GE2025 Atawatawala kwa Risasi na Mamluki?

GE2025 Atawatawala kwa Risasi na Mamluki?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Joined
Mar 10, 2006
Posts
34,092
Reaction score
43,265
Wamemtangaza..watamuapisha
Watawalazimisha Watanzania kumpenda na kumuimbia tena...picha zake zitajazwa kila kona
Atakapoapishwa atapangua jeshi la polisi na kuwalaumu wao...

Lakini hadi hivi sasa hawajaonesha hata kidogo kuelewa kilichotokea...kusikitika lakini kitendo cha kuleta mamluki kwenye nchi yetu ni dhambi kubwa sana...

Wao wamemtangaza kwa risasi
Mioyo imemkataa na kuasi.
 
Wamemtangaza..watamuapisha
Watawalazimisha Watanzania kumpenda na kumuimbia tena...picha zake zitajazwa kila kona
Atakapoapishwa atapangua jeshi la polisi na kuwalaumu wao...

Lakini hadi hivi sasa hawajaonesha hata kidogo kuelewa kilichotokea...kusikitika lakini kitendo cha kuleta mamluki kwenye nchi yetu ni dhambi kubwa sana...

Wao wamemtangaza kwa risasi
Mioyo imemkataa na kuasi.
Watch and see brother, wanaweza kutushinda wananchi sababu hatuna silaha..lakini amini nachokuambia , JWTZ kwa asilimia kubwa vikosi vingi vimekwisha muasi , ni suala la muda ,inaweza kua hata mwaka ,au zaidi ila atakutana na shughuli ambayo itamfanya ajutie Siku Mungu aliyomuumba!!..kama ameshindwa kuilinda major city dar es salaam, Hana ubavu wa kupambana na Tanganyika..hata Uganda nzima imsaidie!!
 
Wamemtangaza..watamuapisha
Watawalazimisha Watanzania kumpenda na kumuimbia tena...picha zake zitajazwa kila kona
Atakapoapishwa atapangua jeshi la polisi na kuwalaumu wao...

Lakini hadi hivi sasa hawajaonesha hata kidogo kuelewa kilichotokea...kusikitika lakini kitendo cha kuleta mamluki kwenye nchi yetu ni dhambi kubwa sana...

Wao wamemtangaza kwa risasi
Mioyo imemkataa na kuasi.
Nakubaliana na wewe kabisa, haya ni mambo ya kusikitisha na ya kuhuzunisha. Wamekipata walichokitaka. Sasa umoja wa kitaifa na kauli kama hizo basi… tuishi kwa kuviziana kama wanyama msituni.

Kwa kuwa viongozi wa dini wamekaa kimya mpaka sasa, na sisi sasa hakuna kutoa sadaka kanisani kwa sasa maana wako kimya hadi wakati huu. Serikali ifanye mpango wa kuwapelekea sadaka huko makanisani kwa ukimya wao.

Vifo vyote hivyo ni ili mtu aendelee kutuongoza, kwa kweli nahuzinika sana kwa vifo vyote vilivyotokea... Siku moja na wao walivyo visababisha, yawakumbuke mateso maradfu- AMEN.
 
Wamemtangaza..watamuapisha
Watawalazimisha Watanzania kumpenda na kumuimbia tena...picha zake zitajazwa kila kona
Atakapoapishwa atapangua jeshi la polisi na kuwalaumu wao...

Lakini hadi hivi sasa hawajaonesha hata kidogo kuelewa kilichotokea...kusikitika lakini kitendo cha kuleta mamluki kwenye nchi yetu ni dhambi kubwa sana...

Wao wamemtangaza kwa risasi
Mioyo imemkataa na kuasi.
Ukisikiliza speech yake ndo utachoka kabisa, naona hawa mamluki watakuwepo sana hapa nchini .. nothing will change positively ..
 
hii nchi ilishaenda na haitakuwa the same tena, kwani tumeshakuwa kama zile pariah states ambazo madikteta huwa hawatoki kwa sababu ya kuhofia madhambi walioyafanya, ndiyo maana madikteta wote huweka watoto, wake au familia zao, tumeshafika huko.

masikini nchi yetu …
 
Wamemtangaza..watamuapisha
Watawalazimisha Watanzania kumpenda na kumuimbia tena...picha zake zitajazwa kila kona
Atakapoapishwa atapangua jeshi la polisi na kuwalaumu wao...

Lakini hadi hivi sasa hawajaonesha hata kidogo kuelewa kilichotokea...kusikitika lakini kitendo cha kuleta mamluki kwenye nchi yetu ni dhambi kubwa sana...

Wao wamemtangaza kwa risasi
Mioyo imemkataa na kuasi.
Kwa vile ni YEYE huziweka tawala za mataifa, then ni YEYE ameruhusu huu ushetani utokee kwenye ardhi yetu na kumruhusu shetani atamalaki na ushetani kutamalaki, tumwachie YEYE MWENYEWE, Atatenda!.
P
 
Mkuu,kwa experience yako una predict kuna changes zozote zitatokea baada ya hizi vurugu?
Yes the biggest change ni YEYE atafanya kitu!, kuna jambo litatokea kuwafuta machozi Watanzania.

Pili kukataliwa ni kubaya, hivyo Bi Dada will be just a figure head, ana move back na kumuacha VP, ndie will be running the show, and he is dam good, tatizo la VP ni moja tuu, ni mtu wa ule mtandao wa wale wahuni wa Polepole!.
P
 
Nina wasiwasi itakuwa ngumu sana kwa watendaji wake serikali kufanya kazi mitaani humo...
Tumemshauri humu kazi ya kwanza baada ya kuapishwa ni healing the nation,

Kwa mujibu wa katiba yetu,akiishatangazwa,ndio ametangazwa,uchaguzi umekwisha,there is nothing anybody can do. Kitu cha kwanza baada ya kuapishwa,
1. atoe a general amnesty kwa wale wahalifu wote waliofanya ule uhalifu kwasababu japo ni wahalifu kwa maandamano yaliyoambatana na uharibifu wa mali wa kijinai, kwa wengine hawa vijana ni mashujaa wakombozi waliojitoa kuipigania nchi yao, asiwaadhibu. Tena CDF Mkunda aondoshwe, Wale the good ones waandikishwe JKT wachujwe, waajiriwe jeshini.
2. akubali serikali italipa fidia kwa kila uharibifu uliotokea kwasababu ni serikali yake imesababisha yote haya.
3. a heal the nation kwa kuwateua Lissu,Zitto,Mpina,na Mwalimu katika zile nafasi zake 10 za ubunge ili kuwapoza moto Gen Zii, mtu kama Lissu akisimama na kusema tulieni, vijana wanatulia.
4. Ashushe mabega chini,awe humble,aje down to earth, asiendelee kutambia urais wake wala u mimi ndie Amiri Jeshi, 5 days taifa limechafuka hakuna kauli ya CinC!
5. a wa disband wasiojulikana ambao ni 'wasiojulikana', na ni “wasiojulikana” kweli hawajulikani,akubali serikali yetu haina uwezo kuwabaini,aombe msaada wa kusaidiwa na yeyote,tukiwemo sisi waandishi wa IJ.

P
 
Tumemshauri humu kazi ya kwanza baada ya kuapishwa ni healing the nation,
P
That’s bullshit!

You heal the nation by doing the right things and when you have legitimacy.

Huyo hana legitimacy yoyote ile.

Hata self awareness hana. Kashindwa nini kuwaambia hao watu wa hiyo tume yake wazishushe kidogo hizo namba ili walau matokeo yasiwe outrageous?
 
Yes the biggest change ni YEYE atafanya kitu!, kuna jambo litatokea kuwafuta machozi Watanzania.

Pili kukataliwa ni kubaya, hivyo Bi Dada will be just a figure head, ana move back na kumuacha VP, ndie will be running the show, and he is dam good, tatizo la VP ni moja tuu, ni mtu wa ule mtandao wa wale wahuni wa Polepole!.
P
Thanks mkuu,nimekuelewa vizuri sana.
 
Wamemtangaza..watamuapisha
Watawalazimisha Watanzania kumpenda na kumuimbia tena...picha zake zitajazwa kila kona
Atakapoapishwa atapangua jeshi la polisi na kuwalaumu wao...

Lakini hadi hivi sasa hawajaonesha hata kidogo kuelewa kilichotokea...kusikitika lakini kitendo cha kuleta mamluki kwenye nchi yetu ni dhambi kubwa sana...

Wao wamemtangaza kwa risasi
Mioyo imemkataa na kuasi.
Kwani ulitaka itoke wapi ndio uridhike?😂

Cc: Mimi Wewe Yule


Kama kampuni ina vibali na tenda hizo zote, kwa nini waende kuhangaika na kuchota pesa Hazina

Huyu mgonjwa wa akili anahitaji matibabu

mamluki kwenye nchi yetu ni dhambi kubwa sana

Yaani hii ya kukodi watu kuja kuua raia wako imeniuma sana. Ni dhairi kuwa huyu mama hana nia njema ya kutawala. Mtu mwenye nia njema hata kama anataka madaraka angejaribu kutafuta negotiations mezani. Kuwaua watu na majangiri wa kukodi ni wazi ana nia mbovu sana huko mbele. Ndugu zangu, taifa letu limekwisha.
 
Hili Jambo alikubariki na kamwe halitakubarika.

Tunaanda utaratibu, tutaandaa maandamano mapya Africa mashariki itajifunza kwetu.

Tulichokifanya tunaita demo
Ni muhimu kufanya maandamano makubwa ya ki historia.

Nadhani safari hii yawe ya amani sana. Kila mtu akamate bango! Na sote kwa pamoja tuseme hatumtaki huyu mtu
 
Watch and see brother, wanaweza kutushinda wananchi sababu hatuna silaha..lakini amini nachokuambia , JWTZ kwa asilimia kubwa vikosi vingi vimekwisha muasi , ni suala la muda ,inaweza kua hata mwaka ,au zaidi ila atakutana na shughuli ambayo itamfanya ajutie Siku Mungu aliyomuumba!!..kama ameshindwa kuilinda major city dar es salaam, Hana ubavu wa kupambana na Tanganyika..hata Uganda nzima imsaidie!!
unayajua majeshi yetu?
 
Back
Top Bottom