Atayaweza majukumu huyu kweli?

Atayaweza majukumu huyu kweli?

Si watu wote ni wakujituma na kujitolea…wewe siku mpigie sim mwambie dia pitia dukani/sokoni uninunulie bidhaa hizi…Kama ni mtu wa kuelewa ataelewa kuwa chakula hakishushwi kutoka mbiguni na atakumbuka kama kuna kitu alikuwa anakosea….

Tisha thana
 
Du huyo hakufai mama ang mm mwenyewe nikienda kwa wifi yang mke wa kaka nafungaisha japo anipokee sembuse mchumba cndo angefanya zaidi, huyo amezoea kulishwa mwanaume hasifiwi kwa sura mwanaume majukumu bhana
 
If you don't ask you don't get. Sasa yeye atajuaje kama kuna uhitaji huo kama hujamweleza? Inaonyesha una nidhamu ya woga na upo negativity. Kwa nini useme kulizungumzia anaweza kufikiria unamnyanyasa na kwa nini usifikirie kumwambia ni kumkumbusha majukumu yake? Kumbuka kila binadamu ana utaratibu wake wa kuwaza na namna ya kuchukulia mambo katika hali tofauti. Hivyo usimsemee cha muhimu zungumza nae
 
Wana nini?

Unakuja kuomba ushauri JF hivi ndoa yako/uchumba wako utapona kweli???? labda uwe ni mtu mwenye uwezo mkubwa sana kiakili kwenye kuchambua mawazo ya watu ndipo unaweza kupata hitimisho sahihi,vinginevyo umekuja kumalizia mahusiano yako hapa LOL!!
 
Bibie hii status mpaka leo iko hivihivi? Majimbo yanahitaji wagombea wapya.

Hahahaa....tuko kwenye mchakato wa kura za maoni na fomu zinaendelea kutolewa hujachelewa
 
Sintokaa nirudie upunguani niliyoufanya bajeti yangu nikaigawa Mara 2 nakula low quality food eti na yy ale kumbe hela anapekeka kwa mwanamke mwingine??! Daah alikuwa km wako huyo ana uchuna kabisa jamani nilishaumia sana and I was pregnant, lakini sasa nimemwambia yeye ndo baba akishindwa kununulia familia yake m..a..v..I ajue mini sio punda wa kuhemea kila siku,, usikubali bora umkimbie rafiki INA maana yeye Pesa zake anapeleka wapi??
Kuna signecha ya mtu hum ndani sikumbuki ni nani inasema 'experience is the best teacher'
 
Yani wanawake muda mwingine huwa mnashangaza sana mkipenda mnakuwa kama mmechanganyikiwa kabisa hivi una hitaji kuwa na shahada kutambua huyu jamaa hajitambui na hana uwajibikaji kama mwanaume?
Hahaa mkuu hujasikia wanasema mapenzi ni upofu? btw huyu mtu nilishamsahau hii thread ya mwaka jana.... Mokoyo na fujo zake kaenda kuifukua
 
Last edited by a moderator:
Ni zaidi ya mwaka sasa tangu ulete hii mada. Unaonaje ukitupa mlisho nyuma???

Bado mnaendelea na zinaa au mshaoana?

Naenda kuwashtaki kwa Yesu.

As far as neno ZINAA lina maana pana siwezi kukubishia chochote....niseme tu TULIACHA
 
Apo ujaelewa una pima naye anakupima incase tatz ni dogo au tusema amna kbx
 
Back
Top Bottom