Athletes...wanamichezo wa bongo hawafiki mbali sababu ya kipochi

Athletes...wanamichezo wa bongo hawafiki mbali sababu ya kipochi

This is a sweeping statement.

Kupenda chini pekee sio sababu tosha kumfelisha mtu. Wabrazil, wanigeria wanapenda sex kuliko kula bado wamejazana nje na wanatoboa kwenye michezo kila siku.

Bado uwekezaji kwenye michezo ni mdogo sana bongo kama ilivyo nyanda zingine zote. Bongo mtu akitoboa ni juhudi zake mwenyewe na bahati/Mungu wake ila sio sababu ya mfumo. Kina Dayamondi, Kiba, Samatta nk wamefika walipofika sababu ya juhudi zao wenyewe. Wala Ramadhani brothers walishinda hadi AGT huku serikali haijui kabisa ni kina nani. Baada ya kushinda machawa wakajitokeza kula hela zao na leo serikali haijui tena nini kinaendelea kwao wala ule mchezo. Ipo hivyo kwenye michezo yote nguvu kubwa ya uchawa inatumika mtu akitoboa tu ila hakuna mfumo wa kuwaendeleza au kuendeleza hiyo michezo.
 
Kibongo bongo ukiacha wasanii kuna hili kundi la wachezaji na wanamichezo mbalimbali ikiwemo ngumi and so on
udhaifu wao ni kipochi....
Uchi ni mtamu lakini una side effects zake nyingi mno ukiachilia mbali magonjwa. Kwa wanamichezo wanakosa stamina na inner power.
Mike Tyson na Manny Pacquiao walishawahi kukiri waziwazi ngono inamaliza nguvu
Ndo maana kuna kitu Kinaitwa semen retention (SR), ukiendekeza ngono unapoteza nguvu za kimwili na kiroho pia, ngono ni depletion of power and aura.
 
Back
Top Bottom