Attention: Kuwa makini na member huyu

Attention: Kuwa makini na member huyu

mrobhanda

Member
Joined
Dec 31, 2012
Posts
53
Reaction score
12
Habari za jioni ndugu zangu wanachit-chat, natumai mpo salama salmini.
Nawaandikia ujumbe huu ili muwe makini sana na huyu jamaa kwani ameingia humu jukwaani kwa kazi kuu ya kuwatafutia watu ban. Ameshafanikiwa kwa baadhi ya member na bado anawatafutia wengine ban.
Huyu bwana ID yake inafanana na watu weupe na kakabila fulani hapa Bongo.
Staili anayotumia ni ya kupost vitu vya kukera na mara utakapompa neno baya mara moja anakureport kwa mod ili uende jela. Kuweni makini na huyu bwana.
UPATAPO UJUMBE HUU MJULISHE NA MWENZIO.
Ahsanteni na jioni njema.
 
Habari za jioni ndugu zangu wanachit-chat, natumai mpo salama salmini.
Nawaandikia ujumbe huu ili muwe makini sana na huyu jamaa kwani ameingia humu jukwaani kwa kazi kuu ya kuwatafutia watu ban. Ameshafanikiwa kwa baadhi ya member na bado anawatafutia wengine ban.
Huyu bwana ID yake inafanana na watu weupe na kakabila fulani hapa Bongo.
Staili anayotumia ni ya kupost vitu vya kukera na mara utakapompa neno baya mara moja anakureport kwa mod ili uende jela. Kuweni makini na huyu bwana.
UPATAPO UJUMBE HUU MJULISHE NA MWENZIO.
Ahsanteni na jioni njema.

Mtajeeeerr!!!!!!!
 
Kama ni kweli basi inatakiwa sasa awe muungwana aje hapa tujadiliane kwa amani tumalize tofauti zetu na maisha yasonge kama familia bora ya wana CC.
 
JF hakuna hekima wala busara. Moderators wamepitwa na wakati. Mambo ya ban na sensor za maandiko ni ya zama za kiza na udikteta, zama za nyerere.

Hizi ni zama za dot com na vidole (digital) naona kupigana ban ni ujinga usio mfano. Kuna nini cha kuficha au kujificha kwenye mtandao zama hizi? Ni nani awezae kuingia kwenye mtandao ambae hajui uchi ni nini? Au zuri na baya ni lipi?

Wacha watu waongee watakavyo, zaidi mkiona cha kukera muelimishane na sio mambo ya udikteta wa kijinga wa kujifanya ni mungu watu kwa kushika marungu ya kuwatandika ban wengine.

Huyo mnaemsema sijasoma post zake lakini nasema hakuna anaestahiki ban kwenye mitandao ya kijamii, ama upende na uendelee kuwepo ama uondoke mwenyewe ama ubaki kuzidi kuelimisha wengine.

Moderators na waanzilishi wa JF ni watu wa ajabu sana kwa kuendekeza udikteta. Sijui watu kama hawa wanakuwa wamesoma nini katika dunia ya sasa? Akili na fikra zao bado ziko nyuma sana. Ikiwa Tanzania ndio hata huku kwenye mitandao ya kijamii tunaona upumbavu wa kulambana ban, mnategemea nini kwa wale wenye madaraka ya vyombo vya habari? Wanaweza kufunga au kumfungia yeyote na hakuna wa kutetea. Ikiwa wenyewe mnaojidai eti "where we dare to talk openly" mnashindwa kutimiza mnachoki-kisalisha. Unafik na ujinga tu ndio uliowajaa mamoderator na wanaojifanya miungu ya JF. Ukweli unabaki kuwa ukweli.
 
Mkuu hiyo tabia ya kumtaja mwenzako kuwa anakutafutia ban sio nzuri!

Nilijua lazima utokee mkuu, karibu kijiweni. Kwani hivi huyu jamaa ana nini hasa? Mbona mambo yanayomuhusu yanashugulikiwaga fasta sana?
 
Nilijua lazima utokee mkuu, karibu kijiweni. Kwani hivi huyu jamaa ana nini hasa? Mbona mambo yanayomuhusu yanashugulikiwaga fasta sana?

daah! Naanza kuamini maneno ya mleta mada.inawezekana huyu ni mtu muhimu sana.
 
We mleta mada,nimemtafutia BAN nani?
Mbona kunizushia?

mzungu mndali kama ni kweli wanayosema other members badilika mtindo wa uchangiaji wako ili uwe na tija zaidi kuliko kuwa wa kishari shari au kimajungu majungu au kinaanaa bora watu wakose amani na ban!!!!

Ni ushauri tu ni kama kweli.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom