Bravo320
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 401
- 308
Asha Mkwizu alimuua mumewe kwa shoka alimvizia amelala, kisha akamkatakata vipande na kumweka kwenye viroba, akaenda kumzika uani. ..nafikiri alinyongwa yule mama.Huyo bibi alifanya nini ,samahani sie wengine wa 90's mkuu