwa kiwango kidogo.

Gari ina nguvu vizuri kwenye mwendo. Odometer ni 126,000 KM. Service nazingatia kwa wakati natumia engene oil 5W-30 TOTAL quartz 9000 (full synthetic).

Taa ya check-engine haijawahi kuwaka. Je, naweza kwenda kufanya machine diagnosis? If yes, ni gereji gani kwa hapa Moshi mjini wanafanya diagnosis kwa uhakika? au niende Arusha?

Matengenezo ya nyuma:

Mwaka jana engine iliwahi kukosa nguvu kabisa kwenye kilima/mpando. Tuliondoa 'masega' kwenye eksozi. Tatizo likaisha na engine power ikarejea upya!
 
View attachment 1860725

Toyota IST ncp61. Huo mlio wa kugonga gonga kwenye engine unasikika baada ya engine kupata joto (warm up). Yaani unapowasha gari hausikiki, ila baada ya muda fulani engine ikiwa imewaka au ukiendesha halafu ukapark at idle ndipo huo mlio unasikika. Gari ikiwa kwenye mwendo hausikiki. Nikisimama at idle ndipo unasikika.

Huo mlio ni zaidi ya miezi 6 sasa. Nilianza kuunotice mara baada ya kuanza kuweka 'petrol treatment', japo sina hakika sana na hili.

Inshu nyingine pia: coolant huwa inapungua kwa kiwango kidogo.

Gari ina nguvu vizuri kwenye mwendo. Odometer ni 126,000 KM. Service nazingatia kwa wakati natumia engene oil 5W-30 TOTAL quartz 9000 (full synthetic).

Taa ya check-engine haijawahi kuwaka. Je, naweza kwenda kufanya machine diagnosis? If yes, ni gereji gani kwa hapa Moshi mjini wanafanya diagnosis kwa uhakika? au niende Arusha?

Matengenezo ya nyuma:

Mwaka jana engine iliwahi kukosa nguvu kabisa kwenye kilima/mpando. Tuliondoa 'masega' kwenye eksozi. Tatizo likaisha na engine power ikarejea upya!
Huo mlio maana yake ni kuwa injini yako ina misifire; yaani haichomi mafuta vizuri. Suspect mkubwa sana hapo ni injectors. Inaoinekana kama vile injector hazi-atomize mafuta sawasawa. Ukiweza tafuta mafundi wa kukukagulia na kukusafishia injectors. Suspect namba mbili ni spark plugs hasa zikiwa na masizi mengi hushindwa kuchoma mafuta sawasawa na kusababisha misfire.

Kitu cha pili inawezekana una bearing ama za waterpump au za air conditioner zimeshasagika. Kwa vile unapoteza coolant, inawezekana sana kuwa bearing za waterpump zimeshasagika; waambie mafundi wako aangalia bearing hizo pia.
 
View attachment 1860725

Toyota IST ncp61. Huo mlio wa kugonga gonga kwenye engine unasikika baada ya engine kupata joto (warm up). Yaani unapowasha gari hausikiki, ila baada ya muda fulani engine ikiwa imewaka au ukiendesha halafu ukapark at idle ndipo huo mlio unasikika. Gari ikiwa kwenye mwendo hausikiki. Nikisimama at idle ndipo unasikika.

Huo mlio ni zaidi ya miezi 6 sasa. Nilianza kuunotice mara baada ya kuanza kuweka 'petrol treatment', japo sina hakika sana na hili.

Inshu nyingine pia: coolant huwa inapungua kwa kiwango kidogo.

Gari ina nguvu vizuri kwenye mwendo. Odometer ni 126,000 KM. Service nazingatia kwa wakati natumia engene oil 5W-30 TOTAL quartz 9000 (full synthetic).

Taa ya check-engine haijawahi kuwaka. Je, naweza kwenda kufanya machine diagnosis? If yes, ni gereji gani kwa hapa Moshi mjini wanafanya diagnosis kwa uhakika? au niende Arusha?

Matengenezo ya nyuma:

Mwaka jana engine iliwahi kukosa nguvu kabisa kwenye kilima/mpando. Tuliondoa 'masega' kwenye eksozi. Tatizo likaisha na engine power ikarejea upya!
Nimesikiliza tena mlio huo na kugundua kitu cha pili inawezekana una bearing ama za waterpump, idler au za air conditioner zimeshasagika. Kwa vile unapoteza coolant, inawezekana sana kuwa bearing za waterpump zimeshasagika; waambie mafundi wako waangalie bearing hizo pia. Unaweza kuwa unahitaji water pump mpya.
 
Huo mlio maana yake ni kuwa injini yako ina misifire; yaani haichomi mafuta vizuri. Suspect mkubwa sana hapo ni injectors. Inaoinekana kama vile injector hazi-atomize mafuta sawasawa. Ukiweza tafuta mafundi wa kukukagulia na kukusafishia injectors. Suspect namba mbili ni spark plugs hasa zikiwa na masizi mengi hushindwa kuchoma mafuta sawasawa na kusababisha misfire.

Mkuu Kichuguu , nikushukuru sana kwa mchango wako. Plugs nimeweka mpya original (denso Iridium) week moja iiliyopita wakati wa service.

Taarifa nyingine ya nyongeza ni kuwa nilikuwa na mazoea ya kuosha engine kwa presha wash tangu mwaka jana. Hapo majuzi week mbili zilizopita, gari ilianza kumis (ile mis ya kutetemeka kabisa gari zima hasa napoweka gear). Hali hii ilianza mara tu baada ya kutoka kuosha engine kwa presha.... nilidrive kama kilomita 2 tu hivi ikaanza hiyo mis nzito!

Ukaguzi wa fundi ukagundua ni injector moja tu ndo imekufa. Na kweli alireplace hiyo injector with used one na mis ikaisha. Tatizo la kumis likaisha. Tuliweka injector used.

Lakini huo mlio wa kugonga gonga (knocking sound) ndani ya engene ulianza muda mrefu, ni zaidi ya miezi sita sasa. Engene ikiwa cold, mlio hausikiki. Baada ya engene kuanza kupandisha joto lake ndipo knocking sound inaanza... at idle moment.

Yawezekana kweli suspect mkubwa hapo ikawa ni hizo injectors zote nne. Ngoja nifuatilie mkuu.

Una contact na fundi mzuri wa engene unayemwamini kwa Moshi mjini? ama Arusha? ama Mwanza? Ahsante
 
Back
Top Bottom