dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 22,132
- 49,392
... hapo nimekuelewa chief. Ni kweli nina ka D-4 kangu kuna sheli fulani fulani huwa nikiweka wese naona tofauti kabisa na nikiweka kwenye sheli kama TotalEnergies, Oryx, Puma, n.k. gari inakuwa imetulia vizuri sana.hahahahahah mafundi hawazipendi D-4 sababu hazitaki ubabaishaji kuanzia sheli mpaka kwenye oil zake. Pia zina mfumo wa umeme ambao haukawilii kuloga🤣