Atayaweza majukumu huyu kweli?

Atayaweza majukumu huyu kweli?

Mshauri abadilike. Mwambie kuwa jukumu kuu la mwanaume ni kuweka meza sawa kila siku. Hawezi kuwa baba wa familia iwapo hawezi hata kukuletea nyanya za buku. Akishindwa mmwage!
 
Mambo mpenzi Khantwe, i hope siku hizi nimeacha hii tabia na unaenjoy
 
Last edited by a moderator:
Habari zenu wanaMMU. Nina mpenzi wangu ambae nnategemea kuwa atakuwa baba watoto ila ana tatizo (mimi naliita tatizo). Ni kwamba yeye ni mfanyakazi wa kampuni moja binafsi,ni kawaida yake huwa anakuja kwangu mara nyingi nampikia chakula.

Anaweza akatoka kazini anapitia kwangu anakula then anaenda kwake.

Hakuna siku utamsikia anasema dia hela hii hapa kanunue mchele au hata yeye mwenyewe kwamba anapokuja abebe walau maji ya uhai, hana muda huo kabisa. Gharama zote nazijua mimi. Tena anaweza kudiriki hata kusema chakula nlichopika ye hakipendi.

Sasa nauliza eti huyu mtu majukumu anayajua? Hata tukiingia ndoani si atanitwisha majukumu yote huyu? Au labda nyie wenzangu mnaonaje tabia hii, ni ya kawaida?

Bibie hii status mpaka leo iko hivihivi? Majimbo yanahitaji wagombea wapya.
 
Asante kwa ushauri. Nilishawahi kujaribu hii ila anafanya siku hiyohiyo uliyomwambia baada ya hapo km kawaida

Sintokaa nirudie upunguani niliyoufanya bajeti yangu nikaigawa Mara 2 nakula low quality food eti na yy ale kumbe hela anapekeka kwa mwanamke mwingine??! Daah alikuwa km wako huyo ana uchuna kabisa jamani nilishaumia sana and I was pregnant, lakini sasa nimemwambia yeye ndo baba akishindwa kununulia familia yake m..a..v..I ajue mini sio punda wa kuhemea kila siku,, usikubali bora umkimbie rafiki INA maana yeye Pesa zake anapeleka wapi??
 
Habari zenu wanaMMU. Nina mpenzi wangu ambae nnategemea kuwa atakuwa baba watoto ila ana tatizo (mimi naliita tatizo). Ni kwamba yeye ni mfanyakazi wa kampuni moja binafsi,ni kawaida yake huwa anakuja kwangu mara nyingi nampikia chakula.

Anaweza akatoka kazini anapitia kwangu anakula then anaenda kwake.

Hakuna siku utamsikia anasema dia hela hii hapa kanunue mchele au hata yeye mwenyewe kwamba anapokuja abebe walau maji ya uhai, hana muda huo kabisa. Gharama zote nazijua mimi. Tena anaweza kudiriki hata kusema chakula nlichopika ye hakipendi.

Sasa nauliza eti huyu mtu majukumu anayajua? Hata tukiingia ndoani si atanitwisha majukumu yote huyu? Au labda nyie wenzangu mnaonaje tabia hii, ni ya kawaida?


Wa hivyo wanaanzaga umarioo ukubwani... Piga chini
 
Habari zenu wanaMMU. Nina mpenzi wangu ambae nnategemea kuwa atakuwa baba watoto ila ana tatizo (mimi naliita tatizo). Ni kwamba yeye ni mfanyakazi wa kampuni moja binafsi,ni kawaida yake huwa anakuja kwangu mara nyingi nampikia chakula.

Anaweza akatoka kazini anapitia kwangu anakula then anaenda kwake.

Hakuna siku utamsikia anasema dia hela hii hapa kanunue mchele au hata yeye mwenyewe kwamba anapokuja abebe walau maji ya uhai, hana muda huo kabisa. Gharama zote nazijua mimi. Tena anaweza kudiriki hata kusema chakula nlichopika ye hakipendi.

Sasa nauliza eti huyu mtu majukumu anayajua? Hata tukiingia ndoani si atanitwisha majukumu yote huyu? Au labda nyie wenzangu mnaonaje tabia hii, ni ya kawaida?
Pole sana ukweli ni kwamba amesha kuona mama huruma na huduma zote unampatia na bado umesahau kusema hukuletea nguo umfulie lakini hakupi sabuni!

Mwanaume akimpenda mwanamke swala la kutoa hela huwa haulizwi tena kwenye mambo muhimu kama hayo...!
Kuna sehemu ana peleka hiyo hela!
Hivi ulishawai kumuomba pesa ya chakula?

P ole sana!
 
Mimi sisemi anihonge. Nataka walau achangie kile ambacho na yeye anakula. Inamaana mm ninapompa chakula mamhonga?
Yani wanawake muda mwingine huwa mnashangaza sana mkipenda mnakuwa kama mmechanganyikiwa kabisa hivi una hitaji kuwa na shahada kutambua huyu jamaa hajitambui na hana uwajibikaji kama mwanaume?
 
Mh.. Hapo naona kuna hatari. Kama mtu hata kuchangia chakula anachokula hakumbuki, atakumbuka kweli kukuletea hata kijizawadi? Wadada mnapenda vijichokuleti..vi ais krimu.. mara vi naitdress.. vipafyum.. Utapata kitu hapo? Atakutoa out kweli huyo? Na bado unamuambia kiaina lakini waaala.. haiimuingii akilini? hapo kuna shida. Ukizingatia hiki ndio kipindi ilibidi aku-impress? Mwe! Halafu watu wa hivyo bwana.. huwa ni ngumu sana kubadilika!
Huyu hata amwambie kamwe hatobadilika na hataisahau famili tuu au kuitelekeza..
 
Habari zenu wanaMMU. Nina mpenzi wangu ambae nnategemea kuwa atakuwa baba watoto ila ana tatizo (mimi naliita tatizo). Ni kwamba yeye ni mfanyakazi wa kampuni moja binafsi,ni kawaida yake huwa anakuja kwangu mara nyingi nampikia chakula.

Anaweza akatoka kazini anapitia kwangu anakula then anaenda kwake.

Hakuna siku utamsikia anasema dia hela hii hapa kanunue mchele au hata yeye mwenyewe kwamba anapokuja abebe walau maji ya uhai, hana muda huo kabisa. Gharama zote nazijua mimi. Tena anaweza kudiriki hata kusema chakula nlichopika ye hakipendi.

Sasa nauliza eti huyu mtu majukumu anayajua? Hata tukiingia ndoani si atanitwisha majukumu yote huyu? Au labda nyie wenzangu mnaonaje tabia hii, ni ya kawaida?

Ni zaidi ya mwaka sasa tangu ulete hii mada. Unaonaje ukitupa mlisho nyuma???

Bado mnaendelea na zinaa au mshaoana?

Naenda kuwashtaki kwa Yesu.
 
Yani wanawake muda mwingine huwa mnashangaza sana mkipenda mnakuwa kama mmechanganyikiwa kabisa hivi una hitaji kuwa na shahada kutambua huyu jamaa hajitambui na hana uwajibikaji kama mwanaume?

Namshukuru sana Mungu kwa kuniumba Mwanaume...
 
Ni zaidi ya mwaka sasa tangu ulete hii mada. Unaonaje ukitupa mlisho nyuma???

Bado mnaendelea na zinaa au mshaoana?

Naenda kuwashtaki kwa Yesu.
Sidhani kama alimuacha au kumwambia maana ana muonea huruma sana...na ukute anaendelea kupika hadi sasa au jamaa alisha mkimbia!
Namshukuru sana Mungu kwa kuniumba Mwanaume...
Hawa viumbe muda mwingine wanaweza kukushangaza sana
 
huyo jamaa ana akili kweli....kashaona wee sio wife material ndio maana. mwanamke hujaolewa unajishughulisha kama mke..kuweni na aibu.


pika once in a while sio sasa inakuwa daily business
Pengine huu ndio ukweli na ukute jamaa ana fuliwa kila kitu na haachi hela ya sabuni na binti ana muonea huruma...
 
Kumbe wanaume tumekuwa hadimu mpaka mdada anaganda kwa zezeta lisilojielewa!
Tatizo kubwa nalio kabisa kwa huyu binti maana haiwezekani mtu mwenye sound mind kuvumilia mambo kama haya...eti ana mvumilia akimwambia atamuona ana mnyanyasa....! Kuna muda mwingine nashindwa kuelewa baadhi ya wanawake...hapa anayefanywa zuzu ni huyu binti ambae ana jifanya mama huruma..
 
Ila u mwambie Mimi nilimsuta sio kumwambia ya kawaida siku hizi anajifanya/amekuwa( maana sijui anaweza nini)baba nbora sana..
Huyu jamaa hawezi kubadilika kamwe labda aendelee kuvumilia..mtu ambaye hawezi kukumbuka kuwa anatakiwa kuchangia chakula anacho kula unategemea nini?
 
Back
Top Bottom