Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 2,542
- 2,172
- Thread starter
- #21
CHADEMA shidaaamaji na umeme ni anasa punguzeni malalamiko ndege kwanza watalii waje kwa wingi.
CHADEMA shidaaamaji na umeme ni anasa punguzeni malalamiko ndege kwanza watalii waje kwa wingi.
Uzalendo ni zaidi ya taalumaIndirect profit waseme wanasiasa sio CIG Ile ni taaluma.
Eti mtu analinganisha ATCL na Ethiopian Airlines
You must be crazy
Wengine waibe kodi zetu , alafu sisi tuwe wazalendo Kwa niaba yaoUzalendo ni zaidi ya taaluma
Umeme utakuwa sawa very soon, We are Sorry,Wengine waibe kodi zetu , alafu sisi tuwe wazalendo Kwa niaba yao
Umeme hamna hii siku ya pili ukiuliza unaambiwa hakuna mgao
Alafu mjinga mmoja anasema
M'we wazalendo na nchi yenu
Riwaya ndefu isiyo na mantiki. Kwa ufahamu wako, mashirika yote ya ndege Duniani yanamilikiwa na Serikali? Indirect benefit kama ya kusafirisha watalii inalisadia vipi shirika binafsi la ndege? Msikaririshwe, kila biashara ni lazima itengeneze direct profit, indirect benefit ni ziada.===
Tanzania tayari tuna ndege mpya 11 za kisasa zinazoifanya ATCL kuwa mshindani wa Rwanda Airlines,Ethiopia Airline na Kenya Airways katika biashara ya Usafiri na usafirishaji wa anga Africa,
Pamoja na kwamba kimahesabu ATCL inaonekana kutengeneza hasara lakini indirectly ATCL inafaida kubwa sana kwa Uchumi wa nchi yetu, kwamfano hadi kufikia ripoti ya mwisho ya CAG shirika letu la ATCL lilitengeneza hasara ya TZS 153BL ila indirect benefits CAG hakuzitaja ambazo ndio zinathamani kubwa zaidi ya hiyo hasara ( Wakati mwingine CAG aje na indirect benefits za ATCL )
Kwamsiofahamu faida za ndege duniani kote sio Air ticketing ( tiketi ) ila ni indirect Profit yaani faida mbadala mathalani Tanzania tayari inahitaji watalii kutoka Duniani kote na kwamsiojua Watalii wanalipa kuliko hii "Air ticketing " mnazozipigia kelele,
Mfano, Mwaka 2017|18 mapato yetu yatokanayo na Utali yalifikia $2.4BL sawa na Tshs 5.5trilioni wakati rekodi ya Watali ikiwa 2m tu,Lakini tunafahamu duniani kila mwaka kuna zaidi ya Watali 1.5bl wanatafuta wapi waende kula bata,
Kama tulipata TZS 5.5Trilioni kwa watalii 2m waliojileta wenyewe itakuwaje tukiwafuata kwa Ndege zetu wenyewe? Nahasa ya 153BL Ni-nini kwenye mapato ya TZS 5.5 kama ndege hizi zitaleta watalii 2m wapya?
Niulize swali, Kenya Airways inaweza kubeba watalii toka UK ikawaletea ninyi Tanzania mnaopinga kuwa na ndenge zenu? "Jibu ni Hapana" vivyo hivyo kwa mataifa shidani kibiashara toka Africa hawawezi kuwafaidisha ninyi lazima kila nchi ivutie kwake na hii ni miongoni mwasababu inamfanya Rais Samia Suluhu Hassan kuagiza ndege mpya tano za kisasa huku akilipia nne za awali,
Nimejaridi ku-Google bei za kila ndege hizi ndizo bei za kiwandani japo naamini kunapunguzo,
Bei ya Boing 787-800 dreamliner ni $248M au TZS 570.4BL,Wakati bei ya Boing 767 -300 Freighter ni $220M au TZS 506BL na Boing 737 Max ni $99.7M kwa moja sawa na TZS 458.6BL kwa zote mbili, Bei ya ndege zote nne kwa mujibu wa bei ya kiwandani ni $667.4M sawa na TZS 1.535Trilioni mnaolalamika tumepigwa kwenye TZS 1.7T hii hesabu nyie mmeitoa wapi?
Jifunzeni kuisemea nchi yenu mema,
View attachment 2013715
Punguza ujuaji.
Kenya Airways wana Internationa Destinations 27 ambazo zipo active.
Rwanda Air wana international destinations 26 ambazo zipo active.
Tuwaache ethiopians Airline maana wana international Destinations zaidi ya 100. Hivyo ni aibu hata kuwacompare na Air Tanzania.
Air Tanzania wana International Destinations ngapi ambazo zipo active?
Punguza kuropoka hata kama unalipwa buku 7.
Wakati akiwa Makamu wa Rais hukuwepo Mpe hizo sifa?? Au amezaliwa upya?Tanzania imepata Rais wa kihistoria anayebisha ni kichaa tu,
===
Tanzania tayari tuna ndege mpya 11 za kisasa zinazoifanya ATCL kuwa mshindani wa Rwanda Airlines,Ethiopia Airline na Kenya Airways katika biashara ya Usafiri na usafirishaji wa anga Africa,
Pamoja na kwamba kimahesabu ATCL inaonekana kutengeneza hasara lakini indirectly ATCL inafaida kubwa sana kwa Uchumi wa nchi yetu, kwamfano hadi kufikia ripoti ya mwisho ya CAG shirika letu la ATCL lilitengeneza hasara ya TZS 153BL ila indirect benefits CAG hakuzitaja ambazo ndio zinathamani kubwa zaidi ya hiyo hasara ( Wakati mwingine CAG aje na indirect benefits za ATCL )
Kwamsiofahamu faida za ndege duniani kote sio Air ticketing ( tiketi ) ila ni indirect Profit yaani faida mbadala mathalani Tanzania tayari inahitaji watalii kutoka Duniani kote na kwamsiojua Watalii wanalipa kuliko hii "Air ticketing " mnazozipigia kelele,
Mfano, Mwaka 2017|18 mapato yetu yatokanayo na Utali yalifikia $2.4BL sawa na Tshs 5.5trilioni wakati rekodi ya Watali ikiwa 2m tu,Lakini tunafahamu duniani kila mwaka kuna zaidi ya Watali 1.5bl wanatafuta wapi waende kula bata,
Kama tulipata TZS 5.5Trilioni kwa watalii 2m waliojileta wenyewe itakuwaje tukiwafuata kwa Ndege zetu wenyewe? Nahasa ya 153BL Ni-nini kwenye mapato ya TZS 5.5 kama ndege hizi zitaleta watalii 2m wapya?
Niulize swali, Kenya Airways inaweza kubeba watalii toka UK ikawaletea ninyi Tanzania mnaopinga kuwa na ndenge zenu? "Jibu ni Hapana" vivyo hivyo kwa mataifa shidani kibiashara toka Africa hawawezi kuwafaidisha ninyi lazima kila nchi ivutie kwake na hii ni miongoni mwasababu inamfanya Rais Samia Suluhu Hassan kuagiza ndege mpya tano za kisasa huku akilipia nne za awali,
Nimejaridi ku-Google bei za kila ndege hizi ndizo bei za kiwandani japo naamini kunapunguzo,
Bei ya Boing 787-800 dreamliner ni $248M au TZS 570.4BL,Wakati bei ya Boing 767 -300 Freighter ni $220M au TZS 506BL na Boing 737 Max ni $99.7M kwa moja sawa na TZS 458.6BL kwa zote mbili, Bei ya ndege zote nne kwa mujibu wa bei ya kiwandani ni $667.4M sawa na TZS 1.535Trilioni mnaolalamika tumepigwa kwenye TZS 1.7T hii hesabu nyie mmeitoa wapi?
Jifunzeni kuisemea nchi yenu mema,
View attachment 2013715
Tumepuuza ,Wachonganishi tu hao===
Tanzania tayari tuna ndege mpya 11 za kisasa zinazoifanya ATCL kuwa mshindani wa Rwanda Airlines,Ethiopia Airline na Kenya Airways katika biashara ya Usafiri na usafirishaji wa anga Africa,
Pamoja na kwamba kimahesabu ATCL inaonekana kutengeneza hasara lakini indirectly ATCL inafaida kubwa sana kwa Uchumi wa nchi yetu, kwamfano hadi kufikia ripoti ya mwisho ya CAG shirika letu la ATCL lilitengeneza hasara ya TZS 153BL ila indirect benefits CAG hakuzitaja ambazo ndio zinathamani kubwa zaidi ya hiyo hasara ( Wakati mwingine CAG aje na indirect benefits za ATCL )
Kwamsiofahamu faida za ndege duniani kote sio Air ticketing ( tiketi ) ila ni indirect Profit yaani faida mbadala mathalani Tanzania tayari inahitaji watalii kutoka Duniani kote na kwamsiojua Watalii wanalipa kuliko hii "Air ticketing " mnazozipigia kelele,
Mfano, Mwaka 2017|18 mapato yetu yatokanayo na Utali yalifikia $2.4BL sawa na Tshs 5.5trilioni wakati rekodi ya Watali ikiwa 2m tu,Lakini tunafahamu duniani kila mwaka kuna zaidi ya Watali 1.5bl wanatafuta wapi waende kula bata,
Kama tulipata TZS 5.5Trilioni kwa watalii 2m waliojileta wenyewe itakuwaje tukiwafuata kwa Ndege zetu wenyewe? Nahasa ya 153BL Ni-nini kwenye mapato ya TZS 5.5 kama ndege hizi zitaleta watalii 2m wapya?
Niulize swali, Kenya Airways inaweza kubeba watalii toka UK ikawaletea ninyi Tanzania mnaopinga kuwa na ndenge zenu? "Jibu ni Hapana" vivyo hivyo kwa mataifa shidani kibiashara toka Africa hawawezi kuwafaidisha ninyi lazima kila nchi ivutie kwake na hii ni miongoni mwasababu inamfanya Rais Samia Suluhu Hassan kuagiza ndege mpya tano za kisasa huku akilipia nne za awali,
Nimejaridi ku-Google bei za kila ndege hizi ndizo bei za kiwandani japo naamini kunapunguzo,
Bei ya Boing 787-800 dreamliner ni $248M au TZS 570.4BL,Wakati bei ya Boing 767 -300 Freighter ni $220M au TZS 506BL na Boing 737 Max ni $99.7M kwa moja sawa na TZS 458.6BL kwa zote mbili, Bei ya ndege zote nne kwa mujibu wa bei ya kiwandani ni $667.4M sawa na TZS 1.535Trilioni mnaolalamika tumepigwa kwenye TZS 1.7T hii hesabu nyie mmeitoa wapi?
Jifunzeni kuisemea nchi yenu mema,
View attachment 2013715
CHADEMA lete prove kuwa hawa ni WATANZANIA,Kununua midege wakati wananchi wanaishi maisha kama haya ndiyo uzushi wenyewe na uzushi kama huu hatutaupuuza kwemwe. View attachment 2013770View attachment 2013772View attachment 2013774View attachment 2013781View attachment 2013799View attachment 2013810View attachment 2013823
Watalii wataogea mchanga au😅maji na umeme ni anasa punguzeni malalamiko ndege kwanza watalii waje kwa wingi.
===
Tanzania tayari tuna ndege mpya 11 za kisasa zinazoifanya ATCL kuwa mshindani wa Rwanda Airlines,Ethiopia Airline na Kenya Airways katika biashara ya Usafiri na usafirishaji wa anga Africa,
Pamoja na kwamba kimahesabu ATCL inaonekana kutengeneza hasara lakini indirectly ATCL inafaida kubwa sana kwa Uchumi wa nchi yetu, kwamfano hadi kufikia ripoti ya mwisho ya CAG shirika letu la ATCL lilitengeneza hasara ya TZS 153BL ila indirect benefits CAG hakuzitaja ambazo ndio zinathamani kubwa zaidi ya hiyo hasara ( Wakati mwingine CAG aje na indirect benefits za ATCL )
Kwamsiofahamu faida za ndege duniani kote sio Air ticketing ( tiketi ) ila ni indirect Profit yaani faida mbadala mathalani Tanzania tayari inahitaji watalii kutoka Duniani kote na kwamsiojua Watalii wanalipa kuliko hii "Air ticketing " mnazozipigia kelele,
Mfano, Mwaka 2017|18 mapato yetu yatokanayo na Utali yalifikia $2.4BL sawa na Tshs 5.5trilioni wakati rekodi ya Watali ikiwa 2m tu,Lakini tunafahamu duniani kila mwaka kuna zaidi ya Watali 1.5bl wanatafuta wapi waende kula bata,
Kama tulipata TZS 5.5Trilioni kwa watalii 2m waliojileta wenyewe itakuwaje tukiwafuata kwa Ndege zetu wenyewe? Nahasa ya 153BL Ni-nini kwenye mapato ya TZS 5.5 kama ndege hizi zitaleta watalii 2m wapya?
Niulize swali, Kenya Airways inaweza kubeba watalii toka UK ikawaletea ninyi Tanzania mnaopinga kuwa na ndenge zenu? "Jibu ni Hapana" vivyo hivyo kwa mataifa shidani kibiashara toka Africa hawawezi kuwafaidisha ninyi lazima kila nchi ivutie kwake na hii ni miongoni mwasababu inamfanya Rais Samia Suluhu Hassan kuagiza ndege mpya tano za kisasa huku akilipia nne za awali,
Nimejaridi ku-Google bei za kila ndege hizi ndizo bei za kiwandani japo naamini kunapunguzo,
Bei ya Boing 787-800 dreamliner ni $248M au TZS 570.4BL,Wakati bei ya Boing 767 -300 Freighter ni $220M au TZS 506BL na Boing 737 Max ni $99.7M kwa moja sawa na TZS 458.6BL kwa zote mbili, Bei ya ndege zote nne kwa mujibu wa bei ya kiwandani ni $667.4M sawa na TZS 1.535Trilioni mnaolalamika tumepigwa kwenye TZS 1.7T hii hesabu nyie mmeitoa wapi?
Jifunzeni kuisemea nchi yenu mema,
View attachment 2013715
Wewe ndiye Mungu Mkuu wa uzushi.Kama huamini twitter hii nenda kurasa za EAT TV za tarehe 25/09/2025 kule twitter.CHADEMA lete prove kuwa hawa ni WATANZANIA,
Acheni uzushi wenu,
Mleta mada uko sahihi kwa kuongelea indirect benefits liking hata direct benefit kwa serikali zipo sema tatizo CAG huwa anaripoti kuwa ATCL imepata hasara kienyeji mno bila kutumia utaalamu wake wa mahesabu vizuri.Anaripoti kitoto mno kuhusu ATCL sababu huwa anaripoti as if ATCL Ni private company.!!!
ATCL Ni shirika linalomilikiwa kwa asilimia 100 na serikali na kwangu Mimi ATCL huwa inapata faida na kutoa gawio kwa mumiliki ambaye Ni serikali .Utauliza inatoa gawio kivipi?
Jibu ni hivi moja kila tiketi unayokata Kuna Kodi kibao mle ambazo serikali hupewa chake .Kwa kila tiketi moja serikali hupewa gawio.Chukua tiketi yako ya ndege angalia mle breakdown serikali chake imeshagawiwa.Hupandi ndege ya ATCL mpaka utoe gawio
Pili kila manunuzi ATCL hufanya serikali hupewa VAT na ma import duties nk gawio la pili
Tatu Kuna income tax ambayo hulipwa kila mwisho wa mwaka unapofunga mahesabu gawio la tatu
Nne Kuna Kodi za PAYE za mishahara ya wafanyakazi serikali inagawiwa
Ili kujua Kama ATCL ilipata hasara waulize serikali hela za Kodi zote kwanza za kila walizopokea shilingi ngapi? Wakupe hesabu
Ukishapata Sasa nenda chukua hicho kinachosemekana ATCL ilipata hasara toa hiyo mipesa ya mikodi ambayo serikali ilipata ndio uje na jibu Kama Kuna faida au hasara kiasi gani
Kwa hyo hayat mpendwa wetu Magufuli alikuwa RAIS wa nn?Tanzania imepata Rais wa kihistoria anayebisha ni kichaa tu,
Umeme na maji vitabaki kuwa historia Tanzania, Mark my words