Audi A4 Gari Moja Ya Kichawi Sana, Twende Pamoja utanielewa

hahahahahah mafundi hawazipendi D-4 sababu hazitaki ubabaishaji kuanzia sheli mpaka kwenye oil zake. Pia zina mfumo wa umeme ambao haukawilii kuloga🤣
... hapo nimekuelewa chief. Ni kweli nina ka D-4 kangu kuna sheli fulani fulani huwa nikiweka wese naona tofauti kabisa na nikiweka kwenye sheli kama TotalEnergies, Oryx, Puma, n.k. gari inakuwa imetulia vizuri sana.
 
Sema Cayene is a properly built car sijasikiaga bad reviews zake compared na wajerumani wa show off kama BMW
Vijana wa BM uwa hawataki ufananishe na gari yoyote. Siku hizi wanaanza fananisha acc. ya F-16

51BA7421-02FF-4E2F-8CCF-D51F4E10D252.jpeg
 
... Mkuu hebu fafanua japo kiduchu kuhusu D4 engines za Toyota; kuna ubishi mwingi miongoni mwa mafundi wa chini ya miembe kwamba ni injini za ovyo sana na hata gari ikiwa na aina hiyo ya injini kuuzika ni msala. Msaada tafadhali.
Kama huwezi kutunza engine ya D4, yes usinunue. Hazitaki ubabaishaji kwenye spea na service.

Japo D4 inayolalamikiwa sana naona ni 1AZ-FSE ambayo ipo kwenye Rav 4, Noah Voxy, Wish, Nadia, Caldina, Ipsum, Premio n.k.

D4 ya Toyota Crown hailalamikiwi naona.

Maana Toyota Crown zote kuanzia 4GR mpaka 2GR ni D4.

D4 kama ya 1AZ siyo gari ya kununua kwa mtu hasa kwa sisi ngozi nyeusi,hata mimi siwezi kumshauri mtu.

Agiza nje au kachukue yard.
 
....

D4 kama ya 1AZ siyo gari ya kununua kwa mtu hasa kwa sisi ngozi nyeusi,hata mimi siwezi kumshauri mtu.

Agiza nje au kachukue yard.
... Mkuu umegusa penyewe! Ya kwangu ni the same model (D4-1AZ) niliagiza mwenyewe. Hebu fafanua kidogo Kiongozi; zina shida gani hasa hizo engine! By the way nilivyoagiza niliipenda kwa sababu ya low mileage ila gari ilivyofika ilikuwa nzito sana haina mwendo kabisa. Baada ya uchunguzi ilionekana kabureta imepasuka engine haipati fuel ya kutosha.

Baada ya kubadili kabureta na gearbox oil (hydraulic original from Toyota); aisee gari kama mpya! Since then huu ni mwaka wa pili iko safi sana. Ukigusa accelerator inapotea vibaya sana. Ila kitu kimoja nazingatia - service kwa wakati na engine oil za kueleweka.
 
... Mkuu umegusa penyewe! Ya kwangu ni the same model (D4-1AZ) niliagiza mwenyewe. Hebu fafanua kidogo Kiongozi; zina shida gani hasa hizo engine!

Shida hapa watu wengi hawazingatii service hivyo engine kama hiyo kuchukua kwa mtu itakunyayasa, zinaweza zikakutoka sana hela.


Baada ya uchunguzi ilionekana kabureta imepasuka engine haipati fuel ya kutosha.
Kabureta?
 
Shida hapa watu wengi hawazingatii service hivyo engine kama hiyo kuchukua kwa mtu itakunyayasa, zinaweza zikakutoka sana hela.



Kabureta?
Mkuu haya ma-technical jargon yenu sometimes mnatuchanganya; ni pipe fulani hivi inapeleka petrol kwenye engine; ina-interface na engine directly.

Naomba kuuliza, ni advantages zipi D4-1AZ inazo over the other models; na ni hasara zipi inazo. Thanks.
 
Mkuu haya ma-technical jargon yenu sometimes mnatuchanganya; ni pipe fulani hivi inapeleka petrol kwenye engine; ina-interface na engine directly.

Naomba kuuliza, ni advantages zipi D4-1AZ inazo over the other models; na ni hasara zipi inazo. Thanks.

D4 ni nzuri inakupa more power huku ikitumia mafuta kidogo zaidi.

Mfano D4 kama hiyo yako inakupa power inayokaribiana na 2AZ ambayo ina Cc2360 huku ikitumia mafuta kama 1ZZ ambayo ina 1790Cc au hata chini ya hapo.

D4 yanaingia mafuta kidogo direct af yanagandamizwa sana halafu yakilipuka inatoka nguvu kubwa.



Ila kiboko ya Zote ni Technology ya Skyactiv ya Mazda.

Ukikuta mazda ina hiyo Tech inatumia mafuta kidogo sana. Yaani wameitengeneza engine ya petrol ifanye kazi kama engine ya diesel na wamefanikiwa.
 
D4 ni nzuri inakupa more power huku ikitumia mafuta kidogo zaidi.

Mfano D4 kama hiyo yako inakupa power inayokaribiana na 2AZ ambayo ina Cc2360 huku ikitumia mafuta kama 1ZZ ambayo ina 1790Cc au hata chini ya hapo.

D4 yanaingia mafuta kidogo direct af yanagandamizwa sana halafu yakilipuka inatoka nguvu kubwa.



Ila kiboko ya Zote ni Technology ya Skyactiv ya Mazda.

Ukikuta mazda ina hiyo Tech inatumia mafuta kidogo sana. Yaani wameitengeneza engine ya petrol ifanye kazi kama engine ya diesel na wamefanikiwa.
... shukrani Mkuu kwa ushauri wa bure ambao tulipaswa kuulipia. "Fundi Maiko" alinishauri niwe naweka treatment kila mara; is that OK? Nisije nikawa naharibu engine kwa ushauri wa vijiweni. Asante sana.
 
View attachment 2227627

Audi A4 ni line ya compact executive cars ambazo zimekua kwenye uzalishaji tangu 1994 huko German na Audi ambayo ni subsidiary ya Volkswagen Group, Subsidiary yani ni kama CCM na ACT hivi [Jokes] Tuendelee.
.
Generation zake zimekua coded B5[1994-2001], B6[2000-2006], B7[2004-2009], B8[2008-2016] na B9[2016-Todate]... . Audi A4 imekuja na shape za sedan [Kama Taxi], station wagon [Kama Probox].. . Convertible version [inafunguka juu] na coupe [Kile cha wachoyo cha milango miwili].
.
View attachment 2227631 View attachment 2227632View attachment 2227635
.
Sasa kwa leo tutaenda kugusa generation ya Pili [B6 2000-2006] na Tatu [B7 2004-2009] as kwa sasa ndo nyingi zinanunuliwa na bei zake ni nzuri, Tutaanza na B6 Kaa vizuri andaa popcorn zako za Laki moja na juice uanze kula madini...
.
Audi A4 B6 ina umbo la kuvutia [sports Looks] na ni moja ya classy looking car, Ikishindanishwa duniani na BMW 3 -Series na Mercedes Benz C-class. Kwa nje ina muonekano very unique ikipewa taa kama macho ya Rehema Chalamila na nyuma ikipewa curves nzuri za kuvutia...
.
Kwa na ndani nafasi ni kubwa na mnakaa mkiwa comfortable kabisa, Legroom ipo ya kushosha pale mbele abiria mrefu miguu inakaa vizuri na hata kwa upande wa abiria kuko poa pia Ila ukiwa mrefu sana kuanzia kiunoni kuja juu kichwa kinaweza gusa kwenye roof...
.
Seats zake zimepangwa vizuri[well elevated and extra padded] ili kukupa comfortability zaidi unapokua ndani ya chombo, Ukija kwenye dashboard imekaa poa sana option zake zimepangwa vizuri, maandishi yakipewa rangi nyekundu yenye kuvuti, niweza sema German kwa interiors wako vizuri sana.

View attachment 2227640View attachment 2227644View attachment 2227645

B6 imekuja imekuja ikiwa na engine option kadhaa kwa Petrol na Diesel. Tukianza na Petrol kuna Inline-four [cylinder] petrol engine 1.6L, 1.8L 20v Turbo, 2.0L 20v, 2.0L FSI 16v, then kuna V6 petrol engine 2.4L V6 30v, 3.0L V6 30v, V8 petrol engine 4.2L V8 40v [V ni Valve]...
.
Diesel engine kuna Inline-four [cylinder] engine 1.9L I4 TDI, V6 diesel engine na 2.5L V6 TDI, Hizi engine zote ziko linked na Transmission za 5-speed Manual, 6-speed Manual. Kwa automatic Transmission kuna 5-speed Automatic na 6-speed Automatic..
.
Kuna codes zimetumika katika majina ya hizi engine mfano TDI ni Turbocharged Direct Injection, Kwa lugha nyepesi ni engine ambayo ina turbo na intercooler kwenye compressor ya turbo ndo inakua na hili Jina. Hizi ni kwa engine za Diesel, na Pia kuna mfumo wa TFSI..
.
View attachment 2227650View attachment 2227651View attachment 2227652

TFSI hii ni mfumo unaotumika sana na engine za Audi [Petrol Engine] ukimaanisha turbo fuel stratified injection (TFSI). Yani turbo inakua introduced kwa mafuta yanayoingizwa kwa pressure katika combustion chamber na kuchoma instantly. Pia ukiona Audi imeandikwa Quattro Inamaanisha hiyo gari inaendesha tyre zote nne [All wheel drive] na gari ina element za racing...
.
Hili ni neno la ki Italia likimaanisha nne na pia Q inatumika na Group maarufu la rally huko duniani toka miaka ya 80, Sasa Tofauti ya TSFI na TDI ni kwamba TSFI yuko faster Anachanganaya mapema na anakula mafuta zaidi na kumtunza ni rahisi...
.
Wakati TDI yeye ni mzito anatumia mafuta kidogo [economy] na ni gharama kumtunza ukilinganisha na mwenzake, Kwenye matunzo huwa hatuko vizuri ndo maana tunatumia engine za Petrol na wewe nakushauri tumia Petrol tu...
.
Hizi mifumo Lengo ni kuipa gari nguvu ya ziada kama hauna uhitaji na hizo nguvu hakuna haja ya kuchukua hizo engine, Sio una gari top speed 260Km/Hr na hujawahi hata kufika 160Km/Hr, huo ni uharibifu tu its much better ukachukua engine za kawaida tu [nitashare huko mbele]...
.
Gari iko chini haifai kufukia mashimo hasa ukiwa speed, Iko very stable barabarani yani haichezi hata kidogo hata ukiwa kwenye high speed. Kwenye kona ndo tamu zaidi gari imetulia mpaka unasikia raha, Nikukumbushe ukiwa speed ukiona shimo/speed bumps pita taratibu gari iko na sensors za kutosha kama majipu ukilitumbua tu mpaka lije kupona ni issue..
.

View attachment 2227658View attachment 2227661View attachment 2227669

Standard Features kwa B6 ni Electronic Stability Programme (ESP) system, Hii inasaidia gari kuwa Stable pamoja na anti-lock braking system (ABS), ABS kama huijui niambie nikupe Link ya Kavishe Ujifunze, Pia kuna brake assist, and electronic brakeforce distribution (EBD)...
.
Kwa hii generation B6[2000-2006] kama unazipenda chukua kuanzia 2002++, Hapo ndo walifanya maboresho kuanzia kwenye body na machine wakiipa gari muonekano mzuri zaidi na engine zenye nguvu ila zikiwa zinatumia mafuta vizuri, Sasa twende kwa Dada ake B7...
.
B7 Hii ni generation ya 3 ikianza mwaka [2004-2009] na hapa kuna maboresho makubwa zaidi, tunaweza sema hapa imefanyika heavy facelifted. Front grille mpangilio wake ulibadirishwa ukawa mrefu gari ikapewa shape ya trapezoidal [Juu ndogo chini imejaa kama kiuno cha nyigu vile]..
.
View attachment 2227672View attachment 2227673View attachment 2227675

Ukija kwa setting za kwenye steering zikawa revised, suspension zikaguswa pia, Infotainment ya hii B7 ni balaa tupu iko na option za kutosha. Kwanza pale kati chini kwenye gear umepewa access ya kumonitor option zote za gari ukiwa na screen kwa mbele inayokudirect...
.
Navigation system na chassis electronics [Vifaa vya umeme ambavyo viko mounted na chasis], Pamoja na Electronic Stability Programme (ESP) system viliboreshwa. Dashboard na Interiors hazikuguswa sana ila vilifanyiwa minor detailing[kupewa muonekana mzuri zaidi wa kuvutia]..
.
Engines nazo zilipata maboresho pia mwaka 2005 ndo ikaja TFSI kama nilivyooleza hapo nyuma before ilikua ni FSI, Yaani Fuel Stratified Injection bila Turbo, na hii ilifanyika kwa engine za 2.0 4 cylinder na 3.2 V6 Petrol Engine. Hapa na power output iliguswa pia ikawa na 197hp na 252hp..
.
Hizi engines zote zinatumia valve nne kwa cylinder moja, tofauti na engine za nyuma zilizokua na valve 5, Valve kwa lugha nyepesi kabisa ni kifaa juu ya cylinder kinachoratibu mchanganyiko wa hewa na mafuta ili kupata combustion..
.
View attachment 2227677View attachment 2227680View attachment 2227685View attachment 2227686

Pia kuna 2.0 Turbocharged Direct Injection [TDI] diesel engine ikiwa combined na Pumpe Duse [Unit Injector} with 16 Valves. Wakati kubwa yake ya 2.5 TDI V6 Diesel engine ilikuwa superseded na 3.0 V6 TDI ikiwa inatoa 201 Hp na 2005 ikawa upgraded to 230Hp kwa model za 2006...
.
Audi ni moja ya gari ambayo huwa nawashauri wateja kama wanakaa miji mikubwa kama Dar/Mwanza/Arusha/Dodoma nk ndo wanunue. Ila kama uko Songwe au katavi huko upatikanaji wa mafundi na vipuri inaweza kuwa changamoto. Na kwa miji mikubwa hata mafundi ni kuwa nao makini usije kutana na Fundi Michael...
.
Audi ni Slay queen mrembo akiwa na urembo mwingi wa gharama za juu na hapendi shida. Kama una rough driving na barabara unazotumia ni za kimara Bonyokwa hii gari haifai. Gari inaweza kupa pressure Kama za Slay queen Birthday inatokea mara 4 kwa mwaka na umri uko hapo hapo..
.
View attachment 2227687View attachment 2227689View attachment 2227691

Ila ni slay queen very reliable and durable ukimtunza, consumption yake ya mafuta ni nzuri sana ukija kwenye speed performance yake ni super. Kwenye Mafuta hapa inategemea na engine iliyofungwa lakini wasitani Audi A4 anatumia 5.8-6.1L/100K Yani anaenda 16.6-17.2Km/L...
.
Full Tank ni 54L acceleration yake ni sekunde 9 tu from 0-100Km, Sasa ukiangalia performance gari inayokupa haya matumizi ya ni mazuri tu. Kwenye maintenance iko poa sio ya kutisha though iko juu uki compare na toyota, Parts zake zinapatikana na bei sio mbaya sana...
.
Sema kama uchumi wako bado ni wa kuunga unga achana nayo hii gari inataka uchumi ulionyooka. Sio unapewa proforma invoice ya birthday unaanza kukumbuka birthday ya mwisho ilikua lini au unaona kama imejirudia ndani ya mwaka mmoja, Any way tuendelee...
.
Audi A4 matatizo common ni kuwasha warning light mara kwa mara sababu ya sensor nyingi [Ila hili sio tatizo gari nyingi za kisasa ziko hivyo] . Transmission issues ukitumia vilainishi sivyo na engine itasumbua kama ikikosa service . Hii gari haikopeshi wala haicarry forward..
.
Yani ukiipa vitu sivyo utapata majibu mapema tu, Muhimu kusoma Owners manual kupata taarifa muhimu za jinsi ya ku maintain gari na jinsi ya kui operate. Kwenye Engine na gear box hakikisha unatumia vilainishi OG ambavyo viko recommended na manufacture ku avoid matatizo ..
.
Engine nzuri ni za petrol under cc 2000 yani 2.0L, Hizi zote zinakupa Performance nzuri[speed/pooling]. Na pia they are easy to maintain kibongo bongo hasa kwa wadau wa uchumi wa join the chain. Ila kama unahitaji nguvu zaidi you can go for bigger engine za V6 zitakufaa..

View attachment 2227697View attachment 2227709View attachment 2227718
.
Diesel engine they are a bit expensive and complicated kuzi maintain though ziko economy, Ndo maana kama umenotice Africa gari ndogo za diesel ni chache sana hata supplier wa nje wanalijua hili, Ila zinapatikana kama uko fresh mfuko uko vizuri you can opt them ziko poa pia...
.
Audi A4 Kama unahitaji kuagiza mpaka unaishika Price range ni 15-19M Kutokana na mwaka wa matengenezo plus features na condition ya gari husika. Kama unahitaji wasiliana nasi kwa number 0714547598 au Ofisini Kigamboni Kisiwani Kwa Mkorea mbele kama unaenda Kibada utakua sorted na hitaji lako litatimizwa ...
.
View attachment 2227714View attachment 2227716View attachment 2227717
.
Tunafanya kazi na dealers wa Japan,UK, etc, dealers wanaotupa gari nzuri zenye ubora kwa ajili yako, Tutafanya machakato wako wa kupata gari kuwa salama na unaojali muda wako na unaokupa gari la thamani ya pesa yako. Kama uko mkoani unaweza agiza gari pia ukiwa huko huko...
.
Tupe hitaji lako na budget yako tutakushauri na kukutafutia gari kulingana na mahitaji yako na kipato chako, Ukiipenda utatumiwa invoice [at cost] utafanya malipo huko huko mpaka gari itafika ikiwa cleared unakuja kuchukua au unaletewa ulipo. Maana gari ukinunua kwa kukurupuka ni
.
Maana gari ukinunua kwa kukurupuka ni Liability moja mbaya sana ambayo itakunyonya damu wakati inakuchekea, Natumaini umejifunza kitu kama Jibu ni ndio basi unaweza share na wengine wapate haya Madini...
.
Asante sana
Samatime
Mob; 0714547598

View attachment 2227639
Mkuu upo na uku? Safi sana uwa napitia sana tweets zako
 
View attachment 2227627

Audi A4 ni line ya compact executive cars ambazo zimekua kwenye uzalishaji tangu 1994 huko German na Audi ambayo ni subsidiary ya Volkswagen Group, Subsidiary yani ni kama CCM na ACT hivi [Jokes] Tuendelee.
.
Generation zake zimekua coded B5[1994-2001], B6[2000-2006], B7[2004-2009], B8[2008-2016] na B9[2016-Todate]... . Audi A4 imekuja na shape za sedan [Kama Taxi], station wagon [Kama Probox].. . Convertible version [inafunguka juu] na coupe [Kile cha wachoyo cha milango miwili].
.
View attachment 2227631 View attachment 2227632View attachment 2227635
.
Sasa kwa leo tutaenda kugusa generation ya Pili [B6 2000-2006] na Tatu [B7 2004-2009] as kwa sasa ndo nyingi zinanunuliwa na bei zake ni nzuri, Tutaanza na B6 Kaa vizuri andaa popcorn zako za Laki moja na juice uanze kula madini...
.
Audi A4 B6 ina umbo la kuvutia [sports Looks] na ni moja ya classy looking car, Ikishindanishwa duniani na BMW 3 -Series na Mercedes Benz C-class. Kwa nje ina muonekano very unique ikipewa taa kama macho ya Rehema Chalamila na nyuma ikipewa curves nzuri za kuvutia...
.
Kwa na ndani nafasi ni kubwa na mnakaa mkiwa comfortable kabisa, Legroom ipo ya kushosha pale mbele abiria mrefu miguu inakaa vizuri na hata kwa upande wa abiria kuko poa pia Ila ukiwa mrefu sana kuanzia kiunoni kuja juu kichwa kinaweza gusa kwenye roof...
.
Seats zake zimepangwa vizuri[well elevated and extra padded] ili kukupa comfortability zaidi unapokua ndani ya chombo, Ukija kwenye dashboard imekaa poa sana option zake zimepangwa vizuri, maandishi yakipewa rangi nyekundu yenye kuvuti, niweza sema German kwa interiors wako vizuri sana.

View attachment 2227640View attachment 2227644View attachment 2227645

B6 imekuja imekuja ikiwa na engine option kadhaa kwa Petrol na Diesel. Tukianza na Petrol kuna Inline-four [cylinder] petrol engine 1.6L, 1.8L 20v Turbo, 2.0L 20v, 2.0L FSI 16v, then kuna V6 petrol engine 2.4L V6 30v, 3.0L V6 30v, V8 petrol engine 4.2L V8 40v [V ni Valve]...
.
Diesel engine kuna Inline-four [cylinder] engine 1.9L I4 TDI, V6 diesel engine na 2.5L V6 TDI, Hizi engine zote ziko linked na Transmission za 5-speed Manual, 6-speed Manual. Kwa automatic Transmission kuna 5-speed Automatic na 6-speed Automatic..
.
Kuna codes zimetumika katika majina ya hizi engine mfano TDI ni Turbocharged Direct Injection, Kwa lugha nyepesi ni engine ambayo ina turbo na intercooler kwenye compressor ya turbo ndo inakua na hili Jina. Hizi ni kwa engine za Diesel, na Pia kuna mfumo wa TFSI..
.
View attachment 2227650View attachment 2227651View attachment 2227652

TFSI hii ni mfumo unaotumika sana na engine za Audi [Petrol Engine] ukimaanisha turbo fuel stratified injection (TFSI). Yani turbo inakua introduced kwa mafuta yanayoingizwa kwa pressure katika combustion chamber na kuchoma instantly. Pia ukiona Audi imeandikwa Quattro Inamaanisha hiyo gari inaendesha tyre zote nne [All wheel drive] na gari ina element za racing...
.
Hili ni neno la ki Italia likimaanisha nne na pia Q inatumika na Group maarufu la rally huko duniani toka miaka ya 80, Sasa Tofauti ya TSFI na TDI ni kwamba TSFI yuko faster Anachanganaya mapema na anakula mafuta zaidi na kumtunza ni rahisi...
.
Wakati TDI yeye ni mzito anatumia mafuta kidogo [economy] na ni gharama kumtunza ukilinganisha na mwenzake, Kwenye matunzo huwa hatuko vizuri ndo maana tunatumia engine za Petrol na wewe nakushauri tumia Petrol tu...
.
Hizi mifumo Lengo ni kuipa gari nguvu ya ziada kama hauna uhitaji na hizo nguvu hakuna haja ya kuchukua hizo engine, Sio una gari top speed 260Km/Hr na hujawahi hata kufika 160Km/Hr, huo ni uharibifu tu its much better ukachukua engine za kawaida tu [nitashare huko mbele]...
.
Gari iko chini haifai kufukia mashimo hasa ukiwa speed, Iko very stable barabarani yani haichezi hata kidogo hata ukiwa kwenye high speed. Kwenye kona ndo tamu zaidi gari imetulia mpaka unasikia raha, Nikukumbushe ukiwa speed ukiona shimo/speed bumps pita taratibu gari iko na sensors za kutosha kama majipu ukilitumbua tu mpaka lije kupona ni issue..
.

View attachment 2227658View attachment 2227661View attachment 2227669

Standard Features kwa B6 ni Electronic Stability Programme (ESP) system, Hii inasaidia gari kuwa Stable pamoja na anti-lock braking system (ABS), ABS kama huijui niambie nikupe Link ya Kavishe Ujifunze, Pia kuna brake assist, and electronic brakeforce distribution (EBD)...
.
Kwa hii generation B6[2000-2006] kama unazipenda chukua kuanzia 2002++, Hapo ndo walifanya maboresho kuanzia kwenye body na machine wakiipa gari muonekano mzuri zaidi na engine zenye nguvu ila zikiwa zinatumia mafuta vizuri, Sasa twende kwa Dada ake B7...
.
B7 Hii ni generation ya 3 ikianza mwaka [2004-2009] na hapa kuna maboresho makubwa zaidi, tunaweza sema hapa imefanyika heavy facelifted. Front grille mpangilio wake ulibadirishwa ukawa mrefu gari ikapewa shape ya trapezoidal [Juu ndogo chini imejaa kama kiuno cha nyigu vile]..
.
View attachment 2227672View attachment 2227673View attachment 2227675

Ukija kwa setting za kwenye steering zikawa revised, suspension zikaguswa pia, Infotainment ya hii B7 ni balaa tupu iko na option za kutosha. Kwanza pale kati chini kwenye gear umepewa access ya kumonitor option zote za gari ukiwa na screen kwa mbele inayokudirect...
.
Navigation system na chassis electronics [Vifaa vya umeme ambavyo viko mounted na chasis], Pamoja na Electronic Stability Programme (ESP) system viliboreshwa. Dashboard na Interiors hazikuguswa sana ila vilifanyiwa minor detailing[kupewa muonekana mzuri zaidi wa kuvutia]..
.
Engines nazo zilipata maboresho pia mwaka 2005 ndo ikaja TFSI kama nilivyooleza hapo nyuma before ilikua ni FSI, Yaani Fuel Stratified Injection bila Turbo, na hii ilifanyika kwa engine za 2.0 4 cylinder na 3.2 V6 Petrol Engine. Hapa na power output iliguswa pia ikawa na 197hp na 252hp..
.
Hizi engines zote zinatumia valve nne kwa cylinder moja, tofauti na engine za nyuma zilizokua na valve 5, Valve kwa lugha nyepesi kabisa ni kifaa juu ya cylinder kinachoratibu mchanganyiko wa hewa na mafuta ili kupata combustion..
.
View attachment 2227677View attachment 2227680View attachment 2227685View attachment 2227686

Pia kuna 2.0 Turbocharged Direct Injection [TDI] diesel engine ikiwa combined na Pumpe Duse [Unit Injector} with 16 Valves. Wakati kubwa yake ya 2.5 TDI V6 Diesel engine ilikuwa superseded na 3.0 V6 TDI ikiwa inatoa 201 Hp na 2005 ikawa upgraded to 230Hp kwa model za 2006...
.
Audi ni moja ya gari ambayo huwa nawashauri wateja kama wanakaa miji mikubwa kama Dar/Mwanza/Arusha/Dodoma nk ndo wanunue. Ila kama uko Songwe au katavi huko upatikanaji wa mafundi na vipuri inaweza kuwa changamoto. Na kwa miji mikubwa hata mafundi ni kuwa nao makini usije kutana na Fundi Michael...
.
Audi ni Slay queen mrembo akiwa na urembo mwingi wa gharama za juu na hapendi shida. Kama una rough driving na barabara unazotumia ni za kimara Bonyokwa hii gari haifai. Gari inaweza kupa pressure Kama za Slay queen Birthday inatokea mara 4 kwa mwaka na umri uko hapo hapo..
.
View attachment 2227687View attachment 2227689View attachment 2227691

Ila ni slay queen very reliable and durable ukimtunza, consumption yake ya mafuta ni nzuri sana ukija kwenye speed performance yake ni super. Kwenye Mafuta hapa inategemea na engine iliyofungwa lakini wasitani Audi A4 anatumia 5.8-6.1L/100K Yani anaenda 16.6-17.2Km/L...
.
Full Tank ni 54L acceleration yake ni sekunde 9 tu from 0-100Km, Sasa ukiangalia performance gari inayokupa haya matumizi ya ni mazuri tu. Kwenye maintenance iko poa sio ya kutisha though iko juu uki compare na toyota, Parts zake zinapatikana na bei sio mbaya sana...
.
Sema kama uchumi wako bado ni wa kuunga unga achana nayo hii gari inataka uchumi ulionyooka. Sio unapewa proforma invoice ya birthday unaanza kukumbuka birthday ya mwisho ilikua lini au unaona kama imejirudia ndani ya mwaka mmoja, Any way tuendelee...
.
Audi A4 matatizo common ni kuwasha warning light mara kwa mara sababu ya sensor nyingi [Ila hili sio tatizo gari nyingi za kisasa ziko hivyo] . Transmission issues ukitumia vilainishi sivyo na engine itasumbua kama ikikosa service . Hii gari haikopeshi wala haicarry forward..
.
Yani ukiipa vitu sivyo utapata majibu mapema tu, Muhimu kusoma Owners manual kupata taarifa muhimu za jinsi ya ku maintain gari na jinsi ya kui operate. Kwenye Engine na gear box hakikisha unatumia vilainishi OG ambavyo viko recommended na manufacture ku avoid matatizo ..
.
Engine nzuri ni za petrol under cc 2000 yani 2.0L, Hizi zote zinakupa Performance nzuri[speed/pooling]. Na pia they are easy to maintain kibongo bongo hasa kwa wadau wa uchumi wa join the chain. Ila kama unahitaji nguvu zaidi you can go for bigger engine za V6 zitakufaa..

View attachment 2227697View attachment 2227709View attachment 2227718
.
Diesel engine they are a bit expensive and complicated kuzi maintain though ziko economy, Ndo maana kama umenotice Africa gari ndogo za diesel ni chache sana hata supplier wa nje wanalijua hili, Ila zinapatikana kama uko fresh mfuko uko vizuri you can opt them ziko poa pia...
.
Audi A4 Kama unahitaji kuagiza mpaka unaishika Price range ni 15-19M Kutokana na mwaka wa matengenezo plus features na condition ya gari husika. Kama unahitaji wasiliana nasi kwa number 0714547598 au Ofisini Kigamboni Kisiwani Kwa Mkorea mbele kama unaenda Kibada utakua sorted na hitaji lako litatimizwa ...
.
View attachment 2227714View attachment 2227716View attachment 2227717
.
Tunafanya kazi na dealers wa Japan,UK, etc, dealers wanaotupa gari nzuri zenye ubora kwa ajili yako, Tutafanya machakato wako wa kupata gari kuwa salama na unaojali muda wako na unaokupa gari la thamani ya pesa yako. Kama uko mkoani unaweza agiza gari pia ukiwa huko huko...
.
Tupe hitaji lako na budget yako tutakushauri na kukutafutia gari kulingana na mahitaji yako na kipato chako, Ukiipenda utatumiwa invoice [at cost] utafanya malipo huko huko mpaka gari itafika ikiwa cleared unakuja kuchukua au unaletewa ulipo. Maana gari ukinunua kwa kukurupuka ni
.
Maana gari ukinunua kwa kukurupuka ni Liability moja mbaya sana ambayo itakunyonya damu wakati inakuchekea, Natumaini umejifunza kitu kama Jibu ni ndio basi unaweza share na wengine wapate haya Madini...
.
Asante sana
Samatime
Mob; 0714547598
Audi A4 ni gari nzuri sna sema sipendekezi mtu aje kununua zilizotembea over 50k miles maana naona gari nyingi used zinazokuja bongo hazijagi na service records, zaidi ya tag unazokuta kwny engine component zilizobadilishwa, na zinaandikwa kwa kijapan unless umeibeba kutoka stock za UK. Na pia zikishavuka kwenye hio milestone ndo zinaanza uchawi wakuwa na defective sensors na oil consumption issues. To be on the safe side bora kupurchase Audi A4 zenye facelift, maana zilifanyiwa marekebisho kwny common problems kma kunywa oil na pump issues zilizokua common kwny matoleo ya zamani. All in all ni gari tamu kama mfuko unaruhusu🤙🏾
 
Audi A4 ni gari nzuri sna sema sipendekezi mtu aje kununua zilizotembea over 50k miles maana naona gari nyingi used zinazokuja bongo hazijagi na service records, zaidi ya tag unazokuta kwny engine component zilizobadilishwa, na zinaandikwa kwa kijapan unless umeibeba kutoka stock za UK. Na pia zikishavuka kwenye hio milestone ndo zinaanza uchawi wakuwa na defective sensors na oil consumption issues. To be on the safe side bora kupurchase Audi A4 zenye facelift, maana zilifanyiwa marekebisho kwny common problems kma kunywa oil na pump issues zilizokua common kwny matoleo ya zamani. All in all ni gari tamu kama mfuko unaruhusu
Utazijuaje Sasa kuwa hii ndio nzuri kununua Elivate

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom