Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,753
- 218,340
Katibu Mkuu wa CCM ameonekana Zanzibar na kwingineko katika ziara za chama chake, ameonekana akitumia usafiri wa ndege za ATCL ambalo ni shirika la umma.
Sasa ili kuondoa minong'ono ya chini chini iliyoanza kusikika kwamba ANATUMIA NDEGE HIZO BILA KULIPA CHOCHOTE , Ni vema basi shirika hilo ambalo si la CCM likaweka hadharani risiti za malipo ambazo CCM imelipia kwa ajili ya matumizi ya ndege hizo za umma .
Natanguliza Shukrani.
Sasa ili kuondoa minong'ono ya chini chini iliyoanza kusikika kwamba ANATUMIA NDEGE HIZO BILA KULIPA CHOCHOTE , Ni vema basi shirika hilo ambalo si la CCM likaweka hadharani risiti za malipo ambazo CCM imelipia kwa ajili ya matumizi ya ndege hizo za umma .
Natanguliza Shukrani.